< Kutoka 23 >

1 “Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.
not to lift: loud report vanity: false not to set: put hand your with wicked to/for to be witness violence
2 “Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
not to be after many to/for distress: evil and not to answer upon strife to/for to stretch after many to/for to stretch
3 nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.
and poor not to honor in/on/with strife his
4 “Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.
for to fall on cattle enemy your or donkey his to go astray to return: rescue to return: return him to/for him
5 Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.
for to see: see donkey to hate you to stretch underneath: under burden his and to cease from to leave: forsake to/for him to leave: release to leave: release with him
6 “Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.
not to stretch justice needy your in/on/with strife his
7 Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.
from word deception to remove and innocent and righteous not to kill for not to justify wicked
8 “Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
and bribe not to take: take for [the] bribe to blind seeing and to pervert word: thing righteous
9 “Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.
and sojourner not to oppress and you(m. p.) to know [obj] soul [the] sojourner for sojourner to be in/on/with land: country/planet Egypt
10 “Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,
and six year to sow [obj] land: country/planet your and to gather [obj] produce her
11 lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.
and [the] seventh to release her and to leave her and to eat needy people your and remainder their to eat living thing [the] land: country so to make: do to/for vineyard your to/for olive your
12 “Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.
six day to make: do deed: work your and in/on/with day [the] seventh to cease because to rest cattle your and donkey your and be refreshed son: child maidservant your and [the] sojourner
13 “Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.
and in/on/with all which to say to(wards) you to keep: careful and name God another not to remember not to hear: hear upon lip your
14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.
three foot to celebrate to/for me in/on/with year
15 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.
[obj] feast [the] unleavened bread to keep: obey seven day to eat unleavened bread like/as as which to command you to/for meeting: time appointed month [the] Abib for in/on/with him to come out: come from Egypt and not to see: see face: before my emptily
16 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako. “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.
and feast [the] harvest firstfruit deed: work your which to sow in/on/with land: country and feast [the] ingathering in/on/with to come out: extends [the] year in/on/with to gather you [obj] deed: work your from [the] land: country
17 “Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi.
three beat in/on/with year to see: see all male your to(wards) face: before [the] lord LORD
18 “Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu. “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.
not to sacrifice upon leaven blood sacrifice my and not to lodge fat feast my till morning
19 “Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako. “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
first: best firstfruit land: soil your to come (in): bring house: temple LORD God your not to boil kid in/on/with milk mother his
20 “Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.
behold I to send: depart messenger: angel to/for face: before your to/for to keep: guard you in/on/with way: journey and to/for to come (in): bring you to(wards) [the] place which to establish: prepare
21 Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.
to keep: careful from face: before his and to hear: obey in/on/with voice his not to provoke in/on/with him for not to lift: forgive to/for transgression your for name my in/on/with entrails: among his
22 Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.
that if: except if: except to hear: obey to hear: obey in/on/with voice his and to make: do all which to speak: speak and be hostile [obj] enemy your and to provoke [obj] to vex you
23 Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.
for to go: went messenger: angel my to/for face: before your and to come (in): bring you to(wards) [the] Amorite and [the] Hittite and [the] Perizzite and [the] Canaanite [the] Hivite and [the] Jebusite and to hide him
24 Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.
not to bow to/for God their and not to serve: minister them and not to make: do like/as deed: work their for to overthrow to overthrow them and to break to break pillar their
25 Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,
and to serve: minister [obj] LORD God your and to bless [obj] food: bread your and [obj] water your and to turn aside: remove sickness from entrails: among your
26 na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.
not to be be bereaved and barren in/on/with land: country/planet your [obj] number day your to fill
27 “Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.
[obj] terror my to send: depart to/for face: before your and to confuse [obj] all [the] people which to come (in): come in/on/with them and to give: make [obj] all enemy your to(wards) you neck
28 Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.
and to send: depart [obj] [the] hornet to/for face: before your and to drive out: drive out [obj] [the] Hivite [obj] [the] Canaanite and [obj] [the] Hittite from to/for face: before your
29 Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.
not to drive out: drive out him from face: before your in/on/with year one lest to be [the] land: country/planet devastation and to multiply upon you living thing [the] land: wildlife
30 Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.
little little to drive out: drive out him from face: before your till which be fruitful and to inherit [obj] [the] land: country/planet
31 “Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
and to set: make [obj] border: boundary your from sea Red (Sea) and till sea (Sea of the) Philistines and from wilderness till [the] River for to give: give in/on/with hand: power your [obj] to dwell [the] land: country/planet and to drive out: drive out them from face: before your
32 Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.
not to cut: make(covenant) to/for them and to/for God their covenant
33 Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”
not to dwell in/on/with land: country/planet your lest to sin [obj] you to/for me for to serve: minister [obj] God their for to be to/for you to/for snare

< Kutoka 23 >