< Kutoka 23 >

1 “Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.
Dilia ogogosu sia: amola baligidu sia: mae sia: ma. Dilia giadofale hamosu dunu amo fidimusa: , mae ogogole sia: ma.
2 “Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
Ogogosu amola wadela: i hamosu dunu ilia idi da moloi hamosu dunu ilia idi baligisia, dilia da ogogosu amola wadela: i hamosu dunu bagohame ilima mae fa: no bobogema. Ilia da ogogobeba: le, moloidafa fofada: su wadela: sea, ilima mae fa: no bobogema.
3 nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.
Hame gagui dunu da wadela: i hou hamobeba: le fofada: sea, e da liligi hame gaguiba: le, ema baligiliwane mae asigima. Emagale mae fofada: ma.
4 “Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.
Dima ha lai dunu amo ea bulamagau o dougi da ea la: gi fadegale, udigili lalebe ba: sea, di da amo ema bu oule masa.
5 Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.
Ea dougi baligiga dioi bagade liligi ligisiba: le da dafai dagoi ba: sea, di da dima ha lai dunu amo ea dougi ea emoga bu wa: lesima: ne fidima. Di mae udigili yolesili masa.
6 “Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.
Hame gagui dunu da fofada: su dunuma fofada: sea, e da moloidafa hou ba: ma: ne, noga: le ouligima.
7 Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.
Mae ogogole diwaneya udidima. Dunu da wadela: le hame hamoi, amo udigili mae fanelegema. Nowa da amo wadela: i hou hamosea, Na da ema se imunusa: fofada: su hamomu.
8 “Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
Hano suligi hou mae hamoma. Hano suligi hou da dunu ilia moloidafa hou amo mae ba: ma: ne si dofosa. Amola hano suligi da moloi hamosu dunu amo ilia hou wadela: sa.
9 “Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.
Dilia da Idibidi soge ganodini ga fi dunu esalu, amo mae gogolema. Amaiba: le, ga fi dunu ilima mae se ima.
10 “Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,
Dilia da ode gafeyale amoga dilia sogega ha: i manu sagama amola ha: i manu faima.
11 lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.
Be ode fesu amoga dilia sogega ha: i manu mae sagama amo ha: i manu mae faima. Hame gagui dunu da ha: i manu amoga dialebe ba: sea, ilia amo ha: i manu lamu amola soge ohe fi da eno hame fai dialebe manu da defea. Amo hou defele dilia da waini sagai amola olife ifa sagai hamoma.
12 “Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.
Hi aligi amoga eso gafeyale amoga hawa: hamoma. Be eso fesu amoga mae hawa: hamoma. Bai amo esoga, dilia udigili hawa: hamosu dunu, ga fi dilima hawa: hamosa amola dilia lai gebo helefimu da defea.
13 “Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.
Na sia: huluane Na, Hina Gode da dilima olelei, amo noga: le nabima. Eno ‘gode’ agoane liligi ilima mae sia: ne gadoma. Ilia dio amola maedafa sia: ma.
14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.
Ode huluane amoga, dilia Nama nodomusa: Lolo Nasu gilisisu udiana hamoma.
15 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.
Oubi ea dio Abibi, amoga dilia musa: da Idibidi yolesili gadili asi, dilia da Yisidi Hame Sali Agi gilisisu Na dilima olelei defele hamoma. Amo gilisisu eso fesu amoga, agi amoga yisidi sali amo mae moma. Eso huluane, dilia da Nama nodomusa: masea, Nama iasu liligi gaguli misa.
16 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako. “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.
Dilia da degabo widi amola gagoma amo ha: i manu faimusa: dawa: sea, Ha: i Manu Gaheabolo Fai Lolo Nasu bagade hamoma. Dilia da ifa fage, waini fage amo dilia sagai amola waini sagai amoga faimusa: dawa: sea, Sogega Fasela Diasu Lolo Nasu bagade hamoma.
17 “Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi.
Dilia da ode huluane amo Gilisisu udiana gala amoga dilia da gilisisia, dunu huluane da Nama nodone sia: ne gadomusa: misa: ne sia: ma. Na da dilia Hina Gode.
18 “Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu. “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.
Dilia da Nama ohe gobele salasu iasea, agi amo ganodini yisidi sali, amo Nama mae ima. Amo ohe gobele sali ilia sefe huluane gobesima. Dilia sefe udigili mae yolesima. Hahabe doaga: sea amo sefe da gobesi dagoi ba: mu.
19 “Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako. “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
Ode huluane dilia widi amola gagoma bisili fai amo dilia Hina Gode ea diasuga gaguli misa. Dilia sibi o goudi mano amo ea ame ea dodo maga: me amo ganodini mae gobema.
20 “Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.
Dilia da logoga ahoasea, Na da a: igele amo dili bisimusa: amola ouligimusa: asunasimu. E da soge amo dilia fima: ne Na da hahamoi, amoga E da dili oule masunu.
21 Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.
Dilia Ea sia: noga: le nabima. Ema higale mae hamoma amola mae odoga: ma. Bai Na da E asunasiba: le, E da Ema odoga: su hame gogolema: ne olofomu.
22 Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.
Be dilia da Ea sia: noga: le nabasea, amola Na adoi defele hamosea, Na da dilima ha lai dunu huluane ilima gegemu.
23 Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.
Na a: igele dunu da dilima bisili, amo A: moulaide dunu, Hidaide dunu, Belisaide dunu, Ga: ina: naide dunu, Haifaide dunu amola Yebusaide dunu amo ilia sogega dili oule masunu. Amasea Na da amo dunu fi huluane gugunufinisimu.
24 Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.
Dilia da ilia ‘gode’ liligi ilima mae beguduma. Amola ilima mae nodone sia: ne gadoma amola ilia sia: ne gadosu hou mae lalegaguma. Ilia ‘gode’ liligi gugunufinisima amola ilia sia: ne gadosu gele duni bugi huluane goudane salima.
25 Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,
Dilia da Nama fawane nodone sia: ne gadosea, Na da dilima ha: i manu amola hano noga: i amo dilima imunu. Amola Na da dilia olo huluane fadegale fasimu.
26 na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.
Dilia soge ganodini, abula agui uda da mano dudubu ea hagomo ganodini hamedafa fisimu. Amola uda huluane da mano lamu. Dilia ode bagohame esaloma: ne, na da amo logo hamomu.
27 “Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.
Na da hamobeba: le, dilima ha lai dunu da Nama bagade beda: mu. Dunu eno da dilima gegesea, Na da ili ededenagia: ma: ne hamomu amola ilia dilima beda: iba: le, hobeamu.
28 Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.
Dilima ha lai amo hobeama: ne, Na da ilima beda: su hou imunu. Dilia da gaba: i ahoasea, Na da Haifaide, Ga: ina: naide amola Hidaide amo dunu fi gadili sefasimu.
29 Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.
Na da ode afadafa amoga ili hame sefasimu. Amai ganiaba soge da fisi dagoi ba: la: loba amola gasonasu ohe fi da heda: le dilima gegena: noba.
30 Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.
Be Na da gebewane amo dunu fi gadili sefasimu. Amasea, dilia fi dunu ilia idi da amo soge huluane fimusa: defele ba: sea, ilia huluane sefasi dagoi ba: mu.
31 “Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
Na da dilia soge alalo defei agoane hamomu. Soge da Agaba Wayabo Adobo muni asili, Medidala: inia Wayabo Bagade amoga doaga: mu. La: di da wadela: i hafoga: i soge amoga asili Iufala: idisi Hano amoga doaga: mu. Na da dilima gasa imunu. Amasea, dilia amo dunu fi ilia da wali amo soge ganodini esala ilima gasa fili, dilia amo soge ganodini golili dasea, amo dunu gadili sefasimu.
32 Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.
Dilia da ilima o ilia ‘gode’ liligi ilima gousa: su maedafa hamoma.
33 Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”
Dilia da amo dunu ilia da dilia soge ganodini bu esaloma: ne logo maedafa doasima. Ilia da dilia soge ganodini bu esalea, ilia da dilia hou wadela: mu. Amola dilia da Nama wadela: le hamoma: ne, ilia da dili logemu. Dilia da ilia ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosea, amo da dilima sani bagade agoane ba: mu.” Hina Gode da amo hamoma: ne sia: i huluane Isala: ili dunuma olelei.

< Kutoka 23 >