< Kutoka 20 >
1 Ndipo Mungu akasema maneno haya yote:
and to speak: speak God [obj] all [the] word [the] these to/for to say
2 “Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.
(I *L(p)*) LORD (God your *L(p)*) which to come out: send you from land: country/planet Egypt (from house: home *L(p)*) (servant/slave *L(b+p)*)
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
not to be (to/for you God another *L(p)*) upon (face: before my *L(p)*)
4 Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji.
not to make (to/for you *L(p)*) idol and all (likeness *L(p)*) (which *L(b+p)*) in/on/with heaven (from above *L(p)*) (and which *L(b+p)*) (in/on/with land: country/planet from underneath: under and which in/on/with water from underneath: under to/for land: country/planet *L(p)*)
5 Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
not (to bow to/for them *L(p)*) and not (to serve: minister them *L(p)*) for I LORD God your God jealous to reckon: visit iniquity: crime father upon son: child upon third and upon fourth (to/for to hate me *L(p)*)
6 lakini ninaonyesha upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.
(and to make: do kindness to/for thousand *L(p)*) to/for to love: lover me and to/for to keep: obey commandment my
7 Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, kwa kuwa Bwana hataacha kumhesabia hatia yeye alitajaye jina lake bure.
not to lift: raise [obj] name LORD God your to/for vanity: vain for not to clear LORD [obj] which to lift: raise [obj] name his to/for vanity: vain
8 Ikumbuke siku ya Sabato, uitakase.
(to remember *L(p)*) [obj] (day [the] Sabbath to/for to consecrate: consecate him *L(p)*)
9 Kwa siku sita utafanya kazi na kutenda shughuli zako zote,
(six day to serve: labour and to make: do *L(p)*) all (work your *L(p)*)
10 lakini siku ya saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yoyote, wewe, wala mwanao au binti yako, wala mtumishi wako wa kiume au wa kike, wala wanyama wako, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
and day ([the] seventh Sabbath *L(p)*) to/for LORD (God your *L(p)*) not (to make: do *L(p)*) all (work *L(p)*) you(m. s.) and son: child your (and daughter your servant/slave your and maidservant your and animal your and sojourner your which in/on/with gate your *L(p)*)
11 Kwa kuwa kwa siku sita, Bwana aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo Bwana akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.
for six day to make LORD [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet [obj] [the] sea and [obj] all which in/on/with them and to rest in/on/with day [the] seventh upon so to bless LORD [obj] day [the] Sabbath and to consecrate: consecate him
12 Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa Bwana Mungu wako.
to honor: honour [obj] father your and [obj] mother your because to prolong [emph?] day your upon [the] land: soil which LORD God your to give: give to/for you
(not to commit adultery *L(p)*)
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
not to answer in/on/with neighbor your witness deception
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”
not to desire house: home neighbor your not to desire woman: wife neighbor your and servant/slave his and maidservant his and cattle his and donkey his and all which to/for neighbor your
18 Watu walipoona ngurumo na radi, na kusikia mlio wa tarumbeta, na kuuona mlima katika moshi, walitetemeka kwa woga. Wakasimama mbali
and all [the] people to see: see [obj] [the] voice: thunder and [obj] [the] torch and [obj] voice: sound [the] trumpet and [obj] [the] mountain: mount smoking and to see: see [the] people and to shake and to stand: stand from distant
19 na wakamwambia Mose, “Sema nasi wewe mwenyewe, nasi tutakusikiliza. Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo tutakufa.”
and to say to(wards) Moses to speak: speak you(m. s.) with us and to hear: hear and not to speak: speak with us God lest to die
20 Mose akawaambia watu, “Msiogope! Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya Mungu iwakalie, msitende dhambi.”
and to say Moses to(wards) [the] people not to fear for to/for in/on/with for the sake of to test [obj] you to come (in): come [the] God and in/on/with for the sake of to be fear his upon face: before your to/for lest to sin
21 Watu wakabaki mbali, wakati Mose alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu alipokuwa.
and to stand: stand [the] people from distant and Moses to approach: approach to(wards) [the] cloud which there [the] God
22 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni:
and to say LORD to(wards) Moses thus to say to(wards) son: descendant/people Israel you(m. p.) to see: see for from [the] heaven to speak: speak with you
23 Msijifanyizie miungu yoyote na kuilinganisha nami, msijitengenezee miungu ya fedha wala miungu ya dhahabu.
not to make [emph?] with me God silver: money and God gold not to make to/for you
24 “‘Utanitengenezea madhabahu ya udongo, na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi na ngʼombe zako. Popote nitakapofanya Jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki.
altar land: soil to make to/for me and to sacrifice upon him [obj] burnt offering your and [obj] peace offering your [obj] flock your and [obj] cattle your in/on/with all [the] place which to remember [obj] name my to come (in): come to(wards) you and to bless you
25 Ikiwa unanitengenezea madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya kuchonga, maana mkitumia chombo cha kuchongea mtaitia unajisi.
and if altar stone to make to/for me not to build [obj] them cutting for sword your to wave upon her and to profane/begin: profane her
26 Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’
and not to ascend: rise in/on/with step upon altar my which not to reveal: uncover nakedness your upon him