< Kutoka 19 >
1 Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.
İzrailybı Misireençe qığepç'iyne xhebıd'esde vuzane ts'eppiyne yiğıl Sinayne sahreeqa hiviyxhar.
2 Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
Refidimğançe qığeepç'ı, manbı qavaylenbı Sinayne sahreeqa. Manbışe suvalqa ı'lqəəne cigee çadırbı giyxə.
3 Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye Bwana akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli:
Mısa suvalqa Allahısqana ılqeç'e. Rəbbee mana suvale qort'ul eyhen: – Yaaq'ubıke g'abıynbışik'le, İzrailybışik'le eyhe:
4 ‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu.
«Şok'le Zı Misirbışik hı'iynıd, nəxübiy şu q'aacirın xhinne xılibışil Zasqa qabıyid g'acuyn.
5 Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu,
Həşdiyle şu Yizde cuvabıl yugda k'ırı gyaqqeene, Yizda şokana mugaavile havaaceene, manisa milletbışile Zas delesın millet şu vuxhes. İn dyunyecad Yizın vodun,
6 ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”
şunab Yizdemee kaahinaaşin ç'ak'ınbı, paççahar vuxhes, muq'addasın millet ixhes». Man gırgıne İzrailybışik'le eyhe.
7 Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo Bwana alikuwa amemwamuru ayaseme.
Mısa avqa giç'u milletın ağsaqqalar sav'u, Rəbbee uvhuyn gırgın manbışis yuşan ha'a.
8 Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu Bwana alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa Bwana.
Milletıncad inəxdun alidghıniy qele: – Rəbbee uvhuyn gırgın şi ha'asın! Mısee manbışin alidghıniy Rəbbis hixhar ha'a.
9 Bwana akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia Bwana yale ambayo watu walikuwa wamesema.
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Zı yiğne k'anyaqa k'ışşeyne buludee ayres, milletık'le Zı vaka yuşan ha'a g'ayxhı valqa gırgıne gahbışiscad inyam he'ecenva. Mısee milletın uvhuyn Rəbbilqa hixhara'ang'a,
10 Naye Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao
Rəbbee meed Mısayk'le eyhen: – Milletısqa hark'ın manbışik'le eyhe: g'iynayiy g'iyqa manbı məttıba vuxhecen, tanalinbıd hoğlecen.
11 na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, Bwana atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote.
Qıtsıqiys Rəbbee nəxüdiy uvhu, həməxübub vuxhecen, Rəbb milletne ulene ögiyl Sinayne suvalqa giç'es.
12 Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa.
Suvayne hiqiy-alla milletnemee sarhad ts'ıts'av'u manbışik'le eyhe: «Suvalqa ılqımeebaç'e, mançik xıl simet'a. Suvayk xıl set'una g'ılymaraççe, gik'e.
13 Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”
Məxrına ixheene, g'ayeyqqaye hele vukukaye gek'a gik'e, saccu mang'uk xıl simet'a. İnsan ixheyir həyvan vuxheyib əq'ənançecab gyuvk'e, g'ılymabaççe». G'argıne gaçençe xıliyna syuty hav'umee, manbışisse suvalqa ılqeepç'es vəəxə.
14 Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao.
Mısa suvayle g'iç'u milletık'le gicəpxeva eyhe. Manbışed tanalinbı hoyğalanbı.
15 Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”
Mang'vee milletık'le eyhen: – Qıtsıqiys Rəbbee nəxüdiy uvhu, həməxübub vuxhe. Sayid yik'el aqqe yadaaşik xıl simet'a.
16 Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka.
Xhebıd'esde yiğıl miç'eed xəy g'əhədaqqə giyğal, ts'ayilpan eyxhe, k'ışşeyn bulud suval ooqa sadayle, g'argıne gaçençenab it'umna syuty vooxhe. Çadırbışisneebın gırgın insanar mançile it'umba qəvəyq'ənanbı.
17 Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima.
Mısee Allah qızaxecenva insanar cone çadırbışisse suvaysqa saa'a.
18 Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu Bwana alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi,
Rəbb Sinayne suvalqa ts'ayine ar giç'uva suva kumayncab alyabat'a. Mane suvayle xənne peşteençen xhinne kuma ı'lqəə eyxhe. Mane gahıl suva it'umba ı'ğviykarna,
19 nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya Bwana ikamjibu.
ittehesu g'argıne gaçençena syutyub geeb qooxhe giviyğal. Mısee eyhençis Allahee alidghıniy xəybı g'əhədəqqəne sesika qele ıxha.
20 Bwana akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu,
Rəbb Sinay eyhene suvayne q'omaqa giç'u, maqa Mısa qoyt'al. Mısa maqa ılqeç'umee,
21 naye Bwana akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona Bwana na wengi wao wakafa.
Rəbbee mang'uk'le eyhen: – Giç'e milletık'le eyhe, Rəbb g'acesva çosva gyuvxhune sarhadıle ılğımebaç'ecen. Uvhuyn hide'eene con gellesınbı hapt'asınbı.
22 Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”
Rəbbisqa qeepxhesın kaahinaaşin ç'ak'ınbıb gicəpxı' vuxhes vukkan. Uvhuyn hide'eene Rəbbee manbışikınıd ha'asın.
23 Mose akamwambia Bwana, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’”
Mısee Rəbbik'le eyhen: – Nya'a Ğu şak'le uvhu dişdiy «Suvayne hiqiy-alla sarhad ts'ıts'av'u mançike er hee'eva». Mançil-allad milletın Sinayne suvalqa gov gyuvxhes deş.
24 Bwana akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa Bwana, nisije nikawaadhibu.”
Rəbbee eyhen: – Giç'e, vakasana inyaqa Harun ayre. İlahiyetçeeşine ç'ak'ınbışeb, milletınıd suvalqa Rəbbisqa ı'lqəəva sarhad ılğımooç'ecen. Uvhuyn hide'eene Rəbbee cokun ha'asın.
25 Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.
Mısa suvayle giç'u man uvhuynbı milletılqa hixhar ha'a.