< Kutoka 19 >

1 Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.
in/on/with month: new moon [the] third to/for to come out: come son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt in/on/with day [the] this to come (in): come wilderness (Wilderness of) Sinai
2 Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.
and to set out from Rephidim and to come (in): come wilderness (Wilderness of) Sinai and to camp in/on/with wilderness and to camp there Israel before [the] mountain: mount
3 Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye Bwana akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli:
and Moses to ascend: rise to(wards) [the] God and to call: call to to(wards) him LORD from [the] mountain: mount to/for to say thus to say to/for house: household Jacob and to tell to/for son: descendant/people Israel
4 ‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu.
you(m. p.) to see: see which to make: do to/for Egypt and to lift: bear [obj] you upon wing eagle and to come (in): bring [obj] you to(wards) me
5 Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu,
and now if to hear: obey to hear: obey in/on/with voice my and to keep: obey [obj] covenant my and to be to/for me possession from all [the] people for to/for me all [the] land: country/planet
6 ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”
and you(m. p.) to be to/for me kingdom priest and nation holy these [the] word which to speak: speak to(wards) son: descendant/people Israel
7 Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo Bwana alikuwa amemwamuru ayaseme.
and to come (in): come Moses and to call: call to to/for old: elder [the] people and to set: make to/for face: before their [obj] all [the] word [the] these which to command him LORD
8 Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu Bwana alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa Bwana.
and to answer all [the] people together and to say all which to speak: speak LORD to make: do and to return: reply Moses [obj] word [the] people to(wards) LORD
9 Bwana akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia Bwana yale ambayo watu walikuwa wamesema.
and to say LORD to(wards) Moses behold I to come (in): come to(wards) you in/on/with cloud [the] cloud in/on/with for the sake of to hear: hear [the] people in/on/with to speak: speak I with you and also in/on/with you be faithful to/for forever: enduring and to tell Moses [obj] word [the] people to(wards) LORD
10 Naye Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao
and to say LORD to(wards) Moses to go: went to(wards) [the] people and to consecrate: consecate them [the] day and tomorrow and to wash mantle their
11 na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, Bwana atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote.
and to be to establish: prepare to/for day [the] third for in/on/with day [the] third to go down LORD to/for eye: seeing all [the] people upon mountain: mount Sinai
12 Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa.
and to border [obj] [the] people around to/for to say to keep: careful to/for you to ascend: rise in/on/with mountain: mount and to touch in/on/with end his all [the] to touch in/on/with mountain: mount to die to die
13 Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”
not to touch in/on/with him hand for to stone to stone or to shoot to shoot if animal if man not to live in/on/with to draw [the] jubilee/horn they(masc.) to ascend: rise in/on/with mountain: mount
14 Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao.
and to go down Moses from [the] mountain: mount to(wards) [the] people and to consecrate: consecate [obj] [the] people and to wash mantle their
15 Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”
and to say to(wards) [the] people to be to establish: prepare to/for three day not to approach: approach to(wards) woman
16 Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka.
and to be in/on/with day [the] third in/on/with to be [the] morning and to be voice: thunder and lightning and cloud heavy upon [the] mountain: mount and voice: sound trumpet strong much and to tremble all [the] people which in/on/with camp
17 Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima.
and to come out: send Moses [obj] [the] people to/for to encounter: meet [the] God from [the] camp and to stand in/on/with lower [the] mountain: mount
18 Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu Bwana alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi,
and mountain: mount Sinai be angry all his from face: because which to go down upon him LORD in/on/with fire and to ascend: rise smoke his like/as smoke [the] kiln and to tremble all [the] mountain: mount much
19 nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya Bwana ikamjibu.
and to be voice: sound [the] trumpet to go: continue and stronger much Moses to speak: speak and [the] God to answer him in/on/with voice: thunder
20 Bwana akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu,
and to go down LORD upon mountain: mount Sinai to(wards) head: top [the] mountain: mount and to call: call to LORD to/for Moses to(wards) head: top [the] mountain: mount and to ascend: rise Moses
21 naye Bwana akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona Bwana na wengi wao wakafa.
and to say LORD to(wards) Moses to go down to testify in/on/with people lest to overthrow to(wards) LORD to/for to see: see and to fall: kill from him many
22 Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”
and also [the] priest [the] to approach: approach to(wards) LORD to consecrate: consecate lest to break through in/on/with them LORD
23 Mose akamwambia Bwana, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’”
and to say Moses to(wards) LORD not be able [the] people to/for to ascend: rise to(wards) mountain: mount Sinai for you(m. s.) to testify in/on/with us to/for to say to border [obj] [the] mountain: mount and to consecrate: consecate him
24 Bwana akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa Bwana, nisije nikawaadhibu.”
and to say to(wards) him LORD to go: went to go down and to ascend: rise you(m. s.) and Aaron with you and [the] priest and [the] people not to overthrow to/for to ascend: rise to(wards) LORD lest to break through in/on/with them
25 Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.
and to go down Moses to(wards) [the] people and to say to(wards) them

< Kutoka 19 >