< Kutoka 16 >

1 Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.
İzrailybışin cəmə'ət Elimğançe ayk'anan. Manbı Elimneyiy Sinayne yıq'neene, Sin eyhene sahreeqa Misirğançe qığepç'iyne q'öb'esde vuzane yits'ıxhob'esde yiğıl qabı hiviyxhar.
2 Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni.
Sahree milletin Mısaylenayiy Harunulena haa'a giviyğal.
3 Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa Bwana huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”
İzrailybışe manbışik'le eyhe ıxha: – Misir çurunane k'umk'umbışde k'ane gyuv'urne gahıl, avts'esınmeen gıney otxhanang'a, Rəbbine xılençe ma'ab hapt'ıynxhiy nimee yugda eyxheyiy. Şunad inimeen millet sahreeqa mıssıka gyapt'as qadı!
4 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii, nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo yangu.
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Zı şolqa xəənçe gıney gyoğa'as. Hasre millet yiğıs qığeç'ecen, çisın yiğısiysın gıney se'ecen. Zı manbı Yizde q'aanunbışil k'ırı iliyxheyeva məxüb siliys üvxəs.
5 Siku ya sita watatayarisha kile waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili kuliko ya kile walichokusanya kila siku.”
Yixhıd'esde yiğıl q'öd şene yiğbışilinmeen sı'ı, ögiykecad otxhanan kar he'ecen.
6 Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia Waisraeli wote, “Jioni mtajua kwamba Bwana ndiye aliwatoa Misri,
Mıseeyiy Harunee İzrailybışik'le eyhen: – Exhal şok'le ats'axhxhesın Misirğançe şu Rəbbee qığav'u vuxhay.
7 kisha asubuhi mtauona utukufu wa Bwana, kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani hata mtunungʼunikie?”
Miç'eedmee şok'le Mana inyaa ıxhay, Mang'una xəbvalla g'avcesda. Rəbbik'le g'ayxhin şu Culena haa'a. Şi vuşbıne vooxhee, şu şalena haa'a?
8 Pia Mose akasema, “Mtajua kuwa alikuwa Bwana wakati atakapowapa nyama mle ifikapo jioni na mikate yote mtakayohitaji asubuhi kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani? Hamnungʼuniki dhidi yetu, bali dhidi ya Bwana.”
Mısee manbışik'le meed eyhen: – Şok'le inəxüd ats'axhxhes Mana Rəbb ıxhay: g'iyna exhal Mang'vee şos çuru heles, miç'eedıd avts'esınmeen gıney. Mang'uk'le g'ayxhiyn şu Culena haa'a. Nya'a şi vuşbune vooxhe? Şu şalena deş, Rəbbilena ha'a.
9 Kisha Mose akamwambia Aroni, “Iambie jumuiya yote ya Waisraeli kwamba, ‘Mje mbele zake Bwana, kwa maana amesikia manungʼuniko yenu.’”
Mısee Harunuk'le eyhen: – İzrailyne cəmə'ətık'le eyhe: «Rəbbine ögiylqa savaale, Mang'uk'le g'ayxhiyn şu Culqa alepçiy».
10 Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya yote ya Waisraeli, wakatazama kuelekea jangwani, na huko wakaona utukufu wa Bwana ukitokeza katika wingu.
Harun İzrailyne cəmə'ətıka yuşan ha'ane gahıl, cəmə'ətın vuk'ulybı sak'al ha'anbı sahrayne suralqa. Sayid manbışik'le buludne dirakee Rəbbin nur ıxhay g'ece.
11 Bwana akamwambia Mose,
Rəbbee Mısayk'le eyhen:
12 “Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate. Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’”
– Zak'le İzrailybışe Zalena haa'a g'ayxhı. Manbışik'le eyhe: «Exheqana şu çuru oxhanas, miç'eedıd avts'esınmeen gıney. Manke şok'le ats'axhxhesın Zı Rəbb, vuşda Allah ıxhay».
13 Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi.
Exheeqana bilydirçinar aletxu qadı çadırbı gı'xı'yn ciga gyats'a'an. Miç'eebiysıb mane cigayne hiqiy-alla ç'iy ı'xiyxə.
14 Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.
Ç'iy ts'ıts'axhamee, ç'iyene aq'val k'üvən xırıp'-xırıp' ha'an g'iravuk akaran sa kar axva.
15 Waisraeli walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?” Kwa kuwa hawakujua kilikuwa kitu gani. Mose akawaambia, “Huu ndio mkate ambao Bwana amewapa mle.
Ixhyanbı g'acu İzrailybışe sana-sang'uk'le eyhen: – İn hucoone? Manbışik'le man hucoo ıxhay ats'a deşdiy. Mısee manbışik'le eyhen: – İn Rəbbee şos oxhanasva huvuyn gıney vod.
16 Hivi ndivyo Bwana alivyoamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi moja kwa kila mtu mliye naye katika hema yenu.’”
Rəbbee inva şok'le uvhu: «Sı'iyle qiyğa, həməxüd he'e, xizaneene insanaaşis sik'ı ixhecen, gırgıng'ulqa sa vexhxheedın hixhrecen».
17 Waisraeli wakafanya kama walivyoambiwa, baadhi yao wakakusanya zaidi, wengine pungufu.
İzrailybışe gırgın cok'le uvhiyn xhinne ha'a. Sanbışe geed sa'a, mansanbışe k'ılda.
18 Nao walipopima katika pishi, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa. Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji.
Vexhxhayka gyoobakka gibğılmee, geeb sav'uyng'unab hexxaba haagu deş, k'ılyba sav'uyng'unab k'ılyba haagu deş. Gırgıng'vee q'aralika sav'una xhinnecab haa'gva.
19 Kisha Mose akawaambia, “Mtu yeyote asibakize chochote mpaka asubuhi.”
Mısee manbışik'le eyhen: – Vuşde neng'veecad miç'eediys vuççud g'ılymadaççe.
20 Hata hivyo, wengine hawakuzingatia aliyosema Mose, wakahifadhi kiasi fulani mpaka asubuhi, lakini kile alichohifadhi kikajaa mabuu na kuanza kunuka. Kwa hiyo Mose akawakasirikia.
Sassanbışe Mısayl k'ırı ilydiyxhı kar miç'eediys g'aledaççe. Mane otxhuneeqa mı'qər a'a, mançike eva g'əə giyğal. Mısee manbışilqa qəl haa'a.
21 Kila asubuhi, kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji na jua lilipokuwa kali, iliyeyuka.
Miç'eeb gırgıng'vee cus vukkanameena q'aralika sa'a vuxha. Qiyğa verığ pıra quvxhamee, mana xhinelqaniyxhe siviyk'alna.
22 Siku ya sita, wakakusanya mara mbili, kiasi cha pishi mbili kwa kila mtu, nao viongozi wa jumuiya wakaja kumwarifu Mose.
Yixhıd'esde yiğıl manbışe q'öd manimeen otxhuniy sa'a, sang'ulqa q'öble vexhxha gyooxha vuxha. Cəmə'ətne ç'ak'ınbışe co nimeen kariy sı'ıva abı Mısays yuşan ha'an.
23 Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa Bwana. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’”
Mısee manbışik'le eyhen: – Rəbbe inəxüdud eyhe: «G'iyqiyn ülycümün yighıd'esın, manzil haa'an yiğ vod. Man muq'addasın Rəbbin yiğ Şabbat vod. G'iyniykecad qecesın qece, qoxhxharasınıd qoxhre. Hexxada axuynıd g'iyqiys havace».
24 Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kama Mose alivyoagiza, na havikunuka wala kuwa na mabuu.
Manbışe otxhuniy Mısee uvhiyn xhinne g'iyqilqamee havacıva, mançeeqa mı'q'ərıd ı'ı deş, evad eyxhe deş.
25 Mose akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa Bwana. Hamtapata chochote juu ya nchi leo.
Mısee eyhen: – G'iyna şu man otxhanan kar oxhne. G'iyna Rəbbin yiğ, Şabbat vod. Şok'le g'iyna g'ad oxhanas vuççud aveykes deş.
26 Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.”
Şu man kar yixhne yiğna se'e, Şabbatıl, yighıd'esde yiğıl, şok'le vuççud aveykes deş.
27 Hata hivyo, baadhi ya watu wakatoka kwenda kukusanya siku ya saba, lakini hawakupata chochote.
Milletıken sabara insanar yighıd'esde yiğılib otxhuniy sa'asva qığepç'eyib manbışik'le vuççud iveeke deş.
28 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini?
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Şu mısılqameene Zı g'ixhxhiyne g'ayda-q'aanunuka gyuv'ur-oza qıdeepxhes?
29 Fahamuni kuwa Bwana amewapa ninyi Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. Hata mmoja haruhusiwi kutoka.”
İlyaake, Zı, Rəbbee şos Şabbatın yiğ huvu, mançil-allad Zı yixhıd'esde yiğıl şos q'öd manimeen otxhuniy hele. Yighıd'esde yiğılyıb gırgınbı cone xaybışee gyuv'urecen, əq'ənaqa ımaak'anancen.
30 Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.
Məxüb milletın yighıb'esde yiğıl manzil haa'a.
31 Watu wa Israeli wakaita ile mikate mana Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotengenezwa kwa asali.
Mane otxhuniyn do İzrailybışe manna giyxhe. Mana vuc k'aşnişne toxumukub akar, rangısıb cagvaraba vob. Opxhıniysıb itv qadğuyn k'alet xhinne vob.
32 Mose akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’”
Mısee eyhen: – Rəbbee inəxüd he'eva vod eyhe: «Sa vexhxha mannayna alyapt'ı şole qiyğiyne nasılbışis havaace. Hasre manbışik'led g'acecen, Zı şu Misirğançe qığav'uyng'a şos sahree huvuyn gıney».
33 Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, “Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana ndani yake. Kisha uweke mbele za Bwana ili kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”
Mısee Harunuk'le eyhen: – Kup alyaat'u mançeeqa sa vexhxha mannayna haç'ee'e. Qiyğad Rəbbine ögiylqa gixhxhe qihniyne nasılbışis havaces ixhecen.
34 Kama Bwana alivyomwagiza Mose, hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya Sanduku la Ushuhuda.
Rəbbee Mısayk'le uvhuyn xhinne, Harunee havacesva mannanan kup mugaavilenane q'utyeyne hiqa giyxhe.
35 Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu; walikula mana hadi walipofika mpakani mwa Kanaani.
İnsanarnane cigeeqa, Kana'anqa, qavaalesmee, İzrailybışe yoq'ts'al senna manna ooxhan.
36 (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.)
(Sa omer efana yits'ıb'esda pay vobna).

< Kutoka 16 >