< Kutoka 16 >

1 Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.
Isala: ili fi huluane da Ilimi soge yolesili, logoga asi. Ilia da Idibidi yolesili oubi aduna logoga asi. Eso ba: amo oubi ganodini, ilia da wadela: i hafoga: i soge amo Sini amoga doaga: i. La: di da Ilimi amola la: di da Sainai. Sini soge da mogoa dialu.
2 Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni.
Amogai, wadela: i soge amoga, ilia da Mousese amola Elane elama sia: ga gegene egai.
3 Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa Bwana huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”
Ilia da elama amane sia: i, “Hina Gode da nini huluane Idibidi soge ganodini medole legemu da defea galu. Amogai ninia da fili, hu amola ha: i manu eno, ninia hanai amo defele manusa: dawa: i galu. Be alia da nini amo wadela: i hafoga: i soge amoga ha: ga bogoma: ne oule misi dagoi.”
4 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii, nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo yangu.
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Na da wali agoane hamomu. Ha: i manu da gibu agoane muagado dilima sanasimu. Dunu da eso huluane ilia amo esoga nasu defele ha: i manu lidimusa: masunu. Amasea, Na da ilia hou ado ba: mu. Ilia da Na sia: nabawane hamoma: bela: ?
5 Siku ya sita watatayarisha kile waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili kuliko ya kile walichokusanya kila siku.”
Eso gafe amoga, ilia da eso aduna defele ha: i manu diasuga gaguli misa: ma.”
6 Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia Waisraeli wote, “Jioni mtajua kwamba Bwana ndiye aliwatoa Misri,
Amaiba: le, Mousese amola Elane da Isala: ili dunu huluane ilima amane sia: i, “Wali daeya dilia Hina Gode da dili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasili, guiguda: oule misi, amo dilia da noga: le dawa: mu.
7 kisha asubuhi mtauona utukufu wa Bwana, kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani hata mtunungʼunikie?”
Hahabe dilia da Hina Gode Ea hadigi sinenemigi bagade ba: mu. E da dilia Ema sia: ga egasu nabi dagoi. Dafawane! Amo egasu da Godema sia: ga gegesu. Ania da Ea sia: nabawane hamosu fawane.”
8 Pia Mose akasema, “Mtajua kuwa alikuwa Bwana wakati atakapowapa nyama mle ifikapo jioni na mikate yote mtakayohitaji asubuhi kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani? Hamnungʼuniki dhidi yetu, bali dhidi ya Bwana.”
Amalalu, Mousese da amane sia: i, “Hina Gode da daeya hu dilima imunu amola hahabe agi dilia hanai defele amo dilima imunu. Bai E da dilia Ema egasu nabi dagoi. Dilia da anima sia: ga gegesea, dilia da dafawane Hina Gode Ema fawane sia: ga gegesa.”
9 Kisha Mose akamwambia Aroni, “Iambie jumuiya yote ya Waisraeli kwamba, ‘Mje mbele zake Bwana, kwa maana amesikia manungʼuniko yenu.’”
Mousese da Elanema amane sia: i, “Isala: ili dunu fi huluane misa: ne amola Gode ba: ma: ne leloma: ne sia: ma. Bai E da ilia egasu nabi dagoi.”
10 Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya yote ya Waisraeli, wakatazama kuelekea jangwani, na huko wakaona utukufu wa Bwana ukitokeza katika wingu.
Elane da Isala: ili dunu fi huluane ilima sia: noba, ilia da delegili wadela: i soge amoga ba: le, hedolowane Hina Gode Ea hadigi sinenemigi baligili bagadedafa mumobi ganodini dialebe ba: i.
11 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
12 “Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate. Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’”
“Na da Isala: ili dunu ilia egasu nabi dagoi. Ilia da daeya hu manu ba: mu amola hahabe agi ilia sadimusa: defele ba: mu, amo ilima adoma. Amasea, ilia da Na da ilia Hina Gode, amo dawa: mu.”
13 Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi.
Daeya, sio fi ilia dio ‘gowa: ili’ amo wa: i bagadewane da misini amola ilia abula moilai dedeboi dagoi. Amola hahabe oubi baiya agoane ilia esalebe sogega sa: i dagoi ba: i.
14 Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.
Oubi baiya da esoga hafoga: loba, liligi amo da sua: agi fonobahadi amo osoboga dialebe ba: i. Amo liligi da asaboi mugene o gagoma fage agoane ba: i.
15 Waisraeli walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?” Kwa kuwa hawakujua kilikuwa kitu gani. Mose akawaambia, “Huu ndio mkate ambao Bwana amewapa mle.
Isala: ili dunu da amo ba: loba, amo ea hou hame dawa: beba: le, amane gilisili sia: dasu, “Goe adila: ?” (‘ma: na’ dawa: loma: ne da “Goe adila: ?”) Mousese da ilima bu adole i, “Amo da ha: i manu Hina Gode da dilima i dagoi.
16 Hivi ndivyo Bwana alivyoamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi moja kwa kila mtu mliye naye katika hema yenu.’”
Hina Gode da agoane sia: sa. Dili da dili manu defele amo liligi lidima. Dunu amola uda amola mano afae afae ofodo fonobahadi (‘lida’ aduna defei agoane) amo defele lama: mu.”
17 Waisraeli wakafanya kama walivyoambiwa, baadhi yao wakakusanya zaidi, wengine pungufu.
Isala: ili dunu da Mousese ea sia: defele hamoi. Oda da bagade lidi, oda da fonobahadi lidi.
18 Nao walipopima katika pishi, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa. Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji.
Be lidi liligi ea defei ba: loba, dunu da bagade lidi da baligili lai dagoi hame ba: i amola nowa da fonobahadi lidi amo ea lai da defele ba: i dagoi. Dunu huluane da e sadima: ne lai dagoi ba: i.
19 Kisha Mose akawaambia, “Mtu yeyote asibakize chochote mpaka asubuhi.”
Mousese da ilima amane sia: i, “Amo ha: i manu aya manusa: mae ligisima.”
20 Hata hivyo, wengine hawakuzingatia aliyosema Mose, wakahifadhi kiasi fulani mpaka asubuhi, lakini kile alichohifadhi kikajaa mabuu na kuanza kunuka. Kwa hiyo Mose akawakasirikia.
Be oda da Mousese ea sia: mae nabawane, ha: i manu mogili aya manusa: ligisi. Be aya hahabe amo da dasaiba: le gaha bagade nabi amola ifidi amoga nabai ba: i. Amo ba: beba: le, Mousese da ilima ougi galu.
21 Kila asubuhi, kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji na jua lilipokuwa kali, iliyeyuka.
Hahabe huluane, dunu huluane da e sadima: ne, ‘ma: na’ lidi dagoi. Amola eso da gia: noba, hame lidi liligi osoboga dialu da daeane ebelei ba: i.
22 Siku ya sita, wakakusanya mara mbili, kiasi cha pishi mbili kwa kila mtu, nao viongozi wa jumuiya wakaja kumwarifu Mose.
Eso gafe amoga ilia da eso aduna moma: ne defele dunu afae afae da ofodo fonobahadi aduna lidi (‘lida’ biyadu agoane). Isala: ili asigilai ouligisu ilia da Mousesema amo hou adola misi.
23 Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa Bwana. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’”
Amola e da ilima amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Aya eso fesu eso da Ema dawa: ma: ne helefisu eso ganumu.’ Wali eso dilia hanaiga ha: i manu gobema amola gia: ma. Ha: i manu hame mai diala amo aya manusa: ligisima.”
24 Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kama Mose alivyoagiza, na havikunuka wala kuwa na mabuu.
Ilia da Mousese ea sia: defele hamoi. Ha: i manu hame mai dialu ilia da aya manusa: ligisi. Amo da hame dasai amola ifidi da amoga hame sa: i.
25 Mose akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa Bwana. Hamtapata chochote juu ya nchi leo.
Mousese da amane sia: i, “Amo ha: i manu wali wega moma. Bai wali da Sa: bade eso, amo helefisu eso Hina Godema dawa: ma: ne hamoi. Dilia diasu gadili ha: i manu hame ba: mu.
26 Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.”
Dilia da eso gafeyale gala amoga ha: i manu lidima. Be eso fesu amoga, amo da helefisu eso, amola dilia da ha: i manu hame ba: mu.”
27 Hata hivyo, baadhi ya watu wakatoka kwenda kukusanya siku ya saba, lakini hawakupata chochote.
Be eso fesu amoga, dunu mogili da gadili ha: i manu hogola asi. Be amo ilia hame ba: i.
28 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini?
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Isala: ili fi da habogala gasa fi hou fisili Na sia: noga: le nabima: bela: ?
29 Fahamuni kuwa Bwana amewapa ninyi Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. Hata mmoja haruhusiwi kutoka.”
Mae gogolema! Na, Hina Gode, da dilima helefisu eso i dagoi. Amaiba: le, Na da eso gafeyale amoga mae fisili dilima ha: i manu eso adunaga moma: ne defele dilima imunu. Dunu huluanedafa da eso fesu amoga hi diasu mae fisili, helefima: ne esaloma: mu.
30 Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da eso fesu amoga hawa: hame hamosu.
31 Watu wa Israeli wakaita ile mikate mana Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotengenezwa kwa asali.
Isala: ili dunu da amo ha: i manu ‘ma: na’ dio asuli. E da fage ahea: ya: i fonobahadi agoane ba: i. Ea gamini nasu da agi gobei amola agime hano gilisi agoane ba: i.
32 Mose akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’”
Mousese da amane sia: i, “Hina Gode da ninima amane sia: i, ‘Ma: na’ mogili diligaga fi ba: ma: ne la: didili ligisima. Ilia ha: i manu amo Hina Gode da dilia Idibidi sogega gadili oule asili, wadela: i soge amoga dilia moma: ne i, amo ilia ba: mu da defea.”
33 Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, “Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana ndani yake. Kisha uweke mbele za Bwana ili kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”
Amalalu, Mousese da Elanema amane sia: i, “Di ofodo agoai osoboga hamoi ‘lida’ aduna defei agoane amo lale, ‘ma: na’ amo ganodini salima. Amalalu, Hina Gode ba: ma: ne noga: le ligisima. Amasea, fa: no ninigaga fi da amo liligi ba: mu.”
34 Kama Bwana alivyomwagiza Mose, hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya Sanduku la Ushuhuda.
Hina Gode da Mousesema sia: i amo defele, Elane da amo lale, dialoma: ne Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ea ba: le gaidiga ligisi.
35 Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu; walikula mana hadi walipofika mpakani mwa Kanaani.
Isala: ili dunu da ode 40 eno amoga ‘ma: na’ nasu. Amogainini ilia Ga: ina: ne sogega doaga: le esalu.
36 (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.)
(Amo esoga, hafoga: i sema defei ilegei da 20 ‘lida’ agoane ba: i.)

< Kutoka 16 >