< Kutoka 14 >
1 Ndipo Bwana akamwambia Mose,
Rəbbee Mısayk'le eyhen:
2 “Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni.
– İzrailybışik'le eyhe, havaasre manbı yı'q'əlqa sapk'ıl Pi-Haxirot eyhene cigayne k'ane Migdolneyiy deryahne əree çadırbı gı'xecen. Deryahısnee Ba'al-Tsefonne ögee vuxhecen.
3 Farao atafikiri kwamba, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga katika nchi kwa kuchanganyikiwa, nalo jangwa limewafungia.’
Fironusqa həməxüd qales: «İzrailybı nyaqame vuxhesınbı avxu, sahrayn manbışda yəqı'b g'ats'apk'ın».
4 Nami nitaufanya moyo wa Farao mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa mimi ndimi Bwana.” Kwa hiyo Waisraeli wakafanya hivyo.
Zı firon meer hı't'ilqa sak'ala'as, manar manbışiqa qihna gixhas. Məxüd Zı mang'ukuniy mang'une g'oşunukın hı'ı Yizın do axtı qa'as. Manke Misirbışik'le Zı Rəbb ıxhay ats'axhxhesın. İzrailybışe həməxüdud ha'an.
5 Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”
Fironuk'le İzrailybı heepxıva uvhuyng'a, mang'unayiy cune insanaaşina fıkır badal vooxhena. Manbışe eyhen: – Şi in hı'iyn kar hucoone? Şi İzrailybı g'avkku nukarar dena avxu!
6 Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
Fironee dəv'əysın daşk'a balkanaaşik qa'as alikkı, cuka g'oşunub qopt'ul ayk'anna.
7 Akachukua magari bora mia sita, pamoja na magari mengine yote ya Misri, pamoja na maafisa wa magari hayo yote.
Mang'vee cuka yixhıd vəş g'əyxı'yne, yugne dəv'əyne daşk'ayle ğayrı, Misirın gırgıncad dəv'əyn daşk'abı alyat'anbı. Gırgıne daşk'abışiqa çin ç'ak'ınbı vooxhe.
8 Bwana akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka Misri kwa ujasiri.
Rəbbee firon, Misirna paççah hı't'ilqa sakal ha'a, manar Misirğançe qığəəne İzrailybışqar qihna gexha. İzrailybımee yik'eka əlyhə vuxha.
9 Nao Wamisri, yaani farasi wote wa Farao na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta karibu na Pi-Hahirothi, mkabala na Baal-Sefoni walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari.
Misirbı fironne gırgıne dəv'əyne daşk'abışika, balkanaaşil aleepxıynbışika, gırgıne g'oşunbışika sacigee İzrailybışiqa qihna gyabak'a. Misirbışisqa manbı deryahısne çadırbı gixı'yne cigee, Pi-Haxirotne k'ane, Ba'al-Tsefonne hiib gyabak'a.
10 Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua macho yao, wakawaona Wamisri wakija nyuma yao. Wakashikwa na hofu, wakamlilia Bwana.
Firon İzrailybışiqa avayq'arniy vor. Manbı yı'q'əlqa sapk'ıl ilyakiys g'ecen, manbı coqab qihna vob gyapk'ı. Manbı mançile geeb qəpq'ı'n Rəbbilqa ona'a giviyğal.
11 Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba hayakuwako makaburi huko Misri hata umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini kututoa Misri?
Manbışe Mısayk'le eyhen: – Nya'a Misir nyaq'vbıniy deş, ğu şi hapt'as sahreeqa qabı? Karne ğu hı'ı şi Misirğançe qığav'u?
12 Hatukukuambia tulipokuwa huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri? Ingekuwa vyema zaidi kwetu kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani!”
Nya'a, şi vak'le Misir uvhu dişdiy: «Şi şaleb alqana g'alee'e. Havaasre şi Misirbışda iş haa'as»? Misir nukariyvalla hav'uy, sahree hapt'ıyle yugda eyxheyiy!
13 Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Bwana atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.
Mısee milletıs inəxdun alidghıniy qele: – Qı'məəq'ən, ulyoozre! Şok'le g'iyna g'acesın, Rəbbee şu nəxübiy g'attivxhan haa'a. Həşde g'oocen Misirbı, şok'le sayıb mısacab g'avces deş.
14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu.”
Rəbbee şol-alla manbışikın ha'asın, yik'bı it'umda aqqe!
15 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Kwa nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Nişil-allane ğu Zalqa ona'a? İzrailybışik'le eyhe, ögiylqa hudooracen.
16 Inua fimbo yako na unyooshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita mahali pakavu baharini.
Ğumee əsaa, deryahılqa hotk'u xhyan q'öne cigeeqa qe'e, İzrailybışisse mane xhyan deşde cigeençe deryahıle k'ena ılğeepç'es vəəxhecen.
17 Nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini wakiwafuatia. Nami nitajipatia utukufu kupitia Farao pamoja na jeshi lake lote, kupitia magari yake ya vita na wapanda farasi wake.
Zımee Misirbı hı't'eeşilqa savaak'al haa'as, manbıb şoqab qihna qavaales. Zınad fironne dəv'əyne daşk'abışikıniy balkanaşil aleepxıyne g'oşunbışikın hı'ı Yizın do axtı qa'as.
18 Nao Wamisri watajua kwamba Mimi ndimi Bwana nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake.”
Zı mısayiy fironukuniy cune dəv'əyne daşk'abışikın, balkanaaşil aleepxıynbışikın hı'ı, Yizın do axtı qı'ı, manke Misirbışik'le Zı Rəbb ıxhay ats'axhxhes.
19 Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma,
İzrailybışile ögiyl əlyhəəna Allahna malaaik, ciga badal hav'u, manbışiqar qihna qöö giyğal. Buludne dirakınıb çina ciga badal hav'u, yı'q'əle,
20 ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.
İzrailyneyiy Misirne g'oşunbışde əree qöö giviyğal. Xəmvollete dirakın İzrailybışis işix gyavhu, Misirbışismee miç'axiyvalla hav'u. Man g'oşunbı xəmvolletee sana-sançisqa qeetxha deş.
21 Ndipo Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, naye Bwana akayasukuma maji ya bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji yakagawanyika,
Mısee xıl deryahılqa hodakke. Rəbbeyib xəmvollete şargıle aa'ane mıtsıka deryahın xhyan mançe ak'an ha'a ıxha. Məxüd mane cigayn xhyan qeqqva'an. Xhyan q'öne cigeeqa qexhe.
22 nao Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.
İzrailybıb deryahne xhyan deşde cigayle k'ena ılğeepç'ı avayk'ananbı. Xhyanbı cabırbı xhinne qetxha manbışde sağneyiy solne sural ulyoyzar.
23 Wamisri wakawafuatia ndani ya bahari, pamoja na farasi wote wa Farao, magari ya vita na wapanda farasi.
Misirbı gyabak'anbı manbışde qihna. Fironun dəv'əyn daşk'abı, balkanaaşil alepxıynbıb manbışde qihna k'eebaç'enbı deryaheeqa.
24 Karibia mapambazuko, Bwana akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha.
Rəbb verığna ul üvxəsse buludneyiy ts'ayine dirakeençe horzul Misirbışin g'oşunbı sana-sançil alikka'a.
25 Mungu akayaondoa magurudumu ya magari yao, kwa hivyo wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri wakasema, “Tuachane na Waisraeli! Bwana anawapigania dhidi ya Misri.”
Mang'vee dəv'əyne daşk'abışin tekarbı sacuraycad qa'a, mançisse yugda alik'aras məxəcenva. Misirbışe eyhen: – Qudoora inçe heepxas! Rəbbee İzrailybışin sura aqqı, şakınıd ha'as ıkkan.
26 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya bahari ili maji yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya vita na wapanda farasi wao.”
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Xıl deryahılqa hotke xhyanbı çine cigeeqa satk'ıl, maabın Misirbı dəv'əyne daşk'abışika, balkanaaşil alepxıynbışika sacigee çik avub g'alee'ecen.
27 Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, wakati wa mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, lakini Bwana akawasukumia ndani ya bahari.
Mısee deryahılqa xıl hodakke, xhyanbıd miç'eeqana çine cigeeqa siyk'al. Misirbı xhineençe heebaxamee, Rəbbee manbı haly'av'u deryahne yı'q'neeqa g'aa'a.
28 Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika.
İzrailybışiqa qihna deryaheeqa k'eeç'uyn dəv'əyn daşk'abı, balkanaaşil aleepxıynbı, gırgınacab g'oşun yı'q'əlqa satk'ılne deryahne xhyanbışee hööğəna. Mançe şavussecar g'attixhanas əxə deş.
29 Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.
Məxüd ıxha İzrailybı deryahne yı'q'neene xhyan deşde cigayle k'ena ılğeepç'ı avayk'an. Xhyan manbışde sağneyiy solne sural çabır xhinne ulyoyzar.
30 Siku ile Bwana akawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamisri, nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni mwa bahari wakiwa wamekufa.
Mane yiğıl İzrailybı Rəbbee Misirbışde xılençe g'attivxhan haa'a. Qiyğa manbışik'le Misirbı deryahne mıglek hapt'ı g'ooce.
31 Basi Waisraeli walipoona uwezo mkubwa Bwana aliodhihirisha dhidi ya Wamisri, watu wakamwogopa Bwana na wakaweka tumaini lao kwake na kwa Mose mtumishi wake.
İzrailybışik'le Misirbışik Rəbbee xənne gucuka hı'iyn g'acumee, manbı Rəbbile qəvəyq'ən giviyğal. Mang'ulqayiy Mang'une g'ululqa, Mısalqa, inyam ha'a giviyğal.