< Kutoka 13 >
Yahweh falou a Moisés, dizendo:
2 “Niwekeeni wakfu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume. Kila mtoto wa kwanza aliye kifungua tumbo miongoni mwa Waisraeli ni mali yangu, akiwa wa mwanadamu au wa mnyama.”
“Santifica-me todos os primogênitos, o que quer que abra o ventre entre os filhos de Israel, tanto do homem como do animal. É meu”.
3 Ndipo Mose akawaambia watu, “Ikumbukeni siku hii, siku ambayo mlitoka katika nchi ya Misri, katika nchi ya utumwa, kwa sababu Bwana aliwatoa humo kwa mkono wenye nguvu. Msile chochote kilichotiwa chachu.
Moisés disse ao povo: “Lembra-te deste dia, em que saíste do Egito, da casa da servidão; pois pela força da mão Yahweh te tirou deste lugar”. Nenhum pão fermentado deve ser comido.
4 Leo, katika mwezi wa Abibu, mnatoka.
Hoje vocês saem no mês Abib.
5 Bwana atakapokuleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha sikukuu hii katika mwezi huu:
Será, quando Javé vos trouxer à terra dos cananeus, e dos hititas, e dos amorreus, e dos heveus, e dos jebuseus, que ele jurou a vossos pais que vos daria, uma terra que flui com leite e mel, que guardareis este serviço neste mês.
6 Kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku ya saba utamfanyia Bwana sikukuu.
Sete dias comerá pão ázimo, e no sétimo dia será um banquete para Iavé.
7 Kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu, pasionekane kitu chochote kilicho na chachu miongoni mwako, wala chachu yoyote isionekane popote ndani ya mipaka yako.
Pães ázimos serão comidos durante os sete dias; e nenhum pão levedado será visto com você. Nenhuma levedura será vista com vocês, dentro de todas as suas fronteiras.
8 Siku ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa sababu ya jambo ambalo Bwana alinitendea nilipotoka katika nchi ya Misri.’
Naquele dia dirá a seu filho: “É por causa do que Javé fez por mim quando eu saí do Egito”.
9 Adhimisho hili, litakuwa kama alama kwenye mkono wako na ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba sheria ya Bwana inapaswa iwe kinywani mwako. Kwa kuwa Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.
Será para um sinal em sua mão, e para um memorial entre seus olhos, que a lei de Javé possa estar em sua boca; pois com uma mão forte Javé o tirou do Egito.
10 Ni lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa mwaka baada ya mwaka.
Portanto, você deverá manter esta portaria em sua época de ano a ano.
11 “Baada ya Bwana kukuingiza katika nchi ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,
“Será, quando Javé vos introduzir na terra dos cananeus, como ele jurou a vós e a vossos pais, e vos dará,
12 inakupasa kumtolea Bwana mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya Bwana.
que separareis a Javé tudo o que abrir o ventre, e todo primogênito que vier de um animal que tiverdes. Os machos serão de Yahweh.
13 Kila mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo, lakini kama hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa wana wenu utamkomboa.
Todo primogênito de um burro você resgatará com um cordeiro; e se não o resgatar, então quebrará seu pescoço; e resgatará todos os primogênitos do homem entre seus filhos.
14 “Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu Bwana alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.
Será, quando seu filho lhe perguntar a tempo, dizendo: “O que é isto?”, que lhe dirá: “Pela força da mão Javé nos tirou do Egito, da casa da servidão”.
15 Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, Bwana aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa Bwana mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’
Quando o Faraó teimou em nos deixar ir, Javé matou todos os primogênitos da terra do Egito, tanto os primogênitos do homem, quanto os primogênitos do gado. Portanto, eu sacrifico a Javé tudo o que abre o ventre, sendo machos; mas todos os primogênitos de meus filhos eu resgato”.
16 Jambo hili litakuwa kama ishara kwenye mkono wako na kama alama kwenye paji la uso wako, kwamba Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.”
Será por um sinal em sua mão, e por símbolos entre seus olhos; pois pela força da mão Yahweh nos tirou do Egito”.
17 Farao alipowaachia watu waende, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi. Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi Misri.”
Quando o Faraó deixou o povo ir, Deus não o conduziu pelo caminho da terra dos filisteus, embora isso estivesse próximo; pois Deus disse: “Para que o povo não mude de idéia quando vir a guerra, e volte ao Egito”;
18 Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani, kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa kwa vita.
mas Deus conduziu o povo pelo caminho do deserto pelo Mar Vermelho; e as crianças de Israel subiram armadas para fora da terra do Egito.
19 Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali hapa.”
Moisés levou consigo os ossos de José, pois tinha feito os filhos de Israel jurarem, dizendo: “Deus certamente vos visitará, e vós levareis os meus ossos para longe daqui convosco”.
20 Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.
They fizeram sua viagem de Succoth, e acamparam em Etham, na orla do deserto.
21 Wakati wa mchana Bwana aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza katika njia yao, na wakati wa usiku aliwatangulia kwa nguzo ya moto kuwaangazia, ili waweze kusafiri mchana au usiku.
Yahweh foi antes deles de dia numa coluna de nuvem, para guiá-los em seu caminho, e de noite numa coluna de fogo, para dar-lhes luz, para que pudessem ir de dia e de noite:
22 Ile nguzo ya wingu wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya watu.
a coluna de nuvem de dia, e a coluna de fogo de noite, não partiram de diante do povo.