< Kutoka 13 >

1 Bwana akamwambia Mose,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
2 “Niwekeeni wakfu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume. Kila mtoto wa kwanza aliye kifungua tumbo miongoni mwa Waisraeli ni mali yangu, akiwa wa mwanadamu au wa mnyama.”
to consecrate: dedicate to/for me all firstborn firstborn all womb in/on/with son: descendant/people Israel in/on/with man and in/on/with animal to/for me he/she/it
3 Ndipo Mose akawaambia watu, “Ikumbukeni siku hii, siku ambayo mlitoka katika nchi ya Misri, katika nchi ya utumwa, kwa sababu Bwana aliwatoa humo kwa mkono wenye nguvu. Msile chochote kilichotiwa chachu.
and to say Moses to(wards) [the] people to remember [obj] [the] day [the] this which to come out: come from Egypt from house: household servant/slave for in/on/with strength hand: power to come out: send LORD [obj] you from this and not to eat leaven
4 Leo, katika mwezi wa Abibu, mnatoka.
[the] day you(m. p.) to come out: come in/on/with month [the] Abib
5 Bwana atakapokuleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha sikukuu hii katika mwezi huu:
and to be for to come (in): bring you LORD to(wards) land: country/planet [the] Canaanite and [the] Hittite and [the] Amorite and [the] Hivite and [the] Jebusite which to swear to/for father your to/for to give: give to/for you land: country/planet to flow: flowing milk and honey and to serve: minister [obj] [the] service [the] this in/on/with month [the] this
6 Kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku ya saba utamfanyia Bwana sikukuu.
seven day to eat unleavened bread and in/on/with day [the] seventh feast to/for LORD
7 Kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu, pasionekane kitu chochote kilicho na chachu miongoni mwako, wala chachu yoyote isionekane popote ndani ya mipaka yako.
unleavened bread to eat [obj] seven [the] day and not to see: see to/for you leaven and not to see: see to/for you leaven in/on/with all border: area your
8 Siku ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa sababu ya jambo ambalo Bwana alinitendea nilipotoka katika nchi ya Misri.’
and to tell to/for son: child your in/on/with day [the] he/she/it to/for to say in/on/with for the sake of this to make: do LORD to/for me in/on/with to come out: come I from Egypt
9 Adhimisho hili, litakuwa kama alama kwenye mkono wako na ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba sheria ya Bwana inapaswa iwe kinywani mwako. Kwa kuwa Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.
and to be to/for you to/for sign: indicator upon hand your and to/for memorial between eye your because to be instruction LORD in/on/with lip your for in/on/with hand: power strong to come out: send you LORD from Egypt
10 Ni lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa mwaka baada ya mwaka.
and to keep: obey [obj] [the] statute [the] this to/for meeting: time appointed her from day: year day: year [to]
11 “Baada ya Bwana kukuingiza katika nchi ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,
and to be for to come (in): bring you LORD to(wards) land: country/planet [the] Canaanite like/as as which to swear to/for you and to/for father your and to give: give her to/for you
12 inakupasa kumtolea Bwana mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya Bwana.
and to pass: bring all firstborn womb to/for LORD and all firstborn offspring animal which to be to/for you [the] male to/for LORD
13 Kila mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo, lakini kama hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa wana wenu utamkomboa.
and all firstborn donkey to ransom in/on/with sheep and if not to ransom and to break the neck him and all firstborn man in/on/with son: child your to ransom
14 “Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu Bwana alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.
and to be for to ask you son: child your tomorrow to/for to say what? this and to say to(wards) him in/on/with strength hand: power to come out: send us LORD from Egypt from house: home servant/slave
15 Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, Bwana aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa Bwana mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’
and to be for to harden Pharaoh to/for to send: let go us and to kill LORD all firstborn in/on/with land: country/planet Egypt from firstborn man and till firstborn animal upon so I to sacrifice to/for LORD all firstborn womb [the] male and all firstborn son: child my to ransom
16 Jambo hili litakuwa kama ishara kwenye mkono wako na kama alama kwenye paji la uso wako, kwamba Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.”
and to be to/for sign: indicator upon hand your and to/for phylacteries between eye your for in/on/with strength hand: power to come out: send us LORD from Egypt
17 Farao alipowaachia watu waende, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi. Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi Misri.”
and to be in/on/with to send: let go Pharaoh [obj] [the] people and not to lead them God way: road land: country/planet Philistine for near he/she/it for to say God lest to be sorry: relent [the] people in/on/with to see: see they battle and to return: return Egypt [to]
18 Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani, kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa kwa vita.
and to turn: turn God [obj] [the] people way: road [the] wilderness sea Red (Sea) and armed to ascend: rise son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt
19 Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali hapa.”
and to take: take Moses [obj] bone Joseph with him for to swear to swear [obj] son: child Israel to/for to say to reckon: visit to reckon: visit God [obj] you and to ascend: establish [obj] bone my from this with you
20 Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.
and to set out from Succoth and to camp in/on/with Etham in/on/with end [the] wilderness
21 Wakati wa mchana Bwana aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza katika njia yao, na wakati wa usiku aliwatangulia kwa nguzo ya moto kuwaangazia, ili waweze kusafiri mchana au usiku.
and LORD to go: went to/for face: before their by day in/on/with pillar cloud to/for to lead them [the] way: journey and night in/on/with pillar fire to/for to light to/for them to/for to go: walk by day and night
22 Ile nguzo ya wingu wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya watu.
not to remove pillar [the] cloud by day and pillar [the] fire night to/for face: before [the] people

< Kutoka 13 >