< Kutoka 11 >
1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
Och Herren sade till Mose: Jag vill ännu låta komma ena plågo öfver Pharao och Egypten, sedan skall han släppa eder hädan; och skall ej allenast släppa eder, utan ock drifva eder hädan.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Så säg nu till folket, att hvar och en man bedes af sin nästa, och hvar och en qvinna af sine nästo, silfver och gyldene tyg;
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
Ty Herren varder gifvandes folkena nåd för de Egyptier. Och Mose var en ganska myndig man i Egypti land, för Pharaos tjenare, och för folkena.
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Och Mose sade: Detta säger Herren: Jag vill på midnattstid utgå i Egypti land.
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
Och allt det förstfödt är i Egypti land skall blifva dödt, ifrå Pharaos förstfödda son, den på hans stol sitter, allt intill tjensteqvinnones förstfödda son, som är vid qvarnena; och allt det förstfödt är ibland boskapen.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
Och ett stort rop skall vara i hela Egypti lande, hvilkets like icke varit hafver, ej heller varder.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
Men när Israels barnom skall icke en hund krätta med sine tungo, ifrå menniskom, allt intill boskapen; på det I skolen förnimma, huru Herren åtskiljer Egypten och Israel.
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
Då skola alle desse dine tjenare gå ned till mig, och falla mig till fota, och säga: Far ut, du och allt folket, som under dig är. Sedan vill jag fara ut. Och han gick ifrå Pharao ganska vreder.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
Men Herren sade till Mose: Pharao hörer eder intet, på det mycken under skola ske i Egypti lande.
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Och Mose och Aaron gjorde all dessa under inför Pharao; men Herren förstockade honom hans hjerta, att han icke ville släppa Israels barn utu sitt land.