< Kutoka 11 >
1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
Hat navah, BAWIPA ni Faro siangpahrang hoi Izip ram dawk lacik ka tho sak han. Hathnukkhu, nangmouh na tâco sak awh han. Na tâco sak awh toteh nangmouh pâlei lah na pâlei awh han.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Isarel tami tongpa ni imri tongpa koe thoseh, napui ni imri napui koe thoseh, sui, ngun hoi khohnanaw hei hanlah, taminaw koe dei pouh telah Mosi koe atipouh.
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
Ahnimouh ni a hei e patetlah Izip taminaw ni poe ngainae pahrennae lung hah BAWIPA ni a tawn sak. Mosi haiyah Izip ram dawk Faro siangpahrang e a sannaw hoi a taminaw hmalah bari kaawm e lah ao.
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Hat navah, Mosi koe BAWIPA ni a dei e teh karumsaning vah Izip ram ka kâva han.
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
Bawitungkhung dawk ka tahung e Faro e capa camin koehoi cakang phawmnae koe kaawm e sannu e camin totouh, Izip ram kaawm e camin pueng hoi saringnaw e ca caminnaw pueng koung a due awh han.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
Izip ram pueng dawk ayan hoi kaawm boihoeh e hoi hmalah hai bout kaawm hoeh hane kalenpounge khuikanae ao han.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
Hateiteh, BAWIPA ni Izipnaw hoi Isarelnaw kapeknae a tawn ti na panue thai nahanelah, Isarel tami buet touh boehai ui ni rauk mahoeh telah atipouh.
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
Na sannaw pueng ni hai kai koe tho awh nateh tabut laihoi cet ati han. Nang hoi na hnukkâbangnaw koung tâcawt telah a dei hnukkhu, kai ka cei han telah a dei pouh teh a lungkhuek teh Faro koehoi a tâco.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
BAWIPA ni hai kângairu e hnonaw Izip ram dawk moiapap nahan, Faro siangpahrang ni nangmae lawkngai laipalah ao han telah Mosi koe atipouh.
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Mosi hoi Aron ni Faro hmalah hete kângairunae a sak roi eiteh, BAWIPA ni Faro siangpahrang e a lungpata sak dawkvah Isarel canaw a ram dawk hoi tâconae kâ poe hoeh.