< Kutoka 11 >

1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
(А Господ беше казал на Моисея: Още една язва ще нанеса на Фараона и на Египет, подир което ще ви пусне от тука; когато ви пусне, съвсем ще ви изпъди от тука.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Кажи, прочее, в ушите на людете, и нека поиска всеки мъж от съседа си, и всяка жена от съседката си, сребърни и златни вещи.
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
И Господ беше дал на людете да продибият благоволението на египтяните. При това, Моисей беше станал твърде велик човек в Египетската земя пред Фараоновите слуги и пред людете).
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Моисей каза на Фараона: Така казва Господ: Около средата на една нощ Аз ще мина през Египет;
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
и всички първороден в Египетската земя ще умре, от първородните на Фараона, който седи на престола си, до първородния на слугинята, която е зад воденицата, и до всяко първородно от добитъка.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
И по цялата Египетска земя ще се нададе голям писък, какъвто никога не е имало, нито ще има вече такъв.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
А против израилтяните, против човек или животно, нито куче няма да поклати езика си, за да познаете, че Господ прави разлика между египтяните и израилтяните.
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
И всички тия твои слуги ще дойдат при мене и ще ми припаднат и рекат: Излез ти с всичките люде, които те следват. И подир това ще изляза. И Моисей излезе от Фараоновото присъствие с голям гняв.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
(А Господ беше казал на Моисея: Фараон няма да ви послуша, за да се умножат Моите чудеса в Египетската земя.
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
И Моисей и Аарон бяха извършили всички тия чудеса пред Фараона, и той не беше пуснал израилтяните из земята си).

< Kutoka 11 >