< Kutoka 11 >

1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Na da Felou (Idibidi hina bagade) amola ea fi dunu ilima eno afae fawane se nabasu imunu. Amo ba: sea, e da dili fisidigimu. Amo baligili, e da dili gadili sefasimu.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Be wali Isala: ili dunuma sia: ma. Ilia da Idibidi na: iyado ilima gouli, silifa amola muni liligi ilima ima: ne sia: ma.”
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
Hina Gode da Idibidi dunu ilia asigi dawa: su afadenene, ilia da Isala: ili dunuma nodone dawa: i. Idibidi eagene ouligisu dunu amola dunu huluane da Mousese da dunu mimogo bagadedafa dawa: i.
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Amalalu, Mousese da Felouma amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Na da gasimogoa gadenene Idibidi soge ganodini lafidalomusa: masunu.
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
Amola magobo mano huluane Idibidi soge ganodini esalebe da bogogia: mu. Felou ea magobo mano (e da fa: no Idibidi hina bagade hamomu galu) amola udigili hawa: hamosu uda (amo da gagoma goudasa) ilia magobo mano huludafa da bogogia: mu. Amola bulamagau huluane ilia magobo mano da bogomu.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
Idibidi soge ganodini didigia: su bagadedafa nabimu. Agoai didigia: su da musa: hame ba: i amola hobea bu hamedafa ba: mu.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
Be Isala: ili fi da se hame nabimu. Wa: me da ilima amola ilia ohe fi ilima hame yeyamu. Amasea, Na da Isala: ili dunu da hisu amola Idibidi dunu da hisu amo ba: sa, amo dilia da dawa: mu.”
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
Mousese da ea sia: dagomusa: , amane sia: i, “Dia ouligisu hina dunu huluane da nama misini, nama beguduli, na da na fi dunu lale gadili oule masa: ne nama ha: giwane edegemu. Amalalu, na da yolesili masunu.” Amalalu, Mousese da bagadewane ougili, Felou yolesili asi.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
Be Hina Gode da musa: Mousesema sia: i dagoi, “Felou da mae fisili, dia sia: hamedafa nabimu. Bai Na da Idibidi soge ganodini Na musa: hame ba: su hou eno amo soge ganodini hamomu galebe.”
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Mousese amola Elane da amo musa: hame ba: su hou huluane Felou ba: ma: ne hamosu. Be Hina Gode da ea hou gawamaga: i agoane hamoi. Amola e da Isala: ili dunu ea soge fisili gadili masa: ne hame fisidigi.

< Kutoka 11 >