< Kutoka 10 >

1 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake kuwa mgumu na mioyo ya maafisa wake ili kwamba nipate kutenda ishara hizi zangu za ajabu miongoni mwao
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Felou ba: la masa! Na da e amola ea eagene ouligisu dunu ilia dogo ga: nasi agoane hamoi. Bai Na da ilia gilisisu ganodini musa: hame ba: su gasa bagade hou hamomusa: dawa: lala.
2 ili upate kuwaeleza watoto wako na wajukuu wako jinsi nilivyowatendea Wamisri kwa ukali na jinsi nilivyofanya ishara zangu miongoni mwao, nanyi mpate kujua kuwa Mimi ndimi Bwana.”
Bai eno da dilia fa: no dilia mano amola aowa ilima Na da musa: hame ba: su hou hamobeba: le, Idibidi dunu da gagaoui dunu agoane ba: i, amo dilia da diligaga fi ilima olelemu. Dilia huluane da Na da Hinadafa amo dawa: mu.”
3 Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.
Amaiba: le, Mousese amola Elane da Felouma asili, amane sia: i, “Hibulu dunu ilia Hina Gode da amane sia: sa, ‘Di da habogala Na sia: nabima: bela: ? Di da Na fi dunu Nama nodone sia: ne gadoma: ne amo fisidigima.
4 Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.
Be di da higasea Na da aya danuba: dilima se nabasu ima: ne asunasimu.
5 Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.
Danuba: da bagohamedafa ba: mu. Ilia da osobo huluane dedebomu. Ilia da liligi huluane amo mugene da hame gugunufinisi amola ifa huluane hame wadela: lesi amo na dagomu.
6 Nzige hao watajaza nyumba zako, za maafisa wako wote na za Wamisri wote. Jambo ambalo baba zenu wala babu zenu hawajapata kuona tangu siku ile walipoanza kuishi katika nchi hii mpaka leo hii.’” Ndipo Mose akageuka na kumwacha Farao.
Ilia dia diasu amola dia ouligisu dunu ilia diasu huluane nabamu. Ilia dilima se nabasu imunu da dilia musa: ba: i liligi huluane baligimu.’” Amo sia: nanu, Mousese da Felou yolesili asi.
7 Maafisa wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mtu atakuwa tanzi kwetu? Waachie hao watu waende zao, ili wapate kumwabudu Bwana Mungu wao. Je, bado hutambui kuwa Misri imeangamia?”
Felou ea eagene ouligisu dunu ilia da ema amane sia: i, “Amo dunu da habowali seda ninima se nabasu ima: bela: ? Di Isala: ili dunu ilia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: fisidigima. Ninia Idibidi soge da gugunufinisi dagoi.”
8 Ndipo Mose na Aroni wakaletwa kwa Farao. Farao akawaambia, “Nendeni, mkamwabudu Bwana Mungu wenu. Lakini ni nani hasa watakaokwenda?”
Amaiba: le, ilia da Mousese amola Elane amo Felouma oule misi. Felou da elama amane sia: i, “Defea! Dilia da dilia Hina Godema sia: ne gadomusa: masunu da defea. Be nowa da masa: bala: ?”
9 Mose akajibu, “Tutakwenda na vijana wetu na wazee, pamoja na wana wetu na binti zetu, pia pamoja na kondoo zetu, ngʼombe, mbuzi, farasi na punda kwa sababu tutaadhimisha sikukuu kwa Bwana.”
Mousese da amane adole i, “Ninia huluane, dunu, uda, mano amola da: i hamoi da masunu. Ninia da ninia dunu mano, ninia uda mano, ninia sibi, goudi amola bulamagau huluane oule masunu. Bai ninia da lolo nasu gilisisu Hina Godema nodomusa: hamomu.”
10 Farao akasema, “Bwana awe pamoja nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na wanawake wenu na watoto wenu! Ni wazi kwamba mna makusudi mabaya.
Felou da amane sia: i, “Na da Hina Gode Ea Dioba: le gasa bagade sia: sa. Dilia da dilia uda amola mano hamedafa oule masunu. Ninia ba: i dagoi. Dilia da odoga: su hou hamomusa: dawa: lala.
11 La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu Bwana, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Mose na Aroni wakaondolewa mbele ya Farao.
Hame mabu! Dilia amo hanai galea, dunu fawane da dilia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: masa!” Amo sia: beba: le, Idibidi dunu da Mousese amola Elane ela Felou fisimusa: , gadili sefasi.
12 Basi Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu kilichosazwa na ile mvua ya mawe.”
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Danuba: misa: ne sia: musa: , dia lobo amo Idibidi soge da: iya amoga ligia gadoma. Ilia da misini, liligi huluane mugene amoga hame gugunufinisi, amo ilia da na dagomu.
13 Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, Bwana akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.
Amaiba: le, Mousese da ea dagulu ligia gadole, Hina Gode da fo amo gusudili misi da amo eso amola gasi ganodini Idibidi sogega fofosu. Hahabe aya danuba: foga gaguli misi doaga: i dagoi ba: i.
14 Wakaivamia Misri yote na kukaa kila eneo la nchi kwa wingi. Kamwe hapajapata kuwepo pigo la nzige kama hilo, wala halitakuwepo tena.
Ilia da gilisisu osea: le misi amola soge huluane dedeboi dagoi. Ilia idi bagadedafa amo da musa: hame ba: su amola amo defele bu hamedafa ba: mu.
15 Wakafunika ardhi yote mpaka ardhi ikawa nyeusi. Wakatafuna kile chote kilichokuwa kimebakizwa na ile mvua ya mawe, kila kitu kiotacho mashambani pamoja na matunda kwenye miti. Hakuna kitu chochote cha kijani kilichosalia katika miti au mmea katika nchi yote ya Misri.
Ilia da osobo huluane dedeboiba: le, osobo da bunumai agoane ba: i. Ilia da liligi huluane amo mugene da hame gugunufinisi amola ifa fage dialu huluane na dagoi. Mola: ya: i liligi amo ifa o gisi da: iya Idibidi soge ganodini da hamedafa ba: i.
16 Farao akawaita Mose na Aroni kwa haraka na kuwaambia, “Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu na dhidi yenu pia.
Amalalu, Felou da hedolowane Mousese amola Elane ema misa: ne sia: i. E da elama amane sia: i, “Na da Hina Gode amola alima wadela: le hamoi dagoi.
17 Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe Bwana Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”
Be wali afadafa fawane na wadela: i hou gogolema: ne olofoma. Ali Hina Godema E da amo bogosu se nabasu fadegale fasima: ne sia: ma.
18 Kisha Mose akaondoka kwa Farao akamwomba Bwana.
Mousese da Felou yolesili asili, Hina Godema sia: ne gadoi.
19 Naye Bwana akaugeuza upepo ukavuma kutoka magharibi, wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka kwenye Bahari ya Shamu. Hakuna nzige hata mmoja aliyebaki popote katika nchi ya Misri.
Amalalu, Gode da gusudili mabe fo afadenene, bu guma: dini mabe fo hamoi. Amo da danuba: fi huluane lale Suese (Gulf) amo foga mini asi. Danuba: afadafa da Idibidi soge ganodini esalebe hame ba: i.
20 Lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke.
Be Hina Gode da Felou ea hou bu ga: nasi hamone, e da Isala: ili dunu hame fisidigi.
21 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili giza litande katika nchi ya Misri, giza ambalo watu wanaweza kulipapasa na kulihisi.”
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia lobo muagado ligia gadoma. Amasea, gasi dunasi bagadedafa da Idibidi soge huluane dedebomu.”
22 Kwa hiyo Mose akaunyoosha mkono wake kuelekea angani, na giza nene likafunika pote katika nchi ya Misri kwa muda wa siku tatu.
Mousese da ea lobo muagado ligia gadole, gasi dunasi bagadedafa da Idibidi soge ganodini eso udianaga dialebe ba: i.
23 Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumwona mwenzake, wala kuondoka mahali alipokuwa kwa muda wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwanga katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi.
Idibidi dunu huluane da ilia na: iyado dunu ba: mu gogolei amola amo eso udianaga ilia da diasu fisili gadili masunu hamedei ba: i. Be Isala: ili dunu ilia esalebe soge ganodini hadigi galebe ba: i.
24 Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, “Nendeni, mkamwabudu Bwana. Hata wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ngʼombe wenu waacheni.”
Felou da Mousese ema misa: ne sia: i. E da ema amane sia: i, “Defea! Di da Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: masunu da defea. Dilia uda amola mano masunu da defea. Be dilia sibi, goudi amola bulamagau da guiguda: esaloma: mu.”
25 Lakini Mose akasema, “Huna budi kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za kuteketezwa za kutoa mbele za Bwana Mungu wetu.
Be Mousese da bu adole i, “Agoane hamomu ganiaba, di da ninima ohe fi ninia Hina Godema gobele salasu hamoma: ne ia: noba.
26 Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika kumwabudu Bwana Mungu wetu, kwa kuwa mpaka tutakapofika huko hatutakuwa tumefahamu ni nini tutakachotumia katika kumwabudu Bwana.”
Hame mabu! Ninia ahoasea ninia da ohe fi huluane amola oule masunu. Ninisu da Hina Godema nodomusa: , ohe fi afae afae amo ilegema. Amola ninia da Hina Godema gobele salasu sogebi amoga doaga: sea fawane, ohe fi ilegemusa: dawa: mu.”
27 Lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia waondoke.
Hina Gode da Felou ea dogo bu ga: nasi hamoi amola e da Isala: ili fi fisidigimu higa: i.
28 Farao akamwambia Mose, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
E da ougili Mousesema amane sia: i, “Dia odagi na siga mae ba: ma: ne, masa! Na da di bu ba: mu higa: i gala mabu! Eso enoga na da di bu ba: sea, di da bogomu!”
29 Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! Kamwe sitauona uso wako tena.”
Mousese da bu adole i, “Di da dafawane sia: i dagoi! Di da na hamedafa bu ba: mu.”

< Kutoka 10 >