< Esta 7 >

1 Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.
به این ترتیب پادشاه و هامان در مجلس ضیافت ملکه استر حاضر شدند.
2 Walipokuwa wakinywa mvinyo katika siku ya pili, mfalme akauliza tena, “Malkia Esta, ni nini haja yako? Utapewa. Ombi lako ni nini? Hata nusu ya ufalme, utapewa.”
موقع صرف شراب، باز پادشاه از استر پرسید: «استر، درخواست تو چیست؟ هر چه بخواهی به تو می‌دهم، حتی اگر نصف مملکتم باشد!»
3 Kisha Malkia Esta akajibu, “Kama nimepata kibali kwako, ee mfalme, tena kama inapendeza utukufu wako, nijalie maisha yangu, hii ndiyo haja yangu. Pia uokoe watu wangu, hili ndilo ombi langu.
استر جواب داد: «تقاضای من این است: اگر مورد لطف پادشاه قرار گرفته‌ام و اگر پادشاه صلاح بدانند، جان من و جان قوم مرا نجات دهند.
4 Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa kwa kuangamizwa, kuchinjwa na kuharibiwa. Kama tungalikuwa tumeuzwa tu kuwa watumwa wa kiume na wa kike, ningalinyamaza kimya, kwa sababu shida kama hii isingalitosha kumsumbua mfalme.”
چون من و قوم من فروخته شده‌ایم تا قتل عام شویم. اگر فقط به غلامی و کنیزی فروخته می‌شدیم، من سکوت می‌کردم، زیرا با این موضوع پیش پا افتاده مزاحم پادشاه نمی‌شدم.»
5 Mfalme Ahasuero akamuuliza Malkia Esta, “Ni nani huyu? Yuko wapi mtu huyu aliyethubutu kufanya jambo kama hili?”
خشایارشا از استر پرسید: «این شخص کیست که جرأت کرده چنین کاری کند؟ او کجاست؟»
6 Esta akasema, “Mtesi na adui ni huyu mwovu Hamani.” Hamani alifadhaika mbele ya mfalme na malkia.
استر جواب داد: «دشمن ما این هامان شرور است!» آنگاه هامان از ترس پادشاه و ملکه به لرزه افتاد.
7 Mfalme akainuka kwa ghadhabu, akaacha mvinyo wake, akaenda kwenye bustani ya jumba la kifalme. Lakini Hamani, akitambua kwamba mfalme ameshaamua hatima yake, alibaki nyuma kumsihi Malkia Esta aokoe maisha yake.
پادشاه خشمگین شد و برخاسته به باغ قصر رفت. اما هامان که می‌دانست پادشاه او را مجازات خواهد کرد، به طرف استر رفت تا التماس کند که جانش را نجات دهد.
8 Mara mfalme aliporudi kutoka bustani ya jumba la kifalme na kuja kwenye ukumbi wa karamu, Hamani alikuwa akijitupa juu ya kiti mahali ambapo Esta alikuwa akiegemea. Mfalme akasema kwa nguvu, “Je, atamdhalilisha malkia hata huku nyumbani akiwa pamoja nami!” Mara neno lilipotoka kinywani mwa mfalme, walifunika uso wa Hamani.
ولی درست در لحظه‌ای که هامان خود را بر تختی که استر بر آن بود، می‌انداخت، پادشاه وارد اتاق شد. پس پادشاه فریاد برآورد: «آیا این مرد به هنگام حضور من در خانه، به ملکه دست‌درازی می‌کند؟» تا این سخن از دهان پادشاه بیرون آمد، جلاد بالای سر هامان حاضر شد!
9 Kisha Harbona, mmoja wa matowashi wanaomtumikia mfalme, akasema, “Mahali pa kuangika watu penye urefu wa mita ishirini na mbili pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai, ambaye alizungumza ili kumsaidia mfalme.” Mfalme akasema, “Mwangikeni juu yake!”
در این وقت حربونا، یکی از خواجه‌سرایان دربار به پادشاه گفت: «قربان، چوبه دار بیست و پنج متری در حیاط خانهٔ هامان آماده است! او این دار را برای مردخای که جان پادشاه را از سوء قصد نجات داد، ساخته است.» پادشاه دستور داد: «هامان را روی آن به دار آویزید!»
10 Kwa hiyo wakamtundika Hamani mahali alipokuwa ameandaa kwa ajili ya Mordekai. Ndipo ghadhabu ya mfalme ikatulia.
پس هامان را روی همان داری که برای مردخای بر پا کرده بود، به دار آویختند، و خشم پادشاه فرو نشست.

< Esta 7 >