< Esta 3 >
1 Baada ya matukio haya, Mfalme Ahasuero alimheshimu Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akampandisha na kumpa kiti chake cha heshima cha juu sana kuliko wakuu wengine wote.
След това, цар Асуир повиши Амана, син на агегеца Амидата, въздигна го, и постави стола му над столовете на всичките първенци, които бяха около него.
2 Maafisa wote wa mfalme waliokaa langoni mwa mfalme walipiga magoti na kumpa Hamani heshima, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru hili kuhusu Hamani. Lakini Mordekai hakumpigia magoti wala kumheshimu.
И всичките царски слуги, които бяха в царската порта, се навеждаха и се кланяха на Амана; защото царят бе заповядал така в него. Но Мардохей не се навеждаше, нито му се кланяше.
3 Kisha maafisa wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimuuliza Mordekai, “Kwa nini hutii agizo la mfalme?”
Затова, царските слуги, които бяха в царската порта, рекоха на Мардохея: Ти защо престъпваш царската заповед?
4 Siku baada ya siku walizungumza naye lakini hakukubali. Kwa hiyo walimweleza Hamani kuona kama tabia ya Mordekai itaweza kuvumiliwa, kwa maana alikuwa amewaambia kuwa yeye ni Myahudi.
А като му говореха всеки ден, а той ги не слушаше, обадиха на Амана, за да видят дали думите на Мардохея ще устоят, тъй като из беше явил, че е юдеин, та не се покорява на заповедта.
5 Wakati Hamani alipoona kuwa Mordekai hampigii magoti wala kumpa heshima alighadhibika.
И когато видя Аман, че Мардохей не се навеждаше, нито му се кланяше, Аман се изпълни с ярост.
6 Hata hivyo baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani, Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero.
Но мислеше, че да тури ръка само на Мардохея ще бъде нищожно нещо; затова, понеже му бяха явили от кои люде беше Мардохей, Аман искаше да изтреби Мардохеевите люде, сиреч, всичките юдеи, които бяха в цялото царство на Асуира.
7 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Mfalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza uitwao Nisani, walipiga puri (yaani kura) mbele ya Hamani ili kuchagua siku na mwezi. Kura ikaangukia kwenye mwezi wa kumi na mbili, yaani Adari.
В първия месец, който е месец Нисан, в дванадесетата година на цар Асуира, хвърлиха пур (сиреч, жребие) пред Амана последователно за всеки ден от всеки месец, дори до дванадесетия месец, който е месец Адар.
8 Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa.
Тогава Аман рече на цар Асуира: Има едни люде пръснати и разсеяни между племената по всичките области на твоето царство; и законите им различават от законите на всичките люде, и те не пазят царските закони; затова не е от полза за царя да ги търпи.
9 Kama inampendeza mfalme, itolewe amri kuwaangamiza, nami nitaweka talanta 10,000 za fedha katika hazina ya mfalme kwa ajili ya watu watakaoshughulikia jambo hili.”
Ако е угодно на царя, нека се предпише да се изтребят; и аз ще броя десет хиляди таланта сребро в ръката на чиновниците, за да го внесат в царските съкровищници.
10 Basi mfalme alichukua pete yake ya muhuri kutoka kwenye kidole chake na kumpa Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, adui wa Wayahudi.
И царят извади пръстена си от ръката си та го даде на Амана, сина на агегеца Амедата, неприятеля на юдеите.
11 Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”
И царят рече на Амана: Дава ти се среброто, тоже и тия люде, да направиш с тях както обичаш.
12 Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza waandishi wa mfalme waliitwa. Wakaandika barua kwa kila jimbo na katika kila lugha ya watu kama agizo la Hamani lilivyotoka kwa mfalme, kwa watawala wa majimbo mbalimbali, na wakuu wa watu mbalimbali. Hizi ziliandikwa kwa jina la Mfalme Ahasuero mwenyewe na kutiwa muhuri wa pete yake mwenyewe.
И така, на тринадесетия ден, от първия месец, царските секретари бяха повикани, та се писа точно според това, което заповяда Аман, на царските сатрапи, на управителите на всяка област, и на първенците на всеки народ, във всяка област, според, азбуката им, и на всеки народ, според езика му; в името на цар Асуира се писа, и се подпечата с царския пръстен.
13 Barua zilipelekwa na tarishi katika majimbo yote ya mfalme zikiwa na amri ya kuharibu, kuua na kuangamiza Wayahudi wote, wadogo kwa wakubwa, wanawake na watoto wadogo, siku moja, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari, na pia kuteka nyara vitu vyao.
И писма се изпратиха с бързоходци по всичките царски области, за да погубят, да избият, и да изтребят всичките юдеи, млади и стари, деца и жени, в един ден, тринадесетия от дванадесетия месец, който е месец Адар, и да разграбят имота им.
14 Nakala ya andiko la amri ilipaswa kutolewa kama sheria katika kila jimbo, na kufahamishwa kwa watu wa kila taifa ili waweze kuwa tayari kwa siku ile.
Препис от писаното, чрез който щеше да се разнесе тая заповед по всяка област, се обнародва между всичките племена, за да бъдат готови за оня ден.
15 Kwa kuharakishwa na amri ya mfalme, matarishi walikwenda na andiko lilitolewa katika mji wa ngome ya Shushani. Mfalme na Hamani waliketi na kunywa, lakini mji wa Shushani ulifadhaika.
Бързоходците излязоха и бързаха според царската заповед; и указът се издаде в столицата Суса. И царят и Аман седнаха да пируват; но градът Суса се смути.