< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
Kral Ahaşveroş ülkeyi en uzak kıyılarına dek haraca bağlamıştı.
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
Büyüklüğü, kahramanlıkları ve Mordekay'ı her bakımdan nasıl onurlandırdığı Pers ve Med krallarının tarihinde yazılıdır.
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
Yahudi Mordekay, Kral Ahaşveroş'tan sonra ikinci adam olmuştu. Yahudi soydaşları arasında saygı gören ve çoğunluk tarafından sevilen biriydi. Çünkü halkının iyiliğini düşünüyor, bütün soydaşlarının esenliği için çaba gösteriyordu.

< Esta 10 >