< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
Y el rey Asuero impuso un impuesto sobre la tierra y sobre las islas del mar.
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
Y todos sus actos de poder y su gran fuerza y la historia completa del lugar elevado que el rey dio a Mardoqueo, ¿no están registrados en el libro de la historia de los reyes de Media y Persia?
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
Para Mardoqueo, el judío, era superado solo por el rey Asuero, y grande entre los judíos y respetado por el cuerpo de sus compatriotas; trabajando por el bien de su pueblo, y diciendo palabras de paz a toda su simiente.

< Esta 10 >