< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
Написа же царь по всему царствию своему, еже на земли и на мори,
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
и силу свою, и мужественная исправления, богатство же и славу царствия своего: се, писана суть в книзе царей Персских и Мидских, на память.
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
Мардохей бо вторый бе по цари Артаксерксе, и велик бе во царствии и прославлен от Иудей и любимь, поведаше содеянная всему языку своему.

< Esta 10 >