< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
Kong Ahasveros lagde skatt på upplandet på sjøbygderne.
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
Alt det han gjorde i si magt og sitt velde, og ei greinleg melding um den høge rang som kongen lyfte Mordokai upp til, det er uppskrive i krønikeboki åt dei mediske og persiske kongarne.
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
Jøden Mordokai var den som stod kong Ahasveros næmest, og han var stor millom jødarne og kjær for dei mange brørne sine; han søkte det som godt var for folket sitt, og tala til bate for all si ætt.

< Esta 10 >