< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
Forsothe kyng Assuerus made tributarye ech lond, and alle the ilis of the see;
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
whos strengthe and empire and dignyte and hiynesse, by which he enhaunside Mardochee, ben writun in the bookis of Medeis and of Persis;
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
and how Mardochee of the kyn of Jewis was the secounde fro king Assuerus, and was greet anentis Jewis, and acceptable to the puple of hise britheren, and he souyte goodis to his puple, and spak tho thingis, that perteyneden to the pees of his seed.

< Esta 10 >