< Esta 10 >

1 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
И цар Асуир наложи данък на земята и на морските острови.
2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
А всичките му силни и могъществени дела, и описанието на величието, на което царят въздигна Мардохея, на са ли написани в Книгата на летописите на персийските и мидийските царе?
3 Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.
Защото юдеинът Мардохей стана втори подир цар Асуира, велик между юдеите и благоугоден на многото си братя, като търсеше доброто на людете си и говореше мир за целия си род.

< Esta 10 >