< Waefeso 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu: Kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu:
Bulus ni tomange Yeecu Kiriti ki ci yaka fiye kwama, kii nubo coccoke na kwama yim Afisawa borom bo ma bilenketi mor Yeecu.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Naweu luma kwama ko ati kange kom kange fuwor nener fiye kwama Tee be kange Tee kwama Yeecu Kiriti.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo.
Caklanka ki Tee kwama Yeecu Kiriti co ci nebo bibwiyere ki bibwiyer tinimbo wuyakiwo mor nenero lumako ceu mor dii kwama mor Kritti.
4 Kwa maana alituchagua katika yeye kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu na bila lawama mbele zake. Kwa upendo
Nan yi me felka kaleko mor Yeecu. co kombo nabi yi yimbo wucakke kange yambo maniki duti kaceu.
5 alitangulia kutuchagua tuwe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo kwa furaha yake na mapenzi yake mwenyewe.
Mor cwika kwama dangi ki naci tumbo nabi yilam bibwece fiye Yeecu Kirirti wiyeu. Ci ma wo kambo ci cwiti naci mane.
6 Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa huruma zake kuu alizotumiminia sisi katika Mwanawe Mpendwa.
Cune inco kwama naci yo caklanka wo duktangka luma nererk ko ceu. won co dike nebo kang nyam aya fiya bwe nerece wiye.
7 Ndani yake tunao ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake
La mor bwe nere ci ceerbi fiye bwiyale ce kange tabka bwiran kerer fiye luma nererce ko lalame.
8 aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote.
Cin ne luma nererkowo, Lama nyo mor nyomka gwam.
9 Naye alitujulisha siri ya mapenzi yake sawasawa na uradhi wa mapenzi yake, ambayo alikusudia katika Kristo,
Kwama yibo bilenke dikero wuro yurangum yurangeu. Ki nyomka ce kange dikero gwam dii kwama kange dor bintiner mor Yeecu.
10 ili yapate kutimizwa wakati mkamilifu utakapowadia, yaani, kuvitia vitu vyote vya mbinguni na vya duniani pamoja, chini ya kiongozi mmoja, ndiye Kristo.
Cin cokbo almasihu nabi yilam nob kwaleb na kwama ce.
11 Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, yeye ambaye hufanya mambo yote kulingana na kusudi la mapenzi yake,
Mor Kritti cin ma binen ywelka ko wo kika mor ywelka cek, cin ni ma dikeroti gwam nawo nerceroceu.
12 ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake.
Kwama man yo wori nabi fulom na caklanka duktanka ceko cekoceu. inbo nob kababo bifiya yoka neroko weu mor almacihu.
13 Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia Neno la kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha kuamini, ndani yake mlitiwa muhuri, yaani, Roho Mtakatifu mliyeahidiwa,
Mor Almacihu kom fiya nuwaka kerbileng kerer, ker dumer ber fiya Yeecu wiye. morece kom nebilenker ci dokkume kang ki Yuwatanbe kwama ko wucakke woci ma kumen mor cereu.
14 yeye ambaye ni amana yetu akituhakikishia urithi wetu hadi ukombozi wa wale walio milki ya Mungu kwa sifa ya utukufu wake.
Yuwatanbe ko inco ciyaka kwali beko na nyime yabi fiya. wuro na caklanka duktanka cek.
15 Kwa sababu hii, tangu niliposikia juu ya imani yenu katika Bwana Yesu na upendo wenu kwa watakatifu wote,
Naweu, ki kwama mi nuwau fulen bilenkerer kumero mor Ubangiji Yeecu kange cwikacek yaken ciko kwarub birombo cii cokci kercereu.
16 sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.
Ma kurong bo kwaka ki kom mi kwob kimen diloti mor dilotinim.
17 Nazidi kumwomba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awajalieni ninyi roho ya hekima na ya ufunuo, ili mpate kumjua zaidi.
min kwob kumen dilo miki Tee bwe wo di kwama Yeecu Almasihu Tee wo wucake ane kom yuwa tangba ceko wo ba fiya bukati cikeu kange wo nyomka cek kwarub.
18 Ninaomba pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate kujua tumaini mliloitiwa, utajiri wa urithi wa utukufu wake kwa watakatifu
Mi kwob diloti na nuwe kume wumom nakom nyimom ciya bicore kumeko. Mikwob diloti nakom nyimom cuweka liyar kwaliero mor birombo ci cokunnaceu.
19 na uweza wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno
Mi kwob diloti kom yimom liyard cero wuro na dur wuro mankidi more benen wuri bine bilenker dwikako wuro kino fiye nanyer kwaner bikwan nerer cet.
20 aliyoitumia katika Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu, na akamketisha mkono wake wa kuume huko mbinguni,
Wonka bikwan durero ci mam nagen ciko mor Almasihu ki kwama wo kwama kunco tuweu yokenco kanko cacciyere mor di kwama.
21 juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn )
Cin yo kenco dor birbishi kange Liyar, do ka, lo dako wannen irin liyar can yoken Almasihu kebo na kele wuro ce ki kwaco dila kange kalewo bouti yeu. (aiōn )
22 Naye Mungu ameweka vitu vyote viwe chini ya miguu yake na amemfanya yeye awe kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa,
Kwama dokken dikero gwam mor Bibwe kwama cin yonco dur dor dikero nen gwam mor nub bwanka ceko.
23 ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake yeye aliye yote katika yote.
Nub bwanka ko in bwico, dika niwo dim dikero gwam mor dikero gwam, gwameu.