< Waefeso 5 >

1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao,
Nangmi cun Pamhnama mhlänak caea nami kyaka phäh, ani üng nami täng vaia ktha na u.
2 mkiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.
Mhläkphyanak naw nami kcün sak up yah khai, Khritaw naw jah mhläkphya na lü a sak a jah pet cun Pamhnam jekyaisak lü ng’uinghnamkia petmsawt ja ngkengnaka a kyaka kba ni.
3 Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yoyote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu.
Pamhnama khyanga nami kyaka phäha hüipawmnak, kamvanak ja am ngjaphyakia vecawhnak cun nami ksunga käh pyen ua.
4 Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu.
Am dawkyaki ja mdihmsuinaka ngthukhyüe cun pi nami phäha am daw ve. Acuna kcaha Pamhnam je na ua.
5 Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Msherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu.
Nami ksing vai ta ngneisak am dawki, am ngjakphyakia vecawhnak ja kamvanak (Kammanak cun juktuh hjawkhahnaka ngkhaw ni) naw Pamhnam ja Khritawa pe cun u naw pi am yah uki.
6 Mtu yeyote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii.
U naw pi käh ning jah nghmawng mhlei se, isetiakyaküng, Pamhnama mlungsonak cun ani am kcangnakiea khana pha law khai ni.
7 Kwa hiyo, msishirikiane nao.
Acunakyase, acuna khyange am mi jah pawh püi vai am ve.
8 Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru
Nangmi cun mthana nami ve khawikie lüpi Bawipaa khyanga nami thawn pängkie kya lü akvai k'uma nami vekie. Acunakyase akvai kanaki khyange mäiha xüng ua,
9 (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli),
akvai kyase, acun naw ngthungtak, dawkyanak ja ngsungpyunnak naw mawihaheinak be law püiki ni.
10 nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana.
I naw Bawipa jesaki i ti cun ktha na lü ngtheingthang ua.
11 Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni.
Ia am kyahkia khyangea bilawh cän anghmüp üng sängeikie ni. Acuna hnün üng anghmüp üngkhyüh jah set lü akvai da jah law püi ua. (
12 Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.
Angthupnaka ami bilawhe jah pyen vaia pi ngkeeiphyaki ni.)
13 Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,
Anaküt akvaia vei ni law püi üng, ami ngneisak kcang cun angsing ngdangki;
14 kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana: “Amka, wewe uliyelala, ufufuke kutoka kwa wafu, naye Kristo atakuangazia.”
Acunakyase, anaküt angsinga mdanki cun akvaia kyaki. “Ipkia khyang let law, thinak üngkhyüh tho law, acunüng Khritaw na khana vai khai ni,” tia pyenki.
15 Kwa hiyo angalieni sana jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima, bali kama wenye hekima,
Acunakyase, ihawkba na vecawhki mceieia. I am ksingkia mäia käh ve lü khyang kthemngvaia mäia vea.
16 mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu.
Na taka kcün daw cun akdawa sumeia, isetiakyaküng, atuh cun am dawkia kcünmka ni.
17 Kwa hiyo msiwe wajinga, bali mpate kujua nini mapenzi ya Bwana.
Käh nghmawng ua, Bawipa naw i ning jah pawh hlüsaki ti cun ktha na lü sui ua.
18 Pia msilewe kwa mvinyo, ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe Roho.
Ning jah kpyak khaia ju käh mpyüi lü acuna hnün üng Ngmüimkhya am be ua.
19 Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na kumsifu Bwana mioyoni mwenu,
Mküinake, Salan ja ngcimkia ng’äie am mat ja mat mtheh ua; mküinake ja Salan jah mcuk lü nami mlungkyawng am Bawipa mküimto ua.
20 siku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Pa Pamhnam veia anaküt cun mi Bawipa Jesuh Khritawa ngming üng anglät se jenak mtheh ua.
21 Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.
Khritaw nami leisawngnak am mat ja mat mlung mhnem ua.
22 Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana.
Nghnumie Bawipa kea nami veia kba nami ceia kea pi ve ua.
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake.
Isetiakyaküng, Khritaw cun sangcima khana ana a vea kba kpami cun a nghnumia khana ana veki, Khritaw a mät cun amäta pumsaa kyaki sangcima küikyan Bawi ni.
24 Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.
Sangcim cun Khritawa kea a vea kba nghnumie pi ami ceiea kea ve u se.
25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake
Khritaw naw sangcim mhlä na lü a sak a peta kba kpamie naw pi nami khyu jah mhlä na ua.
26 kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,
Tui am ngcim khaia a jah pyawt käna a ngthu cun Pamhnam naw sangcim am a jah ap ni,
27 apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia.
sangcim cun ngtongtai lü caih lü käh mkhye lü käh ngpihma lü käh ngkhep lü amät kümcei lü amät kung üng a pet vaia phäh ni.
28 Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
Kpami he naw ami mäta pumsa ami kphyanaka kba ami khyue jah kphya na u se. A nghnumi kphyanakia kpami naw amät kphyanaki. (
29 Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake.
Mi mäta pumsa am hmu hlüki u am ve. Khritaw naw sangcim a bühtenga kba mi pumsa cun mcei lü mi mbeimbawki ni;
30 Sisi tu viungo vya mwili wake.
Mimi cun a pumsa üng mi ngpüiki.)
31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Cangcim naw, “Ahina phäha kpami naw a nu ja a pa jah hawih lü a khyu üng yümmat lü nghngih cun mata thawn khai,” tia pyenki.
32 Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa.
Ahin cun thuk lü ngthupkia ngthungtak cun Cangcim üng mdanki, acun kei naw ksing ngüse Khritaw ja sangcim am ka msuimcäpki.
33 Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.
Nangmi naw pi ahin sumei ua: kpami naküt naw ami mäta kba a khyu kphya na lü nghnumi naküt naw pi a kpami leisawng yah khai.

< Waefeso 5 >