< Waefeso 4 >
1 Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.
Antele nkashile yagaliliwe hwa jili ya Gosi, embalabhe mjende shinzashinza na uwite ambao Ungolobhe abhakwizizwe.
2 Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo.
Mukhale esha wishindishe eshi Gosi no hogowe no ujimbi. Mwejelanaje esha ganane.
3 Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Umbaji ajimbizwe na bheshe umoja uwe Roho katieshefungo eshe lyeteho.
4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja.
Huli ubele gume ne Roho emo neshe shamli antele mwali mkwiziwe eshi uhakika upambamle umo uwewite wenyu.
5 Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Ugosi aliumo ulyeteho lumo, ulwuzwo lumo. Ungolobhe omo
6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.
na uBaba wabhonti. Umwahale we mambo gonti na gonti gali mhati yakwe.
7 Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo.
Shilo muntu apewewe eshipawa afwatane neshipimo esha pawa esha Kristi.
8 Kwa hiyo husema: “Alipopaa juu zaidi, aliteka mateka, akawapa wanadamu vipawa.”
Neshe nsimbo shaziyanga: “Alushile amwanya eshi alogozwezwe abhe pinywe uwe utumwa. Afumizi evipawa wa bhantu.”
9 (Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo alishuka pande za chini sana za dunia?
Yenu emana ya, “Alushe,” isipokuwa ahishile epande zwonti ezwa pasi pa dunia?
10 Yeye aliyeshuka ndiye alipaa juu zaidi kupita mbingu zote, ili apate kuujaza ulimwengu wote.)
Umwahule ahishile yoyola umuntu ambaye nantele alushile patali juu ye mwanya zwonti. Abhombile esho ili abhehwakwe uwe kati evintu vyonti.
11 Ndiye aliweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na walimu,
Kristi afumizwe evipawa kama neshe asontizi akuwa abhanjilisti, adimi, amwalimwa.
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa
Abhombile eshe abhawezeshe abhalyeteho ili embombo eyuzeje ubele ugwa Kristi.
13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Kristo.
Abhomba eshi hadi ate tenti tifishile undwemo uwe lyeteho na amaalifa aga mwana wakwe Ungolobhe. Abhombile esho hadi tiwezwe akhome neshe bhala bhabhafishie ekimo kamili esha Kristi.
14 Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
Ene antele tigaje bhebhana tigaje ruswe ruswe ohu no hwo ili tigaje ahwegwe na kila aina eye hala elyefundisho, age hila ezwa bhantu hu njelenje uwa khopehanye wautejile.
15 Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tukue, hata tumfikie yeye aliye kichwa, yaani, Kristo.
Eshi tiyanje elyoli eye lugano nakule zayidi hwidala lyonti mhati yakwe itwe yo Kristi.
16 Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeungamanishwa na kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake.
Kristi abhonganisizwe pandwemo ubele ugwa bhoziwa guunganisiwe ubele gwonti gukwe nazenjeshe gwogwo hulugano.
17 Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao.
Antale eyanga eli, embalabha hwa Gosi: Mgaje ajende antele neshe abhantu abhamataifa wabhajenda muubatiuli uwenjele zwao.
18 Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao.
Bhaponyizwe enkisi museo zwao bhatagwilwe afume huwomi uwa Ngolobhe hulema wauli mhati yao kwa sabu ya ukhome uwe moyo gao.
19 Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.
Sebha hwiyovwa esoni bhahwikabizizwe bhebho huntavu humatendo gao age ntavu, kila aina ya uwimi.
20 Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyojifunza Kristo.
Nantele eshi seshasho shamwanyiye ahusu Kristi.
21 Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.
Elola antele mwovzwe ahusu umwahale elola aje mwali mmanyiziwa hwamwahale neshe elyoli yilimuhati ya Yesu.
22 Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu,
Lazima mwaule amambo gonti gagajendelela ne njendelelo zweyu ezwe mwaha, uuntu uwemwaha uuntu uwemwaha waubhola afwate ne tamaa ezwe hopelo.
23 ili mfanywe upya roho na nia zenu,
Auli untu wenyu uwemwaha ili nkaombwe shipya huroho eye njele zwenyu.
24 mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawasawa na mfano wa Mungu katika haki yote na utakatifu.
Bhombi eshe muwezwalane no Ngolobhe. Ubhombwelwe hehaki eye uzelu uwe lyoli.
25 Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu viungo vya mwili mmoja.
Eshi bheshi patali ukhopelaji. “Yangaji elyoli, shila muntu no jirani wakwe,” afwanaje tili bhaputi aje shila munti hwa wamwao.
26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,
Mbhaje ne nguru, lelo mgayejeswe sumlinazwe nguru zwenyu.
27 wala msimpe ibilisi nafasi.
Mganje hupele usetano moyo.
28 Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, lakini lazima ajishughulishe, afanye kitu kifaacho kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha kuwagawia wahitaji.
Yeyonti yahwibha lazima gajewibhe antele. Badala yakwe lazima abhombe embombo. Abhombe ambombo efaida humakhono gakwe ili awezwe humwavwe umuntu yalineshida.
29 Maneno mabaya yasitoke vinywani mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao.
Ekauli embibhi egaje afume mumalomo genyu. Badala yakwe enongwa lazima gafume mumalomu genyu abhapele efaida bhala bhabhahavwa.
30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
Nantele mgaje hunkungubhazwe Roho ufije uwa Ngolobhe hwa mwahale mubhehwelye muwaule hunsiku eye waule.
31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.
Lazima mubheshe hutali ukhali wonti, nelyoyo ne nkuni ibho na endigo pandwemo na shila namna eye mbibhi bhaji bhinza mwemwe hwa mwemwe.
32 Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
Mubhanje ne huruma msajilana je mwemwe hwa mwemwe, neshe shila Ungolobhe ashilile Kristi shabha sajiye amwe.