< Waefeso 3 >

1 Kwa sababu hii, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi watu wa Mataifa:
Afuatane naje nini, Paulo, nempinywa wa Yesu Kilisti kwaajili yinyu mubhinsi.
2 Kwa hakika mmekwisha kusikia kuhusu ile huduma ya neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu,
Imanya aje muvwizye hunongwayi mbombo yi wene ila Ngulubhi yahampiye kwaajili yinyu.
3 yaani, ile siri iliodhihirishwa kwangu kwa njia ya ufunuo, kama nilivyotangulia kuandika kwa kifupi.
Ihubhasimbila afumilane shezili ugubulwo sheubhugubulilwe lyenahandishe hufupi wikalata ilyingi.
4 Kwa kusoma haya, basi mtaweza kuelewa ufahamu wangu katika siri ya Kristo.
Na bhazya iga ungamanya uwinza wani mulyoli ubhu wewuyifisile hunongwa ya Kilisti.
5 Siri hii haikudhihirishwa kwa wanadamu katika vizazi vingine kama vile sasa ilivyodhihirishwa na Roho kwa mitume na manabii watakatifu wa Mungu.
Hu mpapwo inzyinji ilyoli ili sewabhombilwe bhulooleshe hu bhana bhabhantu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
6 Siri hii ni kwamba, kwa njia ya Injili, watu wa Mataifa ni warithi pamoja na Israeli, viungo vya mwili mmoja na washiriki pamoja wa ahadi katika Kristo Yesu.
Ilyoli lyelayifisile huhuje abhantu abhi insi bhape bhaahli amwetu na ajumbe bhamwetu bhabhili tilipeka ni ahadi ya Yesu Kilisti ashilile izwi.
7 Nimekuwa mtumishi wa Injili hii kwa kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa nguvu yake itendayo kazi.
Hwihi imbombishe mbobhambombo humpeysa ya weene ya Ngulubhi yampiye ani ashilile imbombo yi nguvu zyakwe.
8 Ingawa mimi ni mdogo kuliko aliye mdogo kabisa miongoni mwa watakatifu wote, nilipewa neema hii: ili niwahubirie watu wa Mataifa kuhusu utajiri usiopimika ulio ndani ya Kristo,
Ungulubhi ahafumizye impesa ini huline hata nkushe ani indi dodo hubhonti hubhala bhabhabaguliliwe hunongwa ya Ngulubhi. Impesya ni huhije ihwanziwa hubhalumbilile abhimbi izwi lyelili nu tabhazi wesebhuleleha kwa Yesu.
9 na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn g165)
ihanziwa hubhalumbilile abhantu bhoti aje umpyango gwa Ngulubhi uwisili. Umpango ugu gwahafisilwe amaha minsi gegashilile nu Ngulubhi ya vibhumbile ivintu vyonti. (aiōn g165)
10 Ili sasa kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye mamlaka katika ulimwengu wa roho,
Ili lyali aje ashilile ishibhanza agosi bhoontu abhapamwanya, bhamanye isehemu inyinji izyi maandi izyi hekima ya Ngulubhi.
11 sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Iga handigafumiye ashilile umpango wa wila wewukamilishe muhati mwa Yesu Kilisti gosi wetu. (aiōn g165)
12 Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.
Pipo hwa Yesu tilinudandamazu nu uwezo uwabhe nu dandamazu hwi dala lyi lwitu hukwakwe.
13 Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa kwa sababu ya mateso yangu kwa ajili yenu, hayo ni utukufu wenu.
Iishi ihumbalabha ingaje azila mwe humayimba gaa kwaajili yinyu, iga tuntumu winyu.
14 Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,
Afuatane ni shi insugamila hwa ngosi.
15 ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.
Hwa mwene kila bhantu abah humwanya na bhantu abhapamwanya pansi, likwiziwilwe itawa.
16 Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya Roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake,
Ilabha mubhapele uweene afumilane mutabhazi wituntumu wakwe abhabhishe (abhagomye) hu nguvu ashilile hwa Mpepo wakwe, yali muhati mulimwe.
17 ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,
Ilabha huje UKiristu muhati mmoyo ginyu ashilile ulwitiho.
18 mwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, urefu, kimo na kina upendo wa Kristo,
Ilabha huje mubhe ni shinanu umusingi gwi lugano lwakwe mubhe mwigano lyake nke mumanye ahwelewe, peka na bhantu bhebhamwitishe mupana na mutali ni kimo ni kina shi lugano lwa Kitisti.
19 na kujua upendo huu unaopita fahamu, ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wote wa Mungu.
Ilabha huje mumanye ugosi wi lugano lwa Kiristi lwe lushilile ifahamu. Mubhombe izi nke mumemwe ugolosi wonti uwa Ngulubhi.
20 Basi kwa yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza wake ule utendao kazi ndani yetu,
Ishi hwa mwene yangabhomba ijambo lyolyonti zaidi ya gonti getilabha na getigasibha ashilile hu nguvu zyakwe yibhomba imbombo muhati yitu,
21 yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn g165)
hwa mwene hubhe nu funtumu mushibhanza hwa Yesu Kilisti hu mpapo zyonti wila na wila. Amina (aiōn g165)

< Waefeso 3 >