< Waefeso 2 >

1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,
I vas koji bijaste mrtvi za prestupljenja i grijehe svoje,
2 ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn g165)
U kojima nekad hodiste po vijeku ovoga svijeta, po knezu koji vlada u vjetru, po duhu koji sad radi u sinovima protivljenja; (aiōn g165)
3 Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote.
U kojima i mi svi življesmo negda po željama tijela svojega, èineæi volju tijela i pomisli, i bijasmo roðena djeca gnjeva, kao i ostali;
4 Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,
Ali Bog, koji je bogat u milosti, za premnogu ljubav svoju, koju ima k nama,
5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema.
I nas koji bijasmo mrtvi od grijehova oživlje s Hristom blagodaæu ste spaseni
6 Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,
I s njim vaskrse i posadi na nebesima u Hristu Isusu.
7 ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Da pokaže u vijekovima koji idu preveliko bogatstvo blagodati svoje dobrotom na nama u Hristu Isusu. (aiōn g165)
8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu,
Jer ste blagodaæu spaseni kroz vjeru; i to nije od vas, dar je Božij.
9 si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.
Ne od djela, da se niko ne pohvali.
10 Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.
Jer smo njegov posao, sazdani u Hristu Isusu za djela dobra, koja Bog naprijed pripravi da u njima hodimo.
11 Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao hapo awali mlikuwa watu wa Mataifa kwa kuzaliwa na kuitwa “wasiotahiriwa” na wale wanaojiita “waliotahiriwa” (yaani tohara ifanyikayo katika mwili kwa mikono ya wanadamu),
Zato se opominjite da vi koji ste negda po tijelu neznabošci bili i nazivani neobrezanje od onijeh koji su se zvali po tijelu obrezanje, koje se rukom radilo,
12 kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa mbali na Kristo, mkiwa mmetengwa kutoka jumuiya ya Israeli, na mkiwa wageni katika yale maagano ya ahadi, nanyi mkiwa hamna tumaini wala Mungu duniani.
Da bijaste u ono vrijeme bez Hrista, odvojeni od društva Izrailjeva, i bez dijela u zavjetima obeæanja, nada ne imajuæi, i bezbožni na svijetu:
13 Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya damu ya Kristo.
A sad u Hristu Isusu, vi koji ste negda bili daleko, blizu postadoste krvlju Hristovom.
14 Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu,
Jer je on mir naš, koji oboje sastavi u jedno, i razvali plot koji je rastavljao, neprijateljstvo, tijelom svojijem.
15 kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani,
Zakon zapovijesti naukama ukinuvši; da iz oboga naèini sobom jednoga novog èovjeka, èineæi mir;
16 naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao.
I da pomiri s Bogom oboje u jednom tijelu krstom, ubivši neprijateljstvo na njemu.
17 Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao waliokuwa karibu.
I došavši propovjedi u jevanðelju mir vama daljnima i onima koji su blizu.
18 Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
Jer on dovede k ocu oboje u jednom duhu.
19 Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu.
Tako dakle više nijeste tuði i došljaci, nego živite sa svetima i domaæi ste Bogu,
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni.
Nazidani na temelju apostola i proroka, gdje je kamen od ugla sam Isus Hristos,
21 Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana.
Na kome sva graðevina sastavljena raste za crkvu svetu u Gospodu;
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.
Na kome æete se i vi sazidati za stan Božij u duhu.

< Waefeso 2 >