< Waefeso 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu: Kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu:
Bulus, Manzo u Yesu Kristi ni kpa ny'me Rhji ni
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
ndi bi klu si sri Rhji wa ba heni Asisa. ndi di u tinmu ni Bachi mu Yesu Kristi.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo.
Ki gbre Baci timu Yesu san wa a ti lulu ni tawu rhi ni bubu u son ma ni shu.
4 Kwa maana alituchagua katika yeye kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu na bila lawama mbele zake. Kwa upendo
Irhji cuta bi wa ki kpa ny'me niwu zhini baci mu, duta son ndidi me ni shishi ma.
5 alitangulia kutuchagua tuwe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo kwa furaha yake na mapenzi yake mwenyewe.
Irhji kpata n'y'me na duta kati mrlima nide Yesu Kristi. Ati nayi dubi niwu don kpe wa anison.
6 Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa huruma zake kuu alizotumiminia sisi katika Mwanawe Mpendwa.
A katati mrli ma na kpa bgre san nitu wadi a son kpupkpome.
7 Ndani yake tunao ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake
Ki fe kpa cuwolatrembu ni miyi Yesu Kristi.
8 aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote.
A nuta ziziyi ni to ma wawuu.
9 Naye alitujulisha siri ya mapenzi yake sawasawa na uradhi wa mapenzi yake, ambayo alikusudia katika Kristo,
Irhji trota kpe janji wa bari du kpe wabi niwu'a tsro ni tu Kristi.
10 ili yapate kutimizwa wakati mkamilifu utakapowadia, yaani, kuvitia vitu vyote vya mbinguni na vya duniani pamoja, chini ya kiongozi mmoja, ndiye Kristo.
Iton wa a nita klen duma, Irhji nijikpe wa bashe nishurni meme ye ni mi de Yesu.
11 Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, yeye ambaye hufanya mambo yote kulingana na kusudi la mapenzi yake,
Ba cuta nimi bacirji duta kati kpe u godo u baci-rji. A ti wayi rji ni bacimu, wawu niti kpe ni tu mren ma.
12 ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake.
A cuta naduta kashe sese kase kita yi ki bi mumla nimi Kristi, kihebi wa ba gbrerji san.
13 Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia Neno la kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha kuamini, ndani yake mlitiwa muhuri, yaani, Roho Mtakatifu mliyeahidiwa,
Ni Kristi, biyi wa biwo tre janji, itre u kpata gbujubu, be kpar ny'meniwu wa kayi ni brji ma tsatsra.
14 yeye ambaye ni amana yetu akituhakikishia urithi wetu hadi ukombozi wa wale walio milki ya Mungu kwa sifa ya utukufu wake.
Wa wu yi nu kon u gado, dundema fe gbresan.
15 Kwa sababu hii, tangu niliposikia juu ya imani yenu katika Bwana Yesu na upendo wenu kwa watakatifu wote,
Nitu kimayi, miwo kbonji trebi nimi Baci yesu ni son bi ni bihu rji wawuu.
16 sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.
Mina kpa rhisi niyo ndebi ni tre ni Bachi na.
17 Nazidi kumwomba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awajalieni ninyi roho ya hekima na ya ufunuo, ili mpate kumjua zaidi.
Mi bre Bacimu yesu Kristi, itie u daraja ni nuyi ibrji tsratsra ani niyu to uma.
18 Ninaomba pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate kujua tumaini mliloitiwa, utajiri wa urithi wa utukufu wake kwa watakatifu
Me tre nirji du shishimbi bwu ni duyi ta kpe wa a'yoyi'a ni wa'a niti yuwuu ni mi bihu rji'a
19 na uweza wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno
Mi tie aduwa nduyi to ki ekle ngbengble ma u kakle wa ahe ni mimbu wa kie ny'me ni wu'a.
20 aliyoitumia katika Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu, na akamketisha mkono wake wa kuume huko mbinguni,
A hi mbye mbyle kimahi wa rji du Kristi lunde na son niwo rli ma ni shu.
21 juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn )
A nu nikon nimgbengble ni tu kogye, nide wawu'u Kristi ni ti chu ni ziza ni ton uye. (aiōn )
22 Naye Mungu ameweka vitu vyote viwe chini ya miguu yake na amemfanya yeye awe kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa,
Irji ya koge ni wo Kristi na du kati nikonu chuci.
23 ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake yeye aliye yote katika yote.
Chuci'a hi kpa ma, a hi niko wawuwu.