< Mhubiri 7 >

1 Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi, nayo siku ya kufa kuliko ya kuzaliwa.
Dunu eno da dima nodomusa: moloidafa hou hamonanoma! Amo hou da muni bagadega lai gabusiga: manoma amo baligisa. Amola dia bogosu eso da dia lalelegei eso baligisa.
2 Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu, kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu, imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.
Dia da heawini dibi diasu amoga ahoabe hou da lolo nabe diasu amoga masunu baligisa. Bai ninia huluane da bogosu ba: mu. Amola ninia esalebe eso amoga, amo hou dawa: mu da defea.
3 Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo.
Da: i dioi hou da ousu hou baligisa. Dilia da: i dioi galea, odagi da da: i dioiwane ba: sa. Be dilia asigi dawa: su da asigilasa.
4 Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.
Nowa da dabuagado hahawane hou fawane dawa: sea da gagaoui gala. Bagade dawa: su dunu da bogosu amo dawa: lala.
5 Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima, kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
Gagaoui dunu da dima nodone sia: sea, amo da dia hou hame fidisa. Be bagade dawa: su dunu da dima gagabole sia: sea, amo da dia hou baligili noga: sa.
6 Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya sufuria, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu. Hili nalo pia ni ubatili.
Gagaoui dunu da ousea, amo da aya: gaga: nomei laluga nesa fadagaga: la: be agoane gala. Amo da bai hamedei.
7 Dhuluma humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu, nayo rushwa huuharibu moyo.
Bagade dawa: su dunu da enomaba: le adodigili hamosea, e da gagaoui agoai hamosa. Di da hano sulugili lasea, dia hamobe hou da wadela: lesi dagoi ba: mu.
8 Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake, uvumilivu ni bora kuliko kiburi.
Hou huluane ea dagosu da ea muni hamosu hou baligisa. Asaboi hou da gasa fi hou baligisa.
9 Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako, kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Dia hedolo ougisu hou noga: le ouligima. Enoma gogonomosu hou da gagaoui agoai.
10 Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo.
Dilia da, “Hemone hou da waha hou bagadewane baligisu!” agoane mae sia: ma. Amo sia: da bai hame gala.
11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.
Esalebe dunu huluane da bagade dawa: su hou lamu da defea. Bagade dawa: su da nana liligi labe defele gala.
12 Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi, lakini faida ya maarifa ni hii: kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.
Bagade dawa: su hou da muni gagui defele, dia hou gaga: mu. Dafawane! Bagade dawa: su hou da dia hou fidisa amola dima gaga: su iaha.
13 Tafakari kile Mungu alichokitenda: Nani awezaye kunyoosha kile ambacho yeye amekipinda?
Gode Ea hamoi hou dawa: ma! Gode Ea fefenowane hamoi amo nowa da mololesima: bela: ?
14 Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi, lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari: Mungu amefanya hiyo moja, naam, sanjari na hiyo nyingine. Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugundua kitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye.
Dima adi liligi noga: le hamosea, di nodoma. Bidi hamosu dima doaga: sea, Gode da hahawane hou amola bidi hamosu hou gilisili iasisa, amo dawa: ma. Dia da fa: no misunu hou hamedafa dawa:
15 Katika maisha haya yangu ya ubatili nimeshaona haya mawili: mtu mwadilifu akiangamia katika uadilifu wake, naye mtu mwovu akiishi maisha marefu katika uovu wake.
Na da esalusu hou da hamedei agoane ba: su. Be amo ganodini, na da hou huluane ba: i. Noga: i dunu da bogosu ba: mu. Be wadela: i hamosu dunu mogili da hahawane sedagawane esalumu.
16 Usiwe mwenye haki kupita kiasi, wala usiwe na hekima kupita kiasi: kwa nini kujiangamiza mwenyewe?
Amaiba: le, noga: idafa hou amola bagade dawa: su hou amo baligiliwane mae hamoma. Abuliba: le, dina: di fane legesala: ?
17 Usiwe mwovu kupita kiasi, wala usiwe mpumbavu: kwa nini kufa kabla ya wakati wako?
Be baligili wadela: i hou amola gagaoui hou amola mae hamoma. Dia abuliba: le di da galuga bogoma: bela: ?
18 Ni vyema kushika hilo moja na wala usiache hilo jingine likupite. Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi.
Baligili wadela: idafa amola noga: idafa ele galu yolesima. Be nowa da Godema beda: i galea, da hahawane esalumu.
19 Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi kuliko watawala kumi katika mji.
Ouligisu dunu nabuane gala da moilai bai bagade ea hou fidisa. Be amo baligili, bagade dawa: su hou da osobo bagade dunu ea hou baligili fidisa.
20 Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.
Osobo bagedega, dunu afae da eso huluane mae giadofale, moloidafa hou hamonanebe, da hame esala.
21 Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu, la sivyo, waweza kumsikia mtumishi wako akikulaani:
Dia hawa: hamosu dunu da dia hou gadele sia: daha amo nabasa: besa: le, dunu ilia sia: dabe huluane mae nabima.
22 kwa kuwa unafahamu moyoni mwako kwamba wewe mwenyewe mara nyingi umewalaani wengine.
Di dawa: ! Disu amola da eso bagohamega eno dunu ilima gadele sia: su.
23 Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema, “Nimeamua kuwa na hekima”: lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu.
Amo hou huluane, na da na bagade dawa: su hou amoga adoba: su. Na da baligili bagade dawa: su lamusa: hanai galu. Be hamedei ba: i.
24 Vyovyote hekima ilivyo, hekima iko mbali sana na imejificha, ni nani awezaye kuigundua?
Esalusu ea bai da haboda: i, amo nowa dawa: ma: bela: ? Amo da ninia dawa: mu hamedei. Ninia dawa: mu gogolei.
25 Nikageuza fikira zangu ili kuelewa, kuchunguza na kuitafuta hekima na kusudi la mambo, na ili kuelewa ujinga wa uovu, na wazimu wa upumbavu.
Be na da bagade dawa: lamusa: , sugulu hamosu. Na da bagade dawa: su hou amola na adole ba: su ea adole iabe amo dawa: ma: ne, dawa: musa: dawa: i galu. Na da gagaoui hou amo da wadela: idafa amo dawa: mu hanai galu.
26 Nimeona jambo lililo chungu kuliko mauti, mwanamke ambaye ni mtego, ambaye moyo wake ni wavu wa kutegea na mikono yake ni minyororo. Mtu ampendezaye Mungu atamkwepa, bali mwenye dhambi atanaswa naye.
Na da gamoga: i liligi amo da bogosu baligisu ba: i dagoi. Amo da uda. Uda ea sasagesu hou da dima sanisu o efegesu agoai gala. E da ea loboga di nonogosea, sia: ine efe agoaiga di la: la: gimu. Dunu amo da Gode hahawane ba: ma: ne hamosa da amoga hobeamu dawa: , be agoai uda da wadela: i hamosu dunu gagulaligimu.
27 Mhubiri anasema, “Tazama, hili ndilo nililogundua: “Nimegundua kitu kimoja baada ya kingine nilipokuwa katika kusudi la mambo:
Sia: dabe Alofele Iasu Dunu da amane sia: i, “Dafawane! Na da dabe adole iasu hogobeba: le, na da afofadene ba: i dagoi.
28 ningali natafiti lakini sipati: nilimpata mwanaume mmoja mnyofu miongoni mwa elfu, lakini hakuna mwanamke mmoja mnyofu miongoni mwao.
Na da dabe adole iasu eno hogoi helei be hame ba: i. Dunu gilisi1000 amo ganodini hogole, dunu amoga na da nodomusa: dawa: i, afae fawane ba: i. Be uda afae hamedafa ba: i.
29 Hili ndilo peke yake nililolipata: Mungu amemuumba mwanadamu mnyofu, lakini mwanadamu amebuni mambo mengi.”
Amo fawane na da dawa: lai. Gode da nini moloiwane hamoi. Be nini fawane da nina: bu guga: lole hamoi.

< Mhubiri 7 >