< Mhubiri 5 >
1 Linda hatua zako uendapo katika nyumba ya Mungu. Karibia usikilize kuliko kutoa dhabihu ya wapumbavu, ambao hawajui kuwa wanafanya kosa.
Sargi savu kāju, kad tu ej Dieva namā, un nāc labāk klausīties nekā upurēt kā ģeķi, jo tie nezina, ka tie ļaunu dara.
2 Usiwe mwepesi kuzungumza, usiwe na haraka katika moyo wako kuzungumza lolote mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni nawe uko duniani, kwa hiyo maneno yako na yawe machache.
Neesi ātrs ar savu muti un lai tava sirds nepārsteidzās, kādu vārdu Dieva priekšā izrunāt. Jo Dievs ir debesīs un tu virs zemes, tāpēc lai ir maz tavu vārdu.
3 Kama vile ndoto huja wakati kuna shughuli nyingi, ndivyo yalivyo mazungumzo ya mpumbavu wakati kuna maneno mengi.
Jo kā sapnis nāk, kur lielas rūpes, tā ģeķa valoda, kur aplam daudz vārdu.
4 Wakati unapomwekea Mungu nadhiri, usikawie kuitimiza. Yeye hafurahii wapumbavu; timiza nadhiri yako.
Ja tu Dievam solījumu solījis, tad nekavējies to maksāt; jo viņam nav labs prāts pie ģeķiem.
5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuiweka na usiitimize.
Ko tu esi apsolījis, to pildi; labāki nesolīt, nekā solīt un nepildīt.
6 Usiruhusu kinywa chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema, “Niliweka nadhiri kwa makosa.” Kwa nini Mungu akasirike kwa ajili ya yale unayosema na kuiharibu kazi ya mikono yako?
Nedod savai mutei vaļas, savu miesu apgrēcināt, un nesaki Dieva vēstneša priekšā, man ir misējies. Kāpēc Dievs lai apskaitās par tavu valodu un iznīcina tavu roku darbu?
7 Kuota ndoto kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo simama katika kicho cha Mungu.
Jo kur daudz sapņu un arī, kur daudz vārdu, tur ir niecība; bet tu bīsties Dievu.
8 Kama ukiona maskini wanaonewa katika nchi, hukumu na haki vikipotoshwa, usishangazwe na mambo hayo, kwa maana afisa mmoja anaangaliwa na aliye juu yake zaidi na juu ya hao wawili kuna wengine walio juu zaidi yao.
Kad tu redzi, ka nabagu apspiež kādā valstī un atrauj tiesu un taisnību, tad nebrīnies par to; jo vēl ir viens augstāks pār to augsto; tas liek vērā, un tas Visuaugstākais ir pār tiem visiem.
9 Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.
Pie visa tā zemei par labu: ķēniņš, kam rūp zemes kopšana.
10 Yeyote apendaye fedha kamwe hatosheki na fedha; yeyote apendaye utajiri kamwe hatosheki na kipato chake. Hili nalo pia ni ubatili.
Kas naudu mīļo, tam naudas netiek gan; un kas bagātību mīļo, tas no tās laba neredzēs, - arī tā ir niecība.
11 Mali ikiongezeka, ndivyo walaji wanavyoongezeka. Hii nayo inamfaidia nini mwenye mali isipokuwa ni kushibisha macho yake?
Kur manta vairojās, tur vairojās ēdāji; kāds tad labums tam, kam tā pieder, kā tik acīm skatīties?
12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.
Strādniekam miegs gards, vai maz vai daudz ēdis; bet bagātais, kas pieēdies, netiek pie miega.
13 Nimeshaona uovu mzito chini ya jua: Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima na kuleta madhara kwa mwenye mali,
Tas ir liels ļaunums, ko es redzēju pasaulē, kad bagātība tam, kas to sargā, pašam paliek par nelaimi.
14 au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya, hivyo kwamba wakati akiwa na mwana hakuna chochote kilichobaki kwa ajili yake.
Jo tāda bagātība iet bojā caur kādu nelaimi, un kad tam dēls dzimis, tad šim nekā nav pie rokas.
15 Mtu hutoka tumboni mwa mama yake uchi, naye jinsi alivyokuja vivyo hivyo huondoka. Hachukui chochote kutokana na kazi yake ambacho anaweza kukibeba mkononi mwake.
Tā kā viņš nācis no mātes miesām, tāpat viņš pliks atkal aizies, kā atnācis; viņš arī neņems nekā līdz no sava pūliņa, ko savā rokā varētu aiznest,
16 Hili nalo ni baya la kusikitisha: Kama vile mtu ajavyo, vivyo hivyo huondoka, naye anapata faida gani, maadamu hutaabika kwa ajili ya upepo?
Un arī tas ir liels ļaunums, ka viņš itin tā atkal aiziet, kā atnācis. Kāds labums tad viņam atlec, ka viņš velti pūlējies,
17 Siku zake zote hula gizani, pamoja na fadhaa kubwa, mateso na hasira.
Ka viņš arī visu mūžu tumsā ēdis un lielos sirdēstos un vājībā un dusmās?
18 Ndipo nikatambua kwamba ni vyema na sahihi kwa mtu kula na kunywa na kutosheka katika kazi yake ngumu chini ya jua katika siku chache za maisha yake Mungu alizompa, kwa maana hili ndilo fungu lake.
Tad nu uzskatu par labu, ka jauki ir ēst un dzert, un labumu baudīt pie visa sava pūliņa, ar ko kāds pūlējās pasaulē to īso mūžu, ko Dievs tam dod; jo tā ir viņa daļa.
19 Zaidi ya yote, Mungu anapompa mtu yeyote utajiri na milki, humwezesha kuvifurahia, kukubali fungu lake na kuwa na furaha katika kazi yake, hii ni karama ya Mungu.
Jo kuram cilvēkam Dievs devis bagātību un mantu, un tam dod vaļu no tās ēst un savu daļu ņemt un priecāties pie sava darba, tā ir Dieva dāvana.
20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni.
Jo viņš daudz nepiemin savas dzīvības dienas, tāpēc ka Dievs viņa sirdi ar prieku apdāvina.