< Mhubiri 5 >
1 Linda hatua zako uendapo katika nyumba ya Mungu. Karibia usikilize kuliko kutoa dhabihu ya wapumbavu, ambao hawajui kuwa wanafanya kosa.
to keep: guard (foot your *Q(K)*) like/as as which to go: went to(wards) house: temple [the] God and to present: come to/for to hear: hear from to give: give [the] fool sacrifice for nothing they to know to/for to make: do bad: evil
2 Usiwe mwepesi kuzungumza, usiwe na haraka katika moyo wako kuzungumza lolote mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni nawe uko duniani, kwa hiyo maneno yako na yawe machache.
not to dismay upon lip your and heart your not to hasten to/for to come out: speak word to/for face: before [the] God for [the] God in/on/with heaven and you(m. s.) upon [the] land: country/planet upon so to be word your little
3 Kama vile ndoto huja wakati kuna shughuli nyingi, ndivyo yalivyo mazungumzo ya mpumbavu wakati kuna maneno mengi.
for to come (in): come [the] dream in/on/with abundance task and voice fool in/on/with abundance word
4 Wakati unapomwekea Mungu nadhiri, usikawie kuitimiza. Yeye hafurahii wapumbavu; timiza nadhiri yako.
like/as as which to vow vow to/for God not to delay to/for to complete him for nothing pleasure in/on/with fool [obj] which to vow to complete
5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuiweka na usiitimize.
pleasant which not to vow (from which/that to vow *L(abh)*) and not to complete
6 Usiruhusu kinywa chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema, “Niliweka nadhiri kwa makosa.” Kwa nini Mungu akasirike kwa ajili ya yale unayosema na kuiharibu kazi ya mikono yako?
not to give: allow [obj] lip your to/for to sin [obj] flesh your and not to say to/for face: before [the] messenger for unintentionally he/she/it to/for what? be angry [the] God upon voice your and to destroy [obj] deed: work hand your
7 Kuota ndoto kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo simama katika kicho cha Mungu.
for in/on/with abundance dream and vanity and word to multiply for [obj] [the] God to fear: revere
8 Kama ukiona maskini wanaonewa katika nchi, hukumu na haki vikipotoshwa, usishangazwe na mambo hayo, kwa maana afisa mmoja anaangaliwa na aliye juu yake zaidi na juu ya hao wawili kuna wengine walio juu zaidi yao.
if oppression be poor and robbery justice and righteousness to see: see in/on/with province not to astounded upon [the] pleasure for high from upon high to keep: look at and high upon them
9 Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.
and advantage land: country/planet in/on/with all (he/she/it *Q(K)*) king to/for land: country to serve: labour
10 Yeyote apendaye fedha kamwe hatosheki na fedha; yeyote apendaye utajiri kamwe hatosheki na kipato chake. Hili nalo pia ni ubatili.
to love: lover silver: money not to satisfy silver: money and who? to love: lover in/on/with crowd not produce also this vanity
11 Mali ikiongezeka, ndivyo walaji wanavyoongezeka. Hii nayo inamfaidia nini mwenye mali isipokuwa ni kushibisha macho yake?
in/on/with to multiply [the] welfare to multiply to eat her and what? skill to/for master her that if: except if: except (sight *Q(K)*) eye his
12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.
sweet sleep [the] to serve: labour if little and if to multiply to eat and [the] abundance to/for rich nothing he to rest to/for him to/for to sleep
13 Nimeshaona uovu mzito chini ya jua: Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima na kuleta madhara kwa mwenye mali,
there distress: evil be weak: grieved to see: see underneath: under [the] sun riches to keep: guard to/for master his to/for distress: harm his
14 au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya, hivyo kwamba wakati akiwa na mwana hakuna chochote kilichobaki kwa ajili yake.
and to perish [the] riches [the] he/she/it in/on/with task bad: harmful and to beget son: child and nothing in/on/with hand his anything
15 Mtu hutoka tumboni mwa mama yake uchi, naye jinsi alivyokuja vivyo hivyo huondoka. Hachukui chochote kutokana na kazi yake ambacho anaweza kukibeba mkononi mwake.
like/as as which to come out: come from belly: womb mother his naked to return: again to/for to go: went like/as which/that to come (in): come and anything not to lift: raise in/on/with trouble his which/that to go: take in/on/with hand his
16 Hili nalo ni baya la kusikitisha: Kama vile mtu ajavyo, vivyo hivyo huondoka, naye anapata faida gani, maadamu hutaabika kwa ajili ya upepo?
and also this distress: evil be weak: grieved all close which/that to come (in): come so to go: went and what? advantage to/for him which/that to toil to/for spirit: breath
17 Siku zake zote hula gizani, pamoja na fadhaa kubwa, mateso na hasira.
also all day his in/on/with darkness to eat and to provoke to multiply and sickness his and wrath
18 Ndipo nikatambua kwamba ni vyema na sahihi kwa mtu kula na kunywa na kutosheka katika kazi yake ngumu chini ya jua katika siku chache za maisha yake Mungu alizompa, kwa maana hili ndilo fungu lake.
behold which to see: see I pleasant which beautiful to/for to eat and to/for to drink and to/for to see: enjoy welfare in/on/with all trouble his which/that to toil underneath: under [the] sun number day (life his *Q(k)*) which to give: give to/for him [the] God for he/she/it portion his
19 Zaidi ya yote, Mungu anapompa mtu yeyote utajiri na milki, humwezesha kuvifurahia, kukubali fungu lake na kuwa na furaha katika kazi yake, hii ni karama ya Mungu.
also all [the] man which to give: give to/for him [the] God riches and wealth and to domineer him to/for to eat from him and to/for to lift: bear [obj] portion his and to/for to rejoice in/on/with trouble his this gift God he/she/it
20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni.
for not to multiply to remember [obj] day life his for [the] God to afflict in/on/with joy heart his