< Mhubiri 4 >
1 Nikatazama tena nikaona uonevu wote uliokuwa unafanyika chini ya jua: Nikaona machozi ya walioonewa, wala hawana wa kuwafariji; uwezo ulikuwa upande wa wale wanaowaonea, wala hawana wa kuwafariji.
Amalalu, na da defele hame hamobe hou osobo bagadega bu ba: i. Gasa fi dunu da asaboi dunuma nimi bagade hamobeba: le, asaboi dunu da dinanu, fidisu dunu hame ba: i. Bai gasa fi dunu, ili fawane da gasa gala.
2 Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.
Na da bogoi dunu ilima mudasa. Bai bogosu hou da esalusu hou baligisa.
3 Lakini aliye bora kuliko hao wawili ni yule ambaye hajazaliwa bado, ambaye hajaona ule uovu unaofanyika chini ya jua.
Be dunu amo da hame lalelegei da defele hame hamobe hou osobo bagadega gala, amo hame ba: beba: le, ilia hou da esalebe dunu ilia hou baligisa.
4 Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
Hou eno na ba: le, dawa: lai dagoi. Abuliba: le dunu ilia da hawa: gasa bagadedafa hamosala: , amola liligi huluane noga: i enoenoia hahamosala: ? Bai agoane, ilia da ilia na: iyado dunu ilia gagui amo mudale ba: sa. Be amo hou da hamedeidafa. Amo da fo mabe se bobogebe defele gala.
5 Mpumbavu hukunja mikono yake na kujiangamiza mwenyewe.
Dunu oda ilia da agoane sia: sa, dunu hihia: me hawa: afaewane mae hamone, hina: lobo sogoba: digili udigili esalebeba: le bogomu, agoaiwane dunu da gagaoui dunu.
6 Afadhali konzi moja pamoja na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu na kukimbiza upepo.
Amo sia: da dafawanela: ? Na hame dawa: Be amo na dawa: Fonobahadi fawane gaguli amola dogo olofoiwane esalumu da defea. Be eso huluane fo lamusa: ne, lobo aduna amoga mae helefili hawa: hamonanumu da hamedei liligi agoane.
7 Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:
Na da osobo bagade esalusu ganodini, eno hamedei liligi ba: i dagoi.
8 Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake, hakuwa na mwana wala ndugu. Hapakuwa na mwisho wa kazi yake, hata hivyo macho yake hayakutosheka na utajiri wake. Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani, nami kwa nini ninajinyima kufurahia?” Hili pia ni ubatili, ni shughuli yenye taabu!
Dunu afaedafa e da hisuwane fifi lala. E da mano hame amola ea eya ola hamedei, be amowane e da eso huluane hawa: hamonana. Be e da bagade gaguiba: le hame nodosa. E da nowama gasa bagade hawa: hamosala: ? Amola e da abuliba: le hahawane hou higasala: ? Amo hou amola da hamedei liligi. Agoaiwane esalusu da noga: i hame amola da: i dioi agoane.
9 Wawili ni afadhali kuliko mmoja, kwa sababu wana malipo mazuri kwa kazi yao:
Dunu aduna da dafululi hawa: hamomu da defea. Bai dunu aduna da gilisili hawa: hamosea, ela hawa: hamoi da baligili ba: mu.
10 Kama mmoja akianguka, mwenzake atamwinua. Lakini ni jambo la kuhuzunisha kwa mtu yule aangukaye naye hana wa kumwinua!
Dunu ea sama afae amo dafasea bu ea sama eno amoea fidili lobolele wa: lesimu. Be dunu afae da e hisu dafasea, e da fidisu dunu hame ba: mu.
11 Pia, kama wawili wakilala pamoja watapashana joto. Lakini ni vipi mtu aweza kujipasha joto mwenyewe?
Dunu aduna ela da anegagisia, ela gilisili sogobale gola diasea ela da dogoloi ba: mu. Be dia disu da gola diasea, di da habodane dogolole denesima: bela: ?
12 Ingawa mtu mmoja aweza kushindwa, watu wawili wanaweza kumkabili adui na kumshinda. Kamba ya nyuzi tatu haikatiki kwa urahisi.
Dunu afaedafa ea hisu ha lai dunuma gegesea e da hame hasanasimu. Be ha lai dunu ilia adunama doagala: sea, ilia gasaga da ela hame baligimu. Efe gomei osodayale hamoi amoea da hedolo hame damumu.
13 Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
14 Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
Hame gagui dunu da heda: le, bu hi fifi asi gala ganodini hina bagade hou lamusa: dawa: Amola se dabe iasu diasu hamoi dunu da se dabe iasu diasu fisili, hina bagade hou lamusa: dawa: Be e da da: i hamosea, fada: i sia: ne iasu higasea, e da gagaoui agoai. Ayeligi dunu amo da hame gaguiwane be noga: i dawa: lai, e da amo dunu ea hou baligisa.
15 Nikaona kwamba wote walioishi na kutembea chini ya jua walimfuata kijana, aliyepokea ufalme.
Na dawa: i dagoi, dunu huluane nowa osobo bagade goe ganodini esalebe, amo fi ganodini da goi ayeligi afae, e da fa: no hina bagade ea sogebi lamu.
16 Hapakuwa na kikomo cha watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
Hina bagade da dunu idimu hamedei amo ouligimusa: dawa: Be e da bogosea, dunu da ea hamobeba: le hame nodomu. Amo hou da bai hamedei. Hamedeiba: le, amo hou da gagaoui dunu fo mabe se bobogebe agoai ba: sa.