< Mhubiri 12 >
1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku za taabu, wala haijakaribia miaka utakaposema, “Mimi sifurahii hiyo”:
Bu yüzden zor günler gelmeden, “Zevk almıyorum” diyeceğin yıllar yaklaşmadan, Güneş, ışık, ay ve yıldızlar kararmadan Ve yağmurdan sonra bulutlar geri dönmeden, Gençlik günlerinde seni yaratanı anımsa.
2 kabla jua na nuru, nao mwezi na nyota havijatiwa giza, kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;
3 siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka, nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha, wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache, nao wachunguliao madirishani kutiwa giza;
O gün, evi bekleyenler titreyecek, Güçlüler eğilecek, Öğütücüler azaldığı için duracak, Pencereden bakanlar kararacak.
4 wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa na sauti ya kusaga kufifia; wakati watu wataamshwa kwa sauti ya ndege, lakini nyimbo zao zote zikififia;
Değirmen sesi yavaşlayınca, Sokağa açılan çift kapı kapanacak, İnsanlar kuş sesiyle uyanacak, Ama şarkıların sesini duyamayacaklar.
5 wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu na hatari zitakazokuwepo barabarani; wakati mlozi utakapochanua maua na panzi kujikokota nawe usiwe na shauku ya kitu chochote. Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake ya milele nao waombolezaji wakizunguka barabarani.
Dahası yüksek yerden, Sokaktaki tehlikelerden korkacaklar; Badem ağacı çiçek açacak, Çekirge ağırlaşacak, Tutku zayıflayacak. Çünkü insan sonsuzluk evine gidecek, Yas tutanlar sokakta dolaşacak.
6 Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha, au bakuli la dhahabu halijavunjika; kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi, au gurudumu kuvunjika kisimani,
Gümüş tel kopmadan, Altın tas kırılmadan, Testi çeşmede parçalanmadan, Kuyu makarası kırılmadan,
7 nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
Toprak geldiği yere dönmeden, Ruh onu veren Tanrı'ya dönmeden, Seni yaratanı anımsa.
8 Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili! Kila kitu ni ubatili!”
“Her şey boş” diyor Vaiz, “Bomboş!”
9 Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.
Vaiz yalnız bilge değildi, bildiklerini halka da öğretiyordu. Hesap etti, araştırdı ve birçok özdeyişi düzene soktu.
10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
Güzel sözler bulmaya çalıştı. Yazdıkları gerçek ve doğrudur.
11 Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.
Bilgelerin sözleri üvendire gibidir, derledikleri özdeyişlerse, iyi çakılan çivi gibi; bir tek Çoban tarafından verilmişler.
12 Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.
Bunların dışındakilerden sakın, evladım. Çok kitap yazmanın sonu yoktur, fazla araştırma da bedeni yıpratır.
13 Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
Her şey duyuldu, sonuç şu: Tanrı'ya saygı göster, buyruklarını yerine getir, Çünkü her insanın görevi budur.
14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au baya.
Tanrı her işi, her gizli şeyi yargılayacaktır, İster iyi ister kötü olsun.