< Mhubiri 12 >
1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku za taabu, wala haijakaribia miaka utakaposema, “Mimi sifurahii hiyo”:
И помяни Сотворшаго тя во днех юности твоея, дондеже не приидут дние злобы твоея, и приспеют лета, в нихже речеши: несть ми в них хотения:
2 kabla jua na nuru, nao mwezi na nyota havijatiwa giza, kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;
дондеже не померкнет солнце и свет, и луна и звезды, и обратятся облацы созади дождя:
3 siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka, nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha, wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache, nao wachunguliao madirishani kutiwa giza;
в день, в оньже подвигнутся стражие дому, и развратятся мужие силы, и упразднятся мелющии, яко умалишася, и помрачатся зрящии во скважнех:
4 wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa na sauti ya kusaga kufifia; wakati watu wataamshwa kwa sauti ya ndege, lakini nyimbo zao zote zikififia;
и затворят двери на торжищи, в немощи гласа мелющия, и востанет на глас птицы, и смирятся вся дщери песни:
5 wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu na hatari zitakazokuwepo barabarani; wakati mlozi utakapochanua maua na panzi kujikokota nawe usiwe na shauku ya kitu chochote. Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake ya milele nao waombolezaji wakizunguka barabarani.
и на высоту узрят, и ужас на пути, и процветет амигдал, и отолстеют прузие, и разрушится каппарис: яко отиде человек в дом века своего, и обыдоша на торжищи плачущии:
6 Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha, au bakuli la dhahabu halijavunjika; kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi, au gurudumu kuvunjika kisimani,
дондеже не превратится уже сребряное, и не сокрушится повязка златая, и сокрушится водонос у источника, и сломится колесо в колии.
7 nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
И возвратится персть в землю, якоже бе, и дух возвратится к Богу, иже даде его.
8 Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili! Kila kitu ni ubatili!”
Суета суетствий, рече Екклесиаст, всяческая суета.
9 Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.
И лишшее, яко бысть Екклесиаст мудр, и яко научи разуму человека: и ухо изследит красоту притчей.
10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
Много взыска Екклесиаст, еже обрести словеса хотения, и написаное правости, словеса истины.
11 Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.
Словеса мудрых якоже остны воловии и якоже гвоздие вонзено, иже от сложений дани быша от пастыря единаго.
12 Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.
И множае от них, сыне мой, хранися: творити книги многи несть конца, и учение многое труд плоти.
13 Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
Конец слова, все слушай: Бога бойся и заповеди Его храни, яко сие всяк человек:
14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au baya.
яко все творение приведет Бог на суд о всяцем погрешении, аще благо и аще лукаво.