< Mhubiri 12 >

1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku za taabu, wala haijakaribia miaka utakaposema, “Mimi sifurahii hiyo”:
and to remember [obj] to create you in/on/with day youth your till which not to come (in): come day [the] distress: evil and to touch year which to say nothing to/for me in/on/with them pleasure
2 kabla jua na nuru, nao mwezi na nyota havijatiwa giza, kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;
till which not to darken [the] sun and [the] light and [the] moon and [the] star and to return: return [the] cloud after [the] rain
3 siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka, nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha, wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache, nao wachunguliao madirishani kutiwa giza;
in/on/with day which/that to tremble to keep: guard [the] house: home and to pervert human [the] strength and to cease [the] to grind for to diminish and to darken [the] to see: see in/on/with window
4 wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa na sauti ya kusaga kufifia; wakati watu wataamshwa kwa sauti ya ndege, lakini nyimbo zao zote zikififia;
and to shut door in/on/with street in/on/with to abase voice: sound [the] mill and to arise: rise to/for voice: sound [the] bird and to bow all daughter [the] song
5 wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu na hatari zitakazokuwepo barabarani; wakati mlozi utakapochanua maua na panzi kujikokota nawe usiwe na shauku ya kitu chochote. Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake ya milele nao waombolezaji wakizunguka barabarani.
also from high to fear and terror in/on/with way: journey and to spurn [the] almond and to bear [the] locust and to break [the] desire for to go: went [the] man to(wards) house: home forever: enduring his and to turn: turn (in/on/with street *L(abh)*) [the] to mourn
6 Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha, au bakuli la dhahabu halijavunjika; kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi, au gurudumu kuvunjika kisimani,
till which not (to bind *Q(K)*) cord [the] silver: money and to crush bowl [the] gold and to break jar upon [the] spring and to crush [the] wheel to(wards) [the] pit
7 nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
and to return: return [the] dust upon [the] land: soil like/as which/that to be and [the] spirit to return: return to(wards) [the] God which to give: give her
8 Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili! Kila kitu ni ubatili!”
vanity vanity to say [the] preacher [the] all vanity
9 Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.
and advantage which/that to be preacher wise still to learn: teach knowledge [obj] [the] people and to ponder and to search be straight proverb to multiply
10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
to seek preacher to/for to find word pleasure and to write uprightness word truth: true
11 Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.
word wise like/as goad and like/as nail to plant master: [master of] collection to give: give from to pasture one
12 Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.
and advantage from them son: child my to warn to make scroll: book to multiply nothing end and study to multiply weariness flesh
13 Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
end word: thing [the] all to hear: hear [obj] [the] God to fear: revere and [obj] commandment his to keep: obey for this all [the] man
14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au baya.
for [obj] all deed [the] God to come (in): bring in/on/with justice: judgement upon all to conceal if pleasant and if bad: evil

< Mhubiri 12 >