< Mhubiri 11 >
1 Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.
Met savu maizi ūdenī, ar laiku tu to atdabūsi.
2 Wape sehemu watu saba, naam hata wanane, kwa maana hujui ni baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
Izdali to septiņiem vai astoņiem, jo tu nezini, kāda nelaime būs virs zemes.
3 Kama mawingu yamejaa maji, hunyesha mvua juu ya nchi. Kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, mahali ulipoangukia, hapo ndipo utakapolala.
Kad padebeši pilni, tad tie izlej lietu uz zemi; un kā koks kritīs pret dienvidu vai pret ziemeli, - kur koks krīt, tur tas arī paliek.
4 Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
Kas uz vēju mana, tas nesēj, un kas uz padebešiem raugās, tas nepļauj.
5 Kama vile usivyofahamu njia ya upepo, au jinsi mwili uumbwavyo ndani ya tumbo la mama, vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu, Muumba wa vitu vyote.
Tā kā tu nezini, kāds ceļš ir vējam, jeb kā kauli aug grūtas sievas miesās, tāpat tu nezini Dieva darbu, ko Viņš visu padara.
6 Panda mbegu yako asubuhi, nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee, kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa, kwamba ni hii au ni ile, au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.
No rīta sēj savu sēklu un neliec mierā savu roku vakarā; jo tu nezini, kā jo labi izdosies, vai šā vai tā; un kad abējādi izdotos, tad būtu jo labi.
7 Nuru ni tamu, tena inafurahisha macho kuona jua.
Gaišums ir salds un acīm tīk sauli redzēt.
8 Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani, na aifurahie yote. Lakini na akumbuke siku za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.
Bet jebšu cilvēks daudz gadus dzīvo un arvienu priecājās, tad lai tomēr viņš arī piemin tās nebaltās dienas, jo viņu būs daudz. Viss, kas nāk, ir niecība.
9 Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana, moyo wako na ukupe furaha katika siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na chochote macho yako yaonayo, lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote Mungu atakuleta hukumuni.
Priecājies, jaunekli, savā jaunībā, un lai tava sirds tur labu prātu savas jaunības dienās, un staigā kā tava sirds kāro un kā tavām acīm patīk; bet zini, ka Dievs par visu šo tevi vedīs priekš tiesas.
10 Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako, kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.
Tad izmet nu skumību no savas sirds un aizdzen ļaunumu no savām miesām; jo jaunība un rīta blāzma(bērnība) ir niecība.