< Mhubiri 11 >

1 Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.
Dia muni amo ga fi ilia bidi lasu hou hamoma: ne ima. Eso enoga di da muni dabua eno ligi ba: mu.
2 Wape sehemu watu saba, naam hata wanane, kwa maana hujui ni baa gani litakalokuwa juu ya nchi.
Dia muni dabua eno ligi ba: ma: ne, sogebi bagohame amoga bidi lasu hou hamoma. Bai di da dima se nabasu hou misunu hame dawa:
3 Kama mawingu yamejaa maji, hunyesha mvua juu ya nchi. Kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, mahali ulipoangukia, hapo ndipo utakapolala.
Ifa da habodili muwane dasea, e da ea sa: i sogebi amogaiwane dialumu. Mu mobi da nabai galea, gibu da sa: imu.
4 Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
Di da ouesaleawane, fo amola gibu ea hou defele fawane hawa: bugimusa: dawa: sea, di da hamedafa bugimu amola hamedafa gamimu.
5 Kama vile usivyofahamu njia ya upepo, au jinsi mwili uumbwavyo ndani ya tumbo la mama, vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu, Muumba wa vitu vyote.
Gode da liligi huluane hahamoi. Amola di da mano dudubu gaheabolo hahamobe abula agui uda ea hagomo ganodini amo hame dawa: , amo defele di da Gode Ea hamobe hamedafa dawa:
6 Panda mbegu yako asubuhi, nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee, kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa, kwamba ni hii au ni ile, au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.
Di da hahabe ha: i manu bugima! Amola daeya amolawane bugima! Di da amo bugi da noga: le heda: mu o bugi amoga afae da noga: le heda: sa amola oda da wadela: mu amo di da hamedafa dawa:
7 Nuru ni tamu, tena inafurahisha macho kuona jua.
Wali esoha amo hahawane nodomu da defea.
8 Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani, na aifurahie yote. Lakini na akumbuke siku za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.
Ode huluane dia esalebeba: le, nodoma. Habowali di da esalea, noga: le dawa: ma. Dia bogole dialumu eso da dia esalebe eso baligi ba: mu. Fa: no misunu hou amoma nodomu da hamedei.
9 Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana, moyo wako na ukupe furaha katika siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na chochote macho yako yaonayo, lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote Mungu atakuleta hukumuni.
Ayeligi dilia! Dilia ayeligi eso amoga hahawane nodoma! Dilia da goi gogawane nodoma! Dilia hanaiga hamoma! Be dawa: ma! Dilia hamobe huluane amoga Gode da fofada: nanu, dabe imunu.
10 Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako, kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.
Dilia hou huluane ba: sea, mae da: i dioma amola se nabasea, mae dawa: ma! Dilia da eso bagahame fawane goi esalumu.

< Mhubiri 11 >