< Mhubiri 10 >

1 Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.
Od mrtvijeh muha usmrdi se i pokvari ulje apotekarsko, tako od malo ludosti cijena mudrosti i slavi.
2 Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
Srce je mudromu s desne strane, a ludomu je s lijeve strane.
3 Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.
Bezumnik i kad ide putem, bez razuma je i kazuje svjema da je bezuman.
4 Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.
Ako se podigne na te gnjev onoga koji vlada, ne ostavljaj mjesta svojega, jer blagost uklanja velike grijehe.
5 Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
Ima zlo koje vidjeh pod suncem, kao pogrješka koja dolazi od vladaoca:
6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini.
Ludost se posaðuje na najviše mjesto, i bogati sjede na niskom mjestu.
7 Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.
Vidjeh sluge na konjma, a knezovi idu pješice kao sluge.
8 Yeye achimbaye shimo aweza kutumbukia ndani yake, yeyote abomoaye ukuta anaweza kuumwa na nyoka.
Ko jamu kopa, u nju æe pasti, i ko razvaljuje ogradu, uješæe ga zmija.
9 Yeyote apasuaye mawe inawezekana yakamuumiza, yeyote apasuaye magogo inawezekana yakamuumiza.
Ko odmièe kamenje, udariæe se o njih; ko cijepa drva, nije miran od njih.
10 Kama shoka ni butu na halikunolewa, nguvu nyingi zinahitajika, lakini ustadi utaleta mafanikio.
Kad se zatupi gvožðe i oštrice mu se ne naoštri, tada treba više snage; ali mudrost može bolje opraviti.
11 Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.
Ako ujede zmija prije bajanja, ništa neæe pomoæi bajaè.
12 Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
Rijeèi iz usta mudroga ljupke su, a bezumnoga proždiru usne njegove.
13 Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,
Poèetak je rijeèima usta njegovijeh ludost, a svršetak govoru njegovu zlo bezumlje.
14 naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake?
Jer ludi mnogo govori, a èovjek ne zna što æe biti; i ko æe mu kazati što æe poslije njega biti?
15 Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.
Lude mori trud njihov, jer ne znaju ni u grad otiæi.
16 Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.
Teško tebi, zemljo, kad ti je car dijete i knezovi tvoji rano jedu!
17 Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa: ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.
Blago tebi, zemljo, kad ti je car plemenit i knezovi tvoji jedu na vrijeme da se potkrijepe a ne da se opiju.
18 Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama, kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.
S lijenosti ugiblje se krov i s nemarnijeh ruku prokapljuje kuæa.
19 Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote.
Radi veselja gotove se gozbe, i vino veseli žive, a novci vrše sve.
20 Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako, au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala, kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako, naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.
Ni u misli svojoj ne psuj cara, ni u klijeti, u kojoj spavaš, ne psuj bogatoga, jer ptica nebeska odnijeæe glas i što krila ima dokazaæe rijeè.

< Mhubiri 10 >