< Torati 8 >

1 Uwe mwangalifu kufuata kila agizo ninalokupa wewe leo, ili mweze kuishi, kuongezeka na mweze kuingia mkamiliki nchi ambayo Bwana aliahidi kwa kiapo kwa baba zenu.
Dilia mae yolesili, sema huluane na da wali eso dilima i, amo nabawane hamoma. Amasea dilia da mae bogole, dilia dunu fi idi heda: le, amo soge Hina Gode da dilia aowalali ima: ne ilegele sia: i, dilia da gesowale fimu.
2 Kumbuka jinsi Bwana Mungu wenu alivyowaongoza katika njia yote katika jangwa kwa miaka hii arobaini, kukunyenyekeza na kukujaribu ili ajue lililoko moyoni mwako, kwamba utayashika maagizo yake au la.
Hina Gode da dilima bisili, ode40 40 amoga, logo sedade wadela: i hafoga: i soge amo ganodini oule asi. Dilia da Ea sia: nabawane hamoma: ne amo ado ba: musa: , E da gasa bagade hou dilima i.
3 Alikudhili na kukufanya uone njaa kisha akulishe kwa mana, ambayo wewe wala baba zako hamkuijua, awafundishe kuwa mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Bwana.
E da dilima ha: i bagade iasu. Amalalu, E da ha: i manu amo dilia amola dilia aowalali da musa: hame mai amo dilima i. Bai dilia da dunu da osobo bagade ha: i manu amoga fawane hame esalumu be Hina Gode Ea sia: huluane amoga esalumu, amo dilia dawa: ma: ne E da hamosu.
4 Nguo zenu hazikuchakaa wala miguu yenu haikuvimba kwa miaka hii arobaini.
Amo ode40ganodini, dilia abula da hame dasasu amola dilia emo da hame fofasu.
5 Mjue basi ndani ya mioyo yenu kama mtu anavyomwadibisha mwanawe, ndivyo Bwana Mungu wako atawaadibisha ninyi.
Hina Gode da osobo bagade ada defele dilima olelesu amola se nabasu iaha. Amo mae gogolema.
6 Shikeni maagizo ya Bwana Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu.
Amaiba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoma. Ea sema defele esaloma amola Ea sia: noga: le nabima.
7 Kwa kuwa Bwana Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi yenye vijito na mabwawa ya maji, yenye chemchemi zinazotiririka mabondeni na katika vilima;
Dilia Hina Gode da soge noga: idafa amo ganodini dili oule ahoa. Amo soge da bubuga: su hano noga: iwane amola hano nawali osobo hagudu diala amo da fago soge amola agolo soge amoga sogadigisa.
8 nchi yenye ngano na shayiri, mizabibu na mitini, mikomamanga, mafuta ya zeituni na asali;
Amo sogega, widi, bali, waini fage, figi, bomegala: nidi, olife amola agime hani bagade ba: sa.
9 nchi ambayo chakula hakitapungua na hamtakosa chochote; nchi ambayo miamba yake ni chuma na mnaweza kuchimba shaba kutoka kwenye vilima.
Amo soge ganodini dilia da hamedafa ha: mu amola dilia hanai huluane ba: mu. Amo soge ea gele ganodini aione (ouli) bagade ba: mu, amola ea agologa dilia da uli dogole balase gula ba: mu.
10 Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni Bwana Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.
Dilia hanai defele ha: i manu bagade ba: mu amola Hina Gode da dilima soge noga: idafa ia dagoiba: le, dilia da Ema nodone sia: mu.”
11 Jihadharini msimsahau Bwana Mungu wenu, mkashindwa kushika maagizo yake, sheria na amri zake ambazo ninawapa leo.
Mousese da eno amane sia: i, “Dilia Hina Gode maedafa gogolema. Ea sema huluane (amo na da wali eso dilima iaha), afae mae yolesili noga: le nabawane hamoma.
12 Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,
Dilia da ha: i manu dilia hanai defele ba: sea amola dilia diasu noga: iwane amo ganodini esaloma: ne amo gagui dagosea,
13 na wakati makundi yenu ya ngʼombe na mbuzi na kondoo yatakapoongezeka na fedha na dhahabu yenu itakapoongezeka na vyote mlivyo navyo vitakapozidishwa,
amola dilia sibi, bulamagau, silifa amola gouli da bagade hamoi dagoi ba: sea,
14 basi mioyo yenu isiwe na kiburi mkamsahau Bwana Mungu wenu aliyewatoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.
noga: le dawa: ma! Dilia da bu gasa fi hamone Hina Gode amo da dilia Idibidi sogega se iasu diasu hamosu halegale masa: ne amo doasi dagoi, amo gogolesa: besa: le dawa: ma!
15 Aliwaongoza kupitia jangwa lile kubwa na la kutisha, nchi ile ya kiu isiyo na maji, yenye nyoka wa sumu na nge. Aliwatolea maji kutoka kwenye mwamba mgumu.
Hina Gode da dili amo bagade wadela: idafa hafoga: i soge amo ganodini saya: be amola gamaloa bagohame ba: i, amo ganodini E da dili oule ahoasu. Amo hano hame soge ganodini, E hamobeba: le, ga: nasi igi amoga hano nawali da dilima hano sogadigi.
16 Aliwapa mana ya kula jangwani, kitu ambacho baba zenu hawakukijua, ili kuwanyenyekesha na kuwajaribu ninyi ili mwishoni apate kuwatendea mema.
Amo hafoga: i soge ganodini, E da dili moma: ne ma: na (dilia aowalali da amo ha: i manu hame ba: i) amo dilima i. E da dili ado ba: ma: ne, gasa bagade hou dilima i. Bai E da fa: no dilima hahawane dogolegelewane bagade hamomusa: dawa: i.
17 Mnaweza kusema, “Uwezo wangu na nguvu za mikono yangu ndizo zilizonipatia utajiri huu.”
Amaiba: le, dilia da dilisu gasa amoga bagade gagui dunu agoane ba: sa, amo maedafa dawa: ma.
18 Lakini kumbukeni Bwana Mungu wenu, ndiye ambaye huwapa uwezo wa kupata utajiri, na hivyo kulithibitisha Agano lake, ambalo aliwaapia baba zenu, kama ilivyo leo.
Dilia da bagade gagui agoane ba: ma: ne, Hina Gode Hi fawane da Hi gasa dilima iaha. Amo mae gogolema! E da Ea musa: gousa: su hou E da dilia aowalalia hamoi, amo mae fisima: ne dawa: beba: le agoane hamosa.
19 Ikiwa mtamsahau Bwana Mungu wenu, mkaifuata miungu mingine, mkaiabudu na kuisujudia, ninashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamizwa.
Dilia Hina Gode gogolele, sinidigili eno ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadole, ilia hawa: hamosu hamomusa: mae dawa: ma. Agoane hamosea, na da wali dilima sisasu olelesa. Dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu.
20 Kama mataifa Bwana aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii Bwana Mungu wenu.
Dilia da Hina Gode amo hame nabasea, dilia da dunu fi amo dilia da gusuba: i ahoasea Gode da gugunufinisimu, amo defele dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu.

< Torati 8 >