< Torati 4 >

1 Sikia sasa, ee Israeli, amri na sheria nitakazokufundisha wewe. Zifuate ili upate kuishi na uingie kuimiliki nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zako anawapa.
and now Israel to hear: hear to(wards) [the] statute: decree and to(wards) [the] justice: judgement which I to learn: teach [obj] you to/for to make: do because to live and to come (in): come and to possess: take [obj] [the] land: country/planet which LORD God father your to give: give to/for you
2 Usiongeze wala usipunguze chochote ninachowaamuru ninyi, ila myashike maagizo ya Bwana Mungu wenu ambayo nawapa.
not to add upon [the] word which I to command [obj] you and not to dimish from him to/for to keep: obey [obj] commandment LORD God your which I to command [obj] you
3 Mliona kwa macho yenu wenyewe kile Bwana alichokifanya kule Baal-Peori. Bwana Mungu wenu aliwaangamiza kutoka miongoni mwenu kila mmoja aliyemfuata Baali wa Peori,
eye your [the] to see: see [obj] which to make: do LORD in/on/with Baal of Peor Baal of Peor for all [the] man which to go: follow after Baal of Peor Baal of Peor to destroy him LORD God your from entrails: among your
4 lakini ninyi nyote mlioshikamana na Bwana kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai mpaka leo.
and you(m. p.) [the] cleaving in/on/with LORD God your alive all your [the] day
5 Tazama, nimewafundisha amri na sheria kama Bwana Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ili mzifuate katika nchi mnayoiingia kuimiliki.
to see: behold! to learn: teach [obj] you statute: decree and justice: judgement like/as as which to command me LORD God my to/for to make: do so in/on/with entrails: among [the] land: country/planet which you(m. p.) to come (in): come there [to] to/for to possess: take her
6 Zishikeni kwa uangalifu, kwa kuwa hii itaonyesha hekima na ufahamu wenu kwa mataifa, ambayo yatasikia kuhusu amri zote hizi, nao watasema, “Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na ufahamu.”
and to keep: obey and to make: do for he/she/it wisdom your and understanding your to/for eye: seeing [the] people which to hear: hear [emph?] [obj] all [the] statute: decree [the] these and to say except people wise and to understand [the] nation [the] great: large [the] this
7 Ni taifa gani jingine lililo kubwa kiasi cha kuwa na miungu yao iliyo karibu nao kama Bwana Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomwomba?
for who? nation great: large which to/for him God near to(wards) him like/as LORD God our in/on/with all to call: call to we to(wards) him
8 Nalo ni taifa gani jingine lililo kubwa hivi lenye kuwa na amri na sheria za haki kama hizi ninazoweka mbele yenu leo?
and who? nation great: large which to/for him statute: decree and justice: judgement righteous like/as all [the] instruction [the] this which I to give: put to/for face: before your [the] day
9 Mwe waangalifu, na makini ili msije mkasahau mambo ambayo mliyaona kwa macho yenu, wala kuyaacha yaondoke moyoni mwenu siku zote za uhai wenu. Mwafundishe hayo watoto wenu na watoto wao baada yao.
except to keep: careful to/for you and to keep: obey soul your much lest to forget [obj] [the] word: thing which to see: see eye your and lest to turn aside: depart from heart your all day life your and to know them to/for son: child your and to/for son: child son: child your
10 Kumbuka siku uliyosimama mbele za Bwana Mungu wako kule Horebu, wakati aliponiambia, “Wakutanishe watu mbele yangu wasikie maneno yangu ili kwamba waweze kujifunza kuniheshimu kwa muda wote watakaoishi katika nchi, nao waweze kuwafundisha watoto wao maneno hayo.”
day which to stand: stand to/for face: before LORD God your in/on/with Horeb in/on/with to say LORD to(wards) me to gather to/for me [obj] [the] people and to hear: hear them [obj] word my which to learn: learn [emph?] to/for to fear: revere [obj] me all [the] day which they(masc.) alive upon [the] land: planet and [obj] son: child their to learn: teach [emph?]
11 Mlisogea karibu na mkasimama chini ya mlima wakati ulipowaka moto mpaka mbinguni juu, pamoja na mawingu meusi na giza nene.
and to present: come [emph?] and to stand: stand [emph?] underneath: under [the] mountain: mount and [the] mountain: mount to burn: burn in/on/with fire till heart [the] heaven darkness cloud and cloud
12 Ndipo Bwana alipozungumza nanyi kutoka moto. Mkasikia sauti ya maneno lakini hamkuona umbo, kulikuwa na sauti tu.
and to speak: speak LORD to(wards) you from midst [the] fire voice: sound word you(m. p.) to hear: hear and likeness nothing you to see: see exception voice
13 Aliwatangazia Agano lake na Amri Kumi, ambazo aliwaamuru mzifuate, kisha akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe.
and to tell to/for you [obj] covenant his which to command [obj] you to/for to make: do ten [the] word and to write them upon two tablet stone
14 Naye Bwana alinielekeza wakati huo kuwafundisha ninyi sheria na amri ambazo mnapaswa kuzifuata katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.
and [obj] me to command LORD in/on/with time [the] he/she/it to/for to learn: teach [obj] you statute: decree and justice: judgement to/for to make: do you [obj] them in/on/with land: country/planet which you(m. p.) to pass there [to] to/for to possess: take her
15 Hamkuona umbo la aina yoyote siku ambayo Bwana alizungumza nanyi kule Horebu kutoka kwenye moto. Kwa hiyo mjihadhari kwa uangalifu sana,
and to keep: guard much to/for soul: myself your for not to see: see all likeness in/on/with day to speak: speak LORD to(wards) you in/on/with Horeb from midst [the] fire
16 ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke,
lest to ruin [emph?] and to make to/for you idol likeness all idol pattern male or female
17 au kama mnyama aliye juu ya nchi au ndege yeyote arukaye angani,
pattern all animal which in/on/with land: country/planet pattern all bird wing which to fly in/on/with heaven
18 au kama kiumbe kitambaacho juu ya ardhi au samaki yeyote aliye ndani ya maji.
pattern all to creep in/on/with land: soil pattern all fish which in/on/with water from underneath: under to/for land: country/planet
19 Na utazamapo juu angani na ukaliona jua, mwezi na nyota na vyote vinavyoipamba mbingu, usije ukashawishiwa kuviinamia na kuviabudu vile ambavyo Bwana Mungu wenu alivyogawia mataifa yote chini ya mbingu.
and lest to lift: raise eye your [the] heaven [to] and to see: see [obj] [the] sun and [obj] [the] moon and [obj] [the] star all army [the] heaven and to banish and to bow to/for them and to serve: minister them which to divide LORD God your [obj] them to/for all [the] people underneath: under all [the] heaven
20 Lakini kwenu ninyi, Bwana amewatoa kutoka kwenye tanuru ya kuyeyushia chuma, katika Misri kuwa watu wa urithi wake kama mlivyo sasa.
and [obj] you to take: take LORD and to come out: send [obj] you from furnace [the] iron from Egypt to/for to be to/for him to/for people inheritance like/as day: today [the] this
21 Bwana alinikasirikia kwa sababu yenu na akaapa kwamba sitavuka Yordani kuingia katika nchi nzuri Bwana Mungu wenu anayowapa kuwa urithi wenu.
and LORD be angry in/on/with me upon word: because your and to swear to/for lest to pass I [obj] [the] Jordan and to/for lest to come (in): come to(wards) [the] land: country/planet [the] pleasant which LORD God your to give: give to/for you inheritance
22 Nitakufa katika nchi hii; sitavuka Yordani, lakini ninyi ni karibu mvuke mkaimiliki ile nchi nzuri.
for I to die in/on/with land: country/planet [the] this nothing I to pass [obj] [the] Jordan and you(m. p.) to pass and to possess: take [obj] [the] land: country/planet [the] pleasant [the] this
23 Jihadharini msilisahau Agano la Bwana Mungu wenu lile alilofanya nanyi; msijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote ambacho Bwana Mungu wenu amewakataza.
to keep: careful to/for you lest to forget [obj] covenant LORD God your which to cut: make(covenant) with you and to make to/for you idol likeness all which to command you LORD God your
24 Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ni moto ulao, Mungu mwenye wivu.
for LORD God your fire to eat he/she/it God jealous
25 Baada ya kuwa na watoto na wajukuu na kuishi katika nchi hiyo siku nyingi, tena kama mkijichafua na kutengeneza sanamu ya aina yoyote, mkifanya maovu machoni pa Bwana Mungu wenu na kumfanya awe na hasira,
for to beget son: child and son: child son: child and to sleep in/on/with land: country/planet and to ruin and to make idol likeness all and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD God your to/for to provoke him
26 ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yenu siku hii kwamba mtaangamia mara moja kutoka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki. Hamtaishi kule kwa muda mrefu bali kwa hakika mtaangamizwa.
to testify in/on/with you [the] day: today [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet for to perish to perish [emph?] quickly from upon [the] land: country/planet which you(m. p.) to pass [obj] [the] Jordan there [to] to/for to possess: take her not to prolong [emph?] day: today upon her for to destroy to destroy [emph?]
27 Bwana atawatawanya miongoni mwa mataifa, na ni wachache wenu tu watakaosalia miongoni mwa mataifa hayo ambayo Bwana atawafukuzia.
and to scatter LORD [obj] you in/on/with people and to remain man number in/on/with nation which to lead LORD [obj] you there [to]
28 Huko mtaabudu miungu ya miti na mawe iliyotengenezwa na watu, ambayo haiwezi kuona au kusikia wala kula au kunusa.
and to serve: minister there God deed: work hand man tree: wood and stone which not to see: see [emph?] and not to hear: hear [emph?] and not to eat [emph?] and not to smell [emph?]
29 Lakini kama mtamtafuta Bwana Mungu wenu, mtampata; kama mtamtafuta kwa moyo wenu wote na kwa roho yote.
and to seek from there [obj] LORD God your and to find for to seek him in/on/with all heart your and in/on/with all soul your
30 Wakati mnapokuwa katika dhiki, nayo mambo haya yote yamewatokea siku hizo, ndipo mtamrudia Bwana Mungu wenu na kumtii.
in/on/with distress to/for you and to find you all [the] word: thing [the] these in/on/with end [the] day and to return: return till LORD God your and to hear: obey in/on/with voice his
31 Kwa maana Bwana Mungu wenu ni Mungu mwenye huruma, hatawaacha au kuwaangamiza wala kusahau Agano alilofanya na baba zenu, alilowathibitishia kwa kiapo.
for God compassionate LORD God your not to slacken you and not to ruin you and not to forget [obj] covenant father your which to swear to/for them
32 Sasa uliza kuhusu siku za zamani, zamani kabla ya wakati wako, tangu siku ile Mungu alipomuumba mtu juu ya nchi, uliza kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu. Je, kumepata kutokea jambo jingine lililo kubwa kama hili, au kuna jambo jingine kama hilo limepata kusikiwa?
for to ask please to/for day first: previous which to be to/for face: before your to/for from [the] day which to create God man upon [the] land: country/planet and to/for from end [the] heaven and till end [the] heaven to be like/as Chronicles [the] great: large [the] this or to hear: hear like him
33 Je, kuna watu wengine wowote waliosikia sauti ya Mungu ikizungumza kwenye moto, kama mlivyosikia, nao wakaishi?
to hear: hear people voice God to speak: speak from midst [the] fire like/as as which to hear: hear you(m. s.) and to live
34 Je, kuna mungu yeyote amepata kujaribu mwenyewe kuchukua taifa moja kutoka taifa lingine, kwa mapigo, kwa ishara za miujiza na maajabu, kwa vita, kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa au kwa matendo makuu ya kutisha, kama yale ambayo Bwana Mungu wenu aliyofanya kwa ajili yenu huko Misri mbele ya macho yenu?
or to test: try God to/for to come (in): come to/for to take: take to/for him nation from entrails: among nation in/on/with trial in/on/with sign: miraculous and in/on/with wonder and in/on/with battle and in/on/with hand: power strong and in/on/with arm to stretch and in/on/with fear great: large like/as all which to make: do to/for you LORD God your in/on/with Egypt to/for eye: before(the eyes) your
35 Mlionyeshwa mambo haya ili mpate kujua kuwa Bwana ndiye Mungu; hakuna mwingine ila yeye.
you(m. s.) to see: see to/for to know for LORD he/she/it [the] God nothing still from to/for alone: besides him
36 Kutoka mbinguni amewasikizisha sauti yake ili kuwaadilisha. Hapa duniani aliwaonyesha moto wake mkubwa, nanyi mlisikia maneno yake kutoka kwenye ule moto.
from [the] heaven to hear: hear you [obj] voice his to/for to discipline you and upon [the] land: country/planet to see: see you [obj] fire his [the] great: large and word his to hear: hear from midst [the] fire
37 Kwa sababu aliwapenda baba zenu na alichagua wazao wao baada yao, aliwatoa katika nchi ya Misri kwa Uwepo wake na kwa uwezo wake mkuu,
and underneath: because of for to love: lover [obj] father your and to choose in/on/with seed: children his after him and to come out: send you in/on/with face his in/on/with strength his [the] great: large from Egypt
38 aliwafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi na kuwaleta ninyi katika nchi yao na akawapa ninyi kuwa urithi wenu, kama ilivyo leo.
to/for to possess: take nation great: large and mighty from you from face: before your to/for to come (in): bring you to/for to give: give to/for you [obj] land: country/planet their inheritance like/as day: today [the] this
39 Kubalini na mweke moyoni leo kuwa Bwana ndiye Mungu mbinguni juu na duniani chini. Hakuna mwingine.
and to know [the] day and to return: recall to(wards) heart your for LORD he/she/it [the] God in/on/with heaven from above and upon [the] land: country/planet from underneath: under nothing still
40 Mshike amri na maagizo yake ninayowapa leo, ili mpate kufanikiwa ninyi na watoto wenu baada yenu, na mpate kuishi maisha marefu katika nchi awapayo Bwana Mungu wenu siku zote.
and to keep: obey [obj] statute: decree his and [obj] commandment his which I to command you [the] day which be good to/for you and to/for son: child your after you and because to prolong day upon ([the] land: soil *L(abh)*) which LORD God your to give: give to/for you all [the] day
41 Kisha Mose akatenga miji mitatu mashariki ya Yordani,
then to separate Moses three city in/on/with side: beyond [the] Jordan east [to] sun
42 ambayo mtu yeyote aliyemuua mtu angeweza kukimbilia ikiwa amemuua jirani yake bila kukusudia na bila kuwa na chuki naye siku zilizopita. Angeweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.
to/for to flee there [to] to murder which to murder [obj] neighbor his in/on/with without knowledge and he/she/it not to hate to/for him from yesterday three days ago and to flee to(wards) one from [the] city [the] these and to live
43 Miji hiyo ilikuwa: Bezeri katika tambarare ya jangwa kwa ajili ya Wareubeni; Ramothi katika nchi ya Gileadi kwa ajili ya Wagadi; nao mji wa Golani katika nchi ya Bashani kwa ajili ya Wamanase.
[obj] Bezer in/on/with wilderness in/on/with land: country/planet [the] plain to/for Reubenite and [obj] Ramoth in/on/with Gilead to/for Gad and [obj] Golan in/on/with Bashan to/for Manassite
44 Hii ndiyo sheria Mose aliyoweka mbele ya Waisraeli.
and this [the] instruction which to set: make Moses to/for face: before son: descendant/people Israel
45 Haya ndiyo masharti, amri na sheria Mose aliyowapa wana wa Israeli wakati walitoka Misri,
these [the] testimony and [the] statute: decree and [the] justice: judgement which to speak: speak Moses to(wards) son: descendant/people Israel in/on/with to come out: come they from Egypt
46 nao walikuwa katika bonde karibu na Beth-Peori mashariki ya Yordani, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, naye alishindwa na Mose na Waisraeli walipokuja toka Misri.
in/on/with side: beyond [the] Jordan in/on/with valley opposite Beth-peor Beth-peor in/on/with land: country/planet Sihon king [the] Amorite which to dwell in/on/with Heshbon which to smite Moses and son: descendant/people Israel in/on/with to come out: come they from Egypt
47 Waliimiliki nchi yake na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, wafalme wawili Waamori waliotawala mashariki ya Yordani.
and to possess: take [obj] land: country/planet his and [obj] land: country/planet Og king [the] Bashan two king [the] Amorite which in/on/with side: beyond [the] Jordan east sun
48 Nchi hii ilienea kutoka Aroeri ukingoni mwa Bonde la Arnoni mpaka Mlima Sioni (yaani Hermoni),
from Aroer which upon lip: edge torrent: valley Arnon and till mountain: mount (Mount) Sirion he/she/it (Mount) Hermon
49 pamoja na eneo lote la Araba mashariki ya Yordani, na kuenea mpaka Bahari ya Araba kwenye miteremko ya Pisga.
and all [the] Arabah side: beside [the] Jordan east [to] and till sea [the] Arabah underneath: under Slopes (of Pisgah) [the] Pisgah

< Torati 4 >