< Torati 34 >

1 Kisha Mose akaupanda mlima Nebo kutoka tambarare za Moabu mpaka kilele cha Pisga, ngʼambo ya Yeriko. Huko Bwana akamwonyesha nchi yote: kutoka Gileadi mpaka Dani,
آنگاه موسی از دشتهای موآب به قلهٔ پیسگاه در کوه نبو، که در مقابل اریحاست رفت و خداوند تمامی سرزمین موعود را به او نشان داد: از جلعاد تا دان،
2 Naftali yote, nchi ya Efraimu na Manase, nchi yote ya Yuda mpaka bahari ya magharibi,
تمام زمین قبیلهٔ نفتالی، زمینهای قبایل افرایم و منسی، زمین قبیلهٔ یهودا تا دریای مدیترانه،
3 Negebu na nchi yote kuanzia Bonde la Yeriko, Mji wa Mitende, hadi Soari.
صحرای نگب و تمام ناحیهٔ درهٔ اریحا (شهر نخلستان) تا صوغر.
4 Kisha Bwana akamwambia, “Hii ndiyo nchi niliyomwahidi Abrahamu na Isaki na Yakobo kwa kiapo niliposema, ‘Nitawapa wazao wako.’ Nimekuruhusu uione kwa macho yako, lakini hutavuka kuingia.”
خداوند به موسی فرمود: «این است سرزمینی که من با سوگند به ابراهیم و اسحاق و یعقوب وعده دادم که به فرزندانشان بدهم. اکنون به تو اجازه دادم آن را ببینی، ولی پایت را در آنجا نخواهی گذاشت.»
5 Naye Mose mtumishi wa Bwana akafa huko Moabu, kama Bwana alivyokuwa amesema.
بنابراین موسی، خدمتگزار خداوند، چنانکه خداوند گفته بود در سرزمین موآب درگذشت.
6 Mungu akamzika huko Moabu, katika bonde mkabala na Beth-Peori, lakini hakuna ajuaye kaburi lake lilipo mpaka leo.
خداوند او را در دره‌ای نزدیک بیت‌فغور در سرزمین موآب دفن نمود، ولی تا به امروز هیچ‌کس مکان دفن او را نمی‌داند.
7 Mose alikuwa na umri wa miaka mia moja na ishirini alipofariki; hata hivyo nguvu ya macho yake haikufifia wala mwili wake haukudhoofika.
موسی هنگام مرگ صد و بیست سال داشت، با وجود این هنوز نیرومند بود و چشمانش به خوبی می‌دید.
8 Waisraeli wakaomboleza kwa ajili ya Mose kwenye tambarare za Moabu kwa siku thelathini, mpaka wakati wa kulia na kuomboleza ulipopita.
قوم اسرائیل سی روز در دشتهای موآب برای او عزاداری کردند.
9 Basi Yoshua mwana wa Nuni alijazwa roho ya hekima kwa sababu Mose alikuwa ameweka mikono yake juu yake. Kwa hiyo Waisraeli wakamsikiliza na wakafanya yale ambayo Bwana alikuwa amemwagiza Mose.
یوشع (پسر نون) پر از روح حکمت بود، زیرا موسی دستهای خود را بر او نهاده بود. بنابراین مردم اسرائیل از او اطاعت می‌کردند و دستورهایی را که خداوند به موسی داده بود پیروی می‌نمودند.
10 Tangu wakati huo, katika Israeli hajainuka nabii mwingine kama Mose, ambaye Bwana alimjua uso kwa uso,
در اسرائیل پیامبری مانند موسی نبوده است که خداوند با او رو در رو صحبت کرده باشد.
11 aliyetenda ishara zote zile za miujiza na maajabu ambayo Bwana alimtuma kuyatenda huko Misri, yaani kwa Farao na maafisa wake wote na nchi yake yote.
موسی به فرمان خداوند، معجزات عظیمی در حضور فرعون مصر، درباریانش و تمام قوم او انجام داد.
12 Kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyewahi kuonyesha nguvu nyingi ama kutenda matendo ya kutisha ambayo Mose aliwahi kuyafanya mbele ya Israeli yote.
هیچ‌کس تا به حال نتوانسته است قدرت و معجزات شگفت‌انگیزی را که موسی در حضور قوم اسرائیل نشان داد، ظاهر سازد.

< Torati 34 >