< Torati 33 >
1 Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.
A to jest błogosławieństwo, którym Mojżesz, mąż Boży, pobłogosławił synów Izraela przed swoją śmiercią.
2 Alisema: “Bwana alikuja kutoka Mlima Sinai, akachomoza kama jua juu yao kutoka Mlima Seiri, akaangaza kutoka Mlima Parani. Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu kutoka kusini, kutoka materemko ya mlima wake.
Powiedział: PAN przyszedł z Synaju i z Seiru wzeszedł dla nich, zajaśniał z góry Paran i przyszedł z dziesięcioma tysiącami świętych; z jego prawicy [wyszło] dla nich ogniste prawo.
3 Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu, watakatifu wako wote wamo mkononi mwako. Miguuni pako wote wanasujudu na kutoka kwako wanapokea mafundisho,
Doprawdy, on umiłował lud; wszyscy jego święci są w twych rękach i oni usiedli u twoich stóp; przyjmują twoje słowa.
4 sheria ile Mose aliyotupa sisi, tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.
Mojżesz dał nam prawo, dziedzictwo zgromadzenia Jakuba.
5 Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni wakati viongozi wa watu walipokusanyika, pamoja na makabila ya Israeli.
I był królem w Jeszurunie, gdy się zebrali naczelnicy ludu wraz z pokoleniami Izraela.
6 “Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
Niech żyje Ruben i niech nie umiera; niech jego mężczyzn będzie dużo.
7 Akasema hili kuhusu Yuda: “Ee Bwana, sikia kilio cha Yuda, mlete kwa watu wake. Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea. Naam, uwe msaada wake dhidi ya adui zake!”
Potem też dał [błogosławieństwo] dla Judy i powiedział: Wysłuchaj, PANIE, głosu Judy, i przyprowadź go do jego ludu. Niech starczy mu [sił] jego rąk, a [ty] bądź mu pomocą przeciw jego wrogom.
8 Kuhusu Lawi alisema: “Thumimu yako na Urimu yako ulimpa, mtu yule uliyemfadhili. Ulimjaribu huko Masa na kushindana naye kwenye maji ya Meriba.
A o Lewim powiedział: [Niech] twoje Tummim i Urim [będą] przy twoim świętym, którego doświadczyłeś w Massa, z którym spierałeś się u wód Meriba;
9 Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake, ‘Mimi siwahitaji kamwe.’ Akawasahau jamaa zake, asiwatambue hata watoto wake, lakini akaliangalia neno lako na kulilinda Agano lako.
Który powiedział swemu ojcu i matce: Nie widziałem go; nie znał też swych braci ani nie znał swych synów. Oni bowiem przestrzegają twoich słów i zachowują twoje przymierze.
10 Humfundisha Yakobo mausia yako na Israeli sheria yako. Hufukiza uvumba mbele zako na sadaka nzima za kuteketezwa juu ya madhabahu yako.
Będą uczyć Jakuba twoich sądów, a Izraela twego prawa. Będą kłaść kadzidło przed tobą i całopalenia na twoim ołtarzu.
11 Ee Bwana, bariki ustadi wake wote, nawe upendezwe na kazi ya mikono yake. Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake; wapige adui zake hata wasiinuke tena.”
Błogosław, PANIE, jego siłę, i przyjmij dzieło jego rąk; skrusz biodra jego wrogów i tych, którzy go nienawidzą, aby już nie powstali.
12 Kuhusu Benyamini akasema: “Mwache mpenzi wa Bwana apumzike salama kwake, kwa maana humkinga mchana kutwa, na yule Bwana ampendaye hupumzika kati ya mabega yake.”
[A] o Beniaminie powiedział: Umiłowany przez PANA będzie mieszkał przy nim bezpiecznie; [PAN] będzie go bronił każdego dnia, a on będzie przebywał między jego ramionami.
13 Kuhusu Yosefu akasema: “Bwana na aibariki nchi yake kwa umande wa thamani kutoka mbinguni juu, na vilindi vya maji vilivyotulia chini;
O Józefie powiedział: Niech jego ziemia będzie błogosławiona przez PANA, z najlepszych rzeczy niebios, z rosy i z otchłani rozłożonej pod ziemią.
14 pamoja na vitu vilivyo bora sana viletwavyo na jua, na vitu vizuri sana vinavyoweza kutolewa na mwezi;
I z najcenniejszych plonów słońca, z najcenniejszych plonów księżyca;
15 pamoja na zawadi bora sana za milima ya zamani na kwa wingi wa baraka za vilima vya milele;
I z najlepszych skarbów gór starożytnych, z najlepszych darów odwiecznych pagórków;
16 pamoja na baraka nzuri mno za ardhi na ukamilifu wake, na upendeleo wake yeye aliyeishi kwenye kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu, juu ya paji la uso la aliye mkuu miongoni mwa ndugu zake.
I z najcenniejszych [owoców] ziemi i jej obfitości oraz z przychylności tego, który przebywał w krzaku. Niech to [błogosławieństwo] spłynie na głowę Józefa i na czubek głowy tego, który został oddzielony od swoich braci.
17 Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza; pembe zake ni pembe za nyati, na kwa pembe hizo atapiga mataifa, hata yaliyo miisho ya dunia. Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu; hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”
Jego chwała jest [jak] pierworodny wół, a jego rogi jak rogi jednorożca. Nimi będzie bódł wszystkie narody aż po krańce ziemi; a są to dziesiątki tysięcy Efraima i tysiące Manassesa.
18 Kuhusu Zabuloni akasema: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje, nawe Isakari, katika mahema yako.
A o Zebulonie powiedział: Wesel się, Zebulonie, gdy wyruszasz, a [ty], Issacharze, w swoich namiotach.
19 Watawaita mataifa kwenye mlima, na huko mtatoa dhabihu za haki; watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari, kwa hazina zilizofichwa mchangani.”
Zwołują ludy na górę, tam będą składać ofiary sprawiedliwości. Będą bowiem ssać z obfitości morza i ze skarbów ukrytych w piasku.
20 Kuhusu Gadi akasema: “Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi! Gadi huishi huko kama simba, akirarua kwenye mkono au kichwa.
A o Gadzie powiedział: Błogosławiony ten, kto rozprzestrzeni Gada. Będzie mieszkać jak lew, a urwie ramię i głowę.
21 Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote kwa ajili yake mwenyewe; fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa kwa ajili yake. Viongozi wa watu walipokusanyika, alitimiza haki ya mapenzi ya Bwana, na hukumu zake kuhusu Israeli.”
Upatrzył sobie najlepszą [część], gdyż tam został mu wyznaczony dział przez prawodawcę; przyszedł z naczelnikami ludu i wykonał sprawiedliwość PANA i jego sądy z Izraelem.
22 Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
A o Danie powiedział: Dan [to] szczenię lwie, wyskoczy z Baszanu.
23 Kuhusu Naftali akasema: “Naftali amejaa tele upendeleo wa Bwana, naye amejaa baraka yake; atarithi magharibi na kusini.”
A o Neftalim powiedział: Neftali, nasycony przychylnością i pełen błogosławieństwa PANA, posiądź zachód i południe.
24 Kuhusu Asheri akasema: “Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri; yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake, yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.
A o Aszerze powiedział: Aszer będzie błogosławiony dziećmi, niech się podoba swoim braciom i niech kąpie swoje nogi w oliwie.
25 Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba, nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.
Twoje obuwie będzie z żelaza i miedzi; a ile twoich dni, [taka będzie] twoja siła.
26 “Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni, ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie, na juu ya mawingu katika utukufu wake.
Nikt nie jest jak Bóg Jeszuruna, który jeździ po niebie, by tobie pomóc, i po obłokach w swym majestacie.
27 Mungu wa milele ni kimbilio lako, na chini kuna mikono ya milele. Atamfukuza adui yako mbele yako, akisema, ‘Mwangamize yeye!’
Twoim schronieniem jest wieczny Bóg, a pod tobą [są] wieczne ramiona. On wypędzi przed tobą wroga i powie: Wyniszcz [go].
28 Hivyo Israeli ataishi salama peke yake. Mzao wa Yakobo ni salama katika nchi ya nafaka na divai mpya, mahali ambapo mbingu hudondosha umande.
Wtedy Izrael będzie mieszkać bezpiecznie sam. Źródło Jakuba – w ziemi zboża i wina, a niebiosa spuszczą rosę.
29 Ee Israeli, wewe umebarikiwa! Ni nani kama wewe, taifa lililookolewa na Bwana? Yeye ni ngao yako na msaada wako, na upanga wako uliotukuka. Adui zako watatetemeka mbele yako, nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.”
Błogosławiony jesteś, Izraelu! Któż do ciebie podobny, ludu zbawiony przez PANA, który jest tarczą twego ratunku i mieczem twego dostojeństwa! Twoi wrogowie poddadzą się tobie obłudnie, a ty zdepczesz ich wyniosłość.