< Torati 33 >

1 Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.
Mousese, Gode Ea fa: no bobogesu dunu, ea bogomu gadeneloba, da Isala: ili fi huluane amo hahawane dogolegele fidisu ba: ma: ne sia: i, amane,
2 Alisema: “Bwana alikuja kutoka Mlima Sinai, akachomoza kama jua juu yao kutoka Mlima Seiri, akaangaza kutoka Mlima Parani. Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu kutoka kusini, kutoka materemko ya mlima wake.
“Hina Gode da Sainai Goumi amoga misi. E da eso mabe agoai Idome sogega heda: i. E da Balane Goumia Ea fi dunuma Ea hadigi olelei. A: igele dunu 10,000agoane da E sigi misi. Ilia da Ea lobodafa dafulili lalu bagade agoane ba: i.
3 Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu, watakatifu wako wote wamo mkononi mwako. Miguuni pako wote wanasujudu na kutoka kwako wanapokea mafundisho,
Hina Gode da Ea fi dunuma asigisa. E da Ema fa: no bobogesu dunu gaga: lala. Amaiba: le, ninia da Ea emoga begudusa amola Ea hamoma: ne sia: i amoma fa: no bobogesa.
4 sheria ile Mose aliyotupa sisi, tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.
Ninia da Sema amo Mousese da ninima i, amoma fa: no bobogesa. Amoma ninia nodosa amola amo da ninia gagui liligi huluane bagadewane baligisa.
5 Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni wakati viongozi wa watu walipokusanyika, pamoja na makabila ya Israeli.
Isala: ili fi dunu ilia amola ilia ouligisu dunu da gilisibiba: le, ilia da Hina Gode ilima Hina Bagade hamoi.”
6 “Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
Mousese daLiubenefi ilia hou amane olelei, “Liubene fi dunu da bagahame esala. Be ilia da hamedafa bogomu da defea.”
7 Akasema hili kuhusu Yuda: “Ee Bwana, sikia kilio cha Yuda, mlete kwa watu wake. Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea. Naam, uwe msaada wake dhidi ya adui zake!”
E daYudafi ilia hou amane olelei, “Hina Gode! Ilia Di fidimusa: webeba: le, nabima! Dia ili eno Isala: ili fi ilima bu gilisima! Hina Gode, ilima ha lai da ilima hasalasisa: besa: le, ilia gegesu fidima!
8 Kuhusu Lawi alisema: “Thumimu yako na Urimu yako ulimpa, mtu yule uliyemfadhili. Ulimjaribu huko Masa na kushindana naye kwenye maji ya Meriba.
E daLifaifi ilia hou amane olelei, “Hina Gode! Dia noga: i hawa: hamosu dunu, amo Lifai fi da Dia hanai ninima olelesa. Ilia Iulimi amola Damini ba: sea, olelesa. Di da Masa hano amoga ilia hou adole ba: su amola Meliba hano amoga ilia dafawaneyale dawa: su hou ba: i dagoi.
9 Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake, ‘Mimi siwahitaji kamwe.’ Akawasahau jamaa zake, asiwatambue hata watoto wake, lakini akaliangalia neno lako na kulilinda Agano lako.
Ilia Dima asigi hou da ilia eda, ame, olalali amola manolali ilima asigi hou baligi. Ilia da Dia sia: i amo nabawane hamoi amola Dia gousa: su hame yolesi.
10 Humfundisha Yakobo mausia yako na Israeli sheria yako. Hufukiza uvumba mbele zako na sadaka nzima za kuteketezwa juu ya madhabahu yako.
Ilia da Dia fi Dia sema amoma fa: no bobogema: ne olelemu. Ilia da Dia oloda da: iya gobele salasu hamomu.
11 Ee Bwana, bariki ustadi wake wote, nawe upendezwe na kazi ya mikono yake. Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake; wapige adui zake hata wasiinuke tena.”
Ilia fi da gasa bagade heda: ma: ne, Di, Hina Gode, fidima. Ilia hou hahawane ba: ma. Ilima ha lai amo bu mae wa: legadoma: ne, gugunufinisima.”
12 Kuhusu Benyamini akasema: “Mwache mpenzi wa Bwana apumzike salama kwake, kwa maana humkinga mchana kutwa, na yule Bwana ampendaye hupumzika kati ya mabega yake.”
E daBediaminifi ilia hou amane olelei, “Amo fi ilima Hina Gode da asigisa amola gaga: sa. E da eso huluane ili ouligisa. E da ilia gilisisu ganodini esalebe.
13 Kuhusu Yosefu akasema: “Bwana na aibariki nchi yake kwa umande wa thamani kutoka mbinguni juu, na vilindi vya maji vilivyotulia chini;
E daYousefefi ilia hou amane olelei, “Hina Gode da Yousefe ea soge amo gibuga hahawane dogolegele fidimu da defea. Amola hano osobo hagudu diala amo ema imunu da defea.
14 pamoja na vitu vilivyo bora sana viletwavyo na jua, na vitu vizuri sana vinavyoweza kutolewa na mwezi;
E da noga: le fidibiba: le, ea fi da ha: i manu fage noga: iwane oubi huluane amoga ba: mu da defea.
15 pamoja na zawadi bora sana za milima ya zamani na kwa wingi wa baraka za vilima vya milele;
Hina Gode da ilia goumi E hemone hamoi, amo ha: i manu fage amoga dedebomu da defea.
16 pamoja na baraka nzuri mno za ardhi na ukamilifu wake, na upendeleo wake yeye aliyeishi kwenye kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu, juu ya paji la uso la aliye mkuu miongoni mwa ndugu zake.
Ilia soge da noga: i liligi amoga nabai ba: mu da defea. Liligi huluane amo Hina Gode musa: ifa fonobahadi laluga nenanu amo ganodini Mousesema sia: i, amo da hahawane dogolegelewane fidibiba: le liligi huluane da noga: i ba: mu. Yousefe da yolalali fi amo ganodini dialuma agoane hamoiba: le, amo hahawane dogolegele fidisu hou da ema doaga: mu da defea.
17 Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza; pembe zake ni pembe za nyati, na kwa pembe hizo atapiga mataifa, hata yaliyo miisho ya dunia. Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu; hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”
Yousefe da magobo bulamagau mano gawali defele gasa bagade gala. E da bulamagau sigua bese (hono) gala. Ea hono da fedege agoane fi ilia dunu osea: i gala-Mana: seamolaIfala: imeilia dunu osea: idafa gala. Amo hono amoga e da fifi asi gala huluane sone, osobo bagade bega: bega: fuli fasisa.”
18 Kuhusu Zabuloni akasema: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje, nawe Isakari, katika mahema yako.
E daSebiulane fi amolaIsagafi ilia hou amane olelei, “Sebiulane da hano wayabo bagadega ahoasea, hahawane ba: mu da defea. Amola Isaga fi dunu da ilia soge ganodini esalea, ilia gagui da hahawane heda: ma: mu.
19 Watawaita mataifa kwenye mlima, na huko mtatoa dhabihu za haki; watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari, kwa hazina zilizofichwa mchangani.”
Ilia da ga fi dunu amo ilia goumi sogega misa: ne sia: sa amola amogawi gobele salasu defele hamosa. Ilia labe huluane ilia hano wayabo bagade bega: amola hano bagade ganodini laha.”
20 Kuhusu Gadi akasema: “Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi! Gadi huishi huko kama simba, akirarua kwenye mkono au kichwa.
E daGa: defi ilia hou amane olelei, “Hina Gode da Ga: de ea soge bagade hamoiba: le, Ema nodomu da defea. Ga: de da gasonasu laione wa: me agoane dunu eno ilia lobo o dialuma amo gasona.
21 Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote kwa ajili yake mwenyewe; fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa kwa ajili yake. Viongozi wa watu walipokusanyika, alitimiza haki ya mapenzi ya Bwana, na hukumu zake kuhusu Israeli.”
Ga: de fi da soge baligili noga: i amo ilisu fima: ne ilegei. Na da ouligisu dunu ea sogebi defele ema i dagoi. Isala: ili fi ouligisu dunu da gilisisia, Ga: de fi dunu da Hina Gode Ea sia: amola Ea sema amoma noga: le fa: no bobogei.”
22 Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
E daDa: nefi ilia hou agoane olelei, “Da: ne da laione wa: me mano agoane. E da Ba: isia: ne sogega soagala: sa.”
23 Kuhusu Naftali akasema: “Naftali amejaa tele upendeleo wa Bwana, naye amejaa baraka yake; atarithi magharibi na kusini.”
E daNa: fadalaifi ilia hou amane olelei, “Na: fadalai da Hina Gode Ea hahawane dogolegele fidisu hou bagadewane ba: sa. Ilia soge da Ga: lili Hano Wayabo amoga ga (south) amodili ahoa.”
24 Kuhusu Asheri akasema: “Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri; yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake, yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.
E daA: siefi ilia hou amane olelei, “A: sie ilima hahawane dogolegele fidisu hou da eno fi ilima hahawane dogolegele fidisu hou baligisa. Yolalali da ema asigimu da defea amola ea soge amo ganodini olife ifa bagohame ba: mu da defea.
25 Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba, nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.
Ea moilai amo da ouli logo ga: suga gaga: mu da defea amola e da amo moilai ganodini olofoiwane hahawane esalumu da defea.”
26 “Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni, ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie, na juu ya mawingu katika utukufu wake.
Isala: ili dunu! Dilia Gode da eno ‘gode’ liligi bagadewane baligisa. E da hadigiwane, mu amoga fila heda: le, mumobi amoga fila heda: le dili fidima: ne maha.
27 Mungu wa milele ni kimbilio lako, na chini kuna mikono ya milele. Atamfukuza adui yako mbele yako, akisema, ‘Mwangamize yeye!’
Eso huluane Esalalalumu Gode da dilia Gaga: su. Ea eso huluane esalalalumu lobo da dili gaguiba: le, hame yolesimu. Dilia da gusuba: i ahoasea, Hi da dilima ha lai amo sefasi. E da dili amo dunu huluane gugunufinisima: ne sia: i.
28 Hivyo Israeli ataishi salama peke yake. Mzao wa Yakobo ni salama katika nchi ya nafaka na divai mpya, mahali ambapo mbingu hudondosha umande.
Amaiba: le, Ya: igobe egaga fi da soge amo gagoma amola waini amoga nabai gala amola gibuga noga: le hahamoi amo ganodini olofoiwane esalumu.
29 Ee Israeli, wewe umebarikiwa! Ni nani kama wewe, taifa lililookolewa na Bwana? Yeye ni ngao yako na msaada wako, na upanga wako uliotukuka. Adui zako watatetemeka mbele yako, nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.”
Isala: ili fi! Dilia da hahawane bagade. Hina Gode da dili gaga: i dagoiba: le, dunu fi dili defele da hame gala. Hina Gode Hisu da dilia gaga: su liligi amola dilia gegesu gobihei. Hisu da dili gaga: mu amola dilia ha lai dunuma gegebeba: le, dilia da ili hasalimu. Dilima ha lai dunu da dilima, ‘Ninima asigima!’ sia: na misunu amola dilia da ili osa: gili banenesimu.

< Torati 33 >