< Torati 32 >

1 Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.
“Osobo bagade amola mu! Na sia: noga: le nabima!
2 Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo.
Na olelesu da gibu dadadi agoane sa: imu amola osobo bagadega oubi baea agoane dialumu. Na sia: da gibu gisia dahabe defele sa: imu. Asaboi gibu da asaboi gisiga daha agoane.
3 Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
Na da Hina Gode Ea Dio amoma nodomu. Amola Ea fi dunu da Ea noga: idafa gasa bagade hou olelemu.
4 Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu, njia zake zote ni haki. Mungu mwaminifu ambaye hakosei, yeye ni mnyofu na mwenye haki.
Hina Gode da dilia gasa bagade Gaga: su Dunu. Ea hou huluane ganodini da noga: idafa amola moloidafa fawane ba: sa. E da yolesimu hame dawa: E da dafawanedafa hou hamosa. E da moloidafa fawane hamosa.
5 Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake; kwa aibu yao, wao si watoto wake tena, lakini ni kizazi kilicho kiovu na kilichopotoka.
Be dilia da moloi hou hame dawa: Dilia amo hou hedolo fisisa. Dilia da wadela: i amola ogogosu bagade dawa: Dilia da Ea fi dunu esalumu defele hame agoai ba: sa.
6 Je, hii ndiyo njia ya kumlipa Bwana, enyi watu wajinga na wasio na busara? Je, yeye siye Baba yenu, Muumba wenu, aliyewafanya ninyi na kuwaumba?
Dilia gagaoui amola asigi dawa: su hame fi! Dilia Hina Godema agoane hamomu da defeala: ? Hame mabu! Bai E da dilia Ada, dili Hahamosu Dunu. Ea hamobeba: le, dilia da fi gasa bagade hamoi.
7 Kumbuka siku za kale; tafakari vizazi vya zamani vilivyopita. Uliza baba yako, naye atakuambia, wazee wako, nao watakueleza.
Musa: hemone eso bu dawa: ma! Musa: hou hamoi amo dilia ada ilima adole ba: ma! Musa: hemonega hou ba: i amo dawa: ma: ne, dilia da: i hamoi dunuma adole ba: ma!
8 Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao, alipogawanya wanadamu wote, aliweka mipaka kwa ajili ya mataifa sawasawa na hesabu ya wana wa Israeli.
Hina Gode Gasa Bagade da fifi asi gala ilia soge olei ilegei dagoi. E da dunu fi esaloma: ne ilia soge ilegei. E da Isala: ili ea mano ilia idi defele amo soge huluane ilegei.
9 Kwa kuwa fungu la Bwana ni watu wake, Yakobo kura yake ya urithi.
Be Ya: igobe egaga fi, E da Ea fidafa hamoma: ne ilegei.
10 Katika nchi ya jangwa alimkuta, katika nyika tupu ivumayo upepo. Alimhifadhi na kumtunza; akamlinda kama mboni ya jicho lake,
E da Ya: igobe ea fi amo hafoga: i amola ha: i manu hame soge amo ganodini hogole ba: i. Amo soge da wadela: idafa, foga fai dagoi. E da amo fi Ea si amoga ouligisu hou defele, ili noga: le gaga: i amola ouligi.
11 kama tai avurugaye kiota chake, na kurukaruka juu ya makinda yake, ambaye hutanda mabawa yake kuwadaka, na huwachukua kwenye mabawa yake.
Buhiba da ea sio bibi dusa: le fasisia amola ea mano gadodili fananea amola ea ougia amo mano da: ma: ne wa: sa, ea mano gaguli ahoa,
12 Bwana peke yake alimwongoza; hakuwepo mungu mgeni pamoja naye.
amo defele Hina Gode Hisu da Ea fi bisili oule asi. Ga fi dunu ilia ogogosu ‘gode’ liligi da ilima hame sigi asi.
13 Akamfanya apande sehemu zilizoinuka za nchi, akamlisha kwa mavuno ya mashamba. Akamlea kwa asali toka mwambani, na kwa mafuta kutoka mwamba mgumu,
E da hamobeba: le, ilia da goumi soge ouligisu amola ilia da soge ha: i manu bugi amo nasu. E da agime hani igi ganodini sali amola olife susuligi igi agologa lai ili moma: ne, ilima i.
14 kwa jibini na maziwa kutoka makundi ya ngʼombe na kutoka makundi ya mbuzi, kwa mafuta ya wana-kondoo na mbuzi, kwa kondoo dume wazuri wa Bashani, na kwa ngano nzuri. Ukanywa damu ya zabibu inayotoa povu.
Ilia bulamagau amola goudi da dodo maga: me bagade iasu. Ilia sibi, goudi amola bulamagau da eno baligili, noga: idafa ba: i. Amola widi amola waini eno baligili, noga: i nasu.
15 Yeshuruni alinenepa na kupiga teke; alikuwa na chakula tele, akawa mzito na akapendeza sana. Akamwacha Mungu aliyemuumba, na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.
Hina Gode Ea fi dunu da bagade gaguiwane ba: i. Be gasa fi amola odoga: su hou da heda: i. Ilia da sefe bagade sadi bagadewane ba: i. Ilia da ili Hahamosu Gode yolesi dagoi. Ilia gasa bagade Gaga: su Gode higale yolesiagai.
16 Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni, na kumkasirisha kwa sanamu zao za machukizo.
Ilia loboga hamoi ‘gode’ ogogosu liligi amoma sia: ne gadosu hou ba: beba: le, Hina Gode da mudale ba: i. E da ilia wadela: i hou ba: beba: le, ougi bagade ba: i.
17 Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu: miungu wasiyoijua, miungu iliyojitokeza siku za karibuni, miungu ambayo baba zenu hawakuiogopa.
Ilia da ogogosu ‘gode’ liligi amoma gobele salasu hou hamosu. Isala: ili dunu da hame nabasu hou hamone, gaheabolo ‘gode’ liligi amo ilia aowalali da hame dawa: i, ilima gobele salasu hou hamosu.
18 Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi; mkamsahau Mungu aliyewazaa.
Be ilia Gode, ilia gasa bagade Gaga: su Gode amo da esalusu ilima i, amo ilia da gogolei.
19 Bwana akaona hili, akawakataa, kwa sababu alikasirishwa na wanawe na binti zake.
Hina Gode da amo hou ba: beba: le, ougi bagade ba: i. E da egefelali amola idiwilali yolesi.
20 Akasema, “Nitawaficha uso wangu, nami nione mwisho wao utakuwa nini, kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka, watoto ambao si waaminifu.
E amane sia: i, “Na da ili bu hame fidimu. Amasea, amo hame nabasu wadela: i hamosu dunu ilima adi hou da doaga: ma: bela: ? Na da ba: mu.
21 Wamenifanya niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu, na kunikasirisha kwa sanamu zao zisizokuwa na thamani. Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si taifa. Nitawafanya wakasirishwe na taifa lile lisilo na ufahamu.
Ilia da loboga hamoi ‘gode’ liligi dawa: beba: le, Na da ougi ba: i. Ilia ogogosu ‘gode’ liligi (amo da ‘gode’ hame) ilima dawa: beba: le, Na da mudale ba: i. Amaiba: le, Na da hamedei fi amo ili ougima: ne amola gagaoui fi ili mudama: ne, amo ilima asunasimu.
22 Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol h7585)
Na ougi da lalu agoane heda: mu. Liligi huluane osobo bagadega diala da amoga nene dagomu. Amo lalu da bogoi sogega doaga: le, goumi ea bai huluane nene dagomu. (Sheol h7585)
23 “Nitalundika majanga juu yao na kutumia mishale yangu dhidi yao.
Na da se nabasu idimu gogolei ilima imunu. Na da Na dadi huluane amoga ili doagala: le gala: mu.
24 Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya, yateketezayo na tauni ya kufisha; nitawapelekea meno makali ya wanyama mwitu, na sumu ya nyoka wale watambaao mavumbini.
Ilia da ha: iba: le amola asugiba: le bogogia: mu. Na da sigua amola gasonasu ohe fi ilima doagala: ma: ne asunasimu. Amola saya: be ilima gasomoma: ne asunasimu.
25 Barabarani upanga utawakosesha watoto; nyumbani mwao hofu itatawala. Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia, pia watoto wachanga na wazee wenye mvi.
Gegesu ganodini ilia da moilai logoga bogomu. Ilia diasu ganodini bagade beda: mu. Ayeligi amola a: fini da bogogia: mu. Mano dubusa amola da: i hamoi dunu da bogogia: mu.
26 Nilisema ningewatawanya na kufuta kumbukumbu lao katika mwanadamu.
Na amo fi huluane, ilia dio bu mae dawa: ma: ne, dafawane gugunufinisi dagoma: ne dawa: i galu.
27 Lakini nilihofia dhihaka za adui, adui asije akashindwa kuelewa, na kusema, ‘Mikono yetu imeshinda; Bwana hakufanya yote haya.’”
Be ilima ha lai ilisu da Na fi gugunufinisimu, amo ilia da dawa: sa: besa: le, Na da huluane hame gugunufinisi. Bai Nisu da Na fi gugunufinisi.’
28 Wao ni taifa lisilo na akili, hakuna busara ndani yao.
Isala: ili da gagaoui fi. Ilia da asigi dawa: su hamedafa gala.
29 Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili, na kutambua mwisho wao utakuwa aje!
Eno dunu fi da ili hasali. Be ilia da amo hou ea bai hame ba: sa. Ilia da hou ilima doaga: i amo ea bai hamedafa dawa:
30 Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja, au wawili kufukuza elfu kumi, kama si kwamba Mwamba wao amewauza, kama si kwamba Bwana amewaacha?
Dunu 1000agoane da abuliba: le dunu afaega hasalila: ? Dunu 10,000 agoane da abuliba: le dunu adunaga fane legebala: ? Bai Hina Gode, ilia Gode, da ili yolesi dagoi. Ilia gasa bagade Gode da ili yolesiagai.
31 Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba wetu, sawasawa na vile adui zetu wanavyokiri.
Ilima ha lai dunu da ilisu ogogosu ‘gode’ liligi da gasa hame amo dawa: be. Ilia da Isala: ili Gode amo Ea gasa bagade defele hame gala.
32 Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma, na kutoka kwenye mashamba ya Gomora. Zabibu zake zimejaa sumu, na vishada vyake vimejaa uchungu.
Ilima ha lai fi da Sodame amola Gomoula fi amo defele, wadela: idafa. Ilia da waini efe amo da gamogai amola medosu waini legesa defele ba: sa.
33 Mvinyo wao ni sumu ya nyoka, sumu yenye kufisha ya swila.
Ilia da waini hano amo saya: be ea medosu defo amoga hamoi defele.
34 “Je, hili sikuliweka akiba na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?
Hina Gode da Isala: ili fi ilima ha lai dunu ilia hou hame gogolesa. E da ilima se iasu ima: ne eso amo doaga: ma: ne ouesala.
35 Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza. Wakati utakapowadia, mguu wao utateleza; siku yao ya maafa ni karibu, na maangamizo yao yanawajia haraka.”
Hina Gode da ilima dabe imunu. E da ilima se imunu. Ilia dafasu eso da doaga: mu. Ilia gugunufinisimu eso da gadenei.
36 Bwana atawahukumu watu wake, na kuwahurumia watumishi wake atakapoona nguvu zao zimekwisha wala hakuna yeyote aliyebaki, mtumwa au aliye huru.
Hina Gode da Ea fi dunu gaga: mu. E da ilisu gasa da dagoi ba: sea amola ilisu da ili fidimu gogoleiba: le, E da ilima gogolema: ne olofosu imunu.
37 Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao, mwamba walioukimbilia,
Amasea, Hina Gode da Ea fi dunuma amane adole ba: mu, “Amo gasa bagade ‘gode’ liligi dilia dafawaneyale dawa: i, amo da habila: ?
38 miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao na kunywa mvinyo wa sadaka zao za vinywaji? Wainuke basi, wawasaidie! Wawapeni basi ulinzi!
Dilia da dilia gobele salasu sefe amo ili moma: ne i, amola ilima waini hano moma: ne olei. Ilia da wali dili fidima: ne hehenaia misunu da defea.
39 “Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye! Hakuna mungu mwingine ila Mimi. Mimi ninaua na Mimi ninafufua, Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya, wala hakuna awezaye kuokoa kutoka mkononi mwangu.
Na fawane da Godedafa. Eno ‘gode’ liligi huluane da ogogosu. Na da medole legesu amola Na da esalusu iaha. Na da fa: gisa amola Na da uhinisisa. Na hawa: hamosu logo enoga hedofamu da hamedei.
40 Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema: Hakika kama niishivyo milele,
41 wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta na mkono wangu unapoushika ili kutoa hukumu, nitalipiza kisasi juu ya adui zangu na kuwalipiza wale wanaonichukia.
Na da Gode Esala. Na da Na lobo amo Hebene amoga ligia gadole amane sia: sa, Na hadigi gobihei Na da debesa. Moloidafa hou Na da hamomu. Na da Nama ha lai dunu dabemu amola Nama higa: i dunu ilima se imunu.
42 Nitailevya mishale yangu kwa damu, wakati upanga wangu ukitafuna nyama: damu ya waliochinjwa pamoja na mateka, vichwa vya viongozi wa adui.”
Na dadi amoga da ilia maga: me bagade dialebeba: le, dadabimu. Amola Na gegesu gobihei bagade da nowa Nama gegesea amo medole legemu. Na da nowama da Nama gegesea, ema hame asigimu. Fa: gi hamoi dunu amola se iasu diasu hamosu dunu huluane da bogogia: mu.’
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake, kwa kuwa atailipiza damu ya watumishi wake, atalipiza kisasi juu ya adui zake na kufanya upatanisho kwa ajili ya nchi na watu wake.
Fifi asi gala huluane! Dilia Hina Gode Ea Fi ilima nodoma: mu. Nowa da ili medole legesea, E da ilima se iaha. E da Ema ha lai dunu amo dabesa. Amola Ea fi dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofosa.”
44 Mose na Yoshua mwana wa Nuni wakaja, wakanena maneno yote ya wimbo watu wakiwa wanasikia.
Mousese amola Yosiua (Nane ea mano) da Isala: ili dunu huluane nabima: ne, amo gesami olelei.
45 Mose alipomaliza kuyasoma maneno haya yote kwa Israeli wote,
Mousese da Gode Ea olelesu amo Isala: ili dunuma olelei dagosea,
46 akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote ambayo nimewatangazia kwa makini siku hii ya leo, ili kwamba mpate kuwaagiza watoto wenu wayatii kwa bidii maneno yote ya sheria hii.
e da amane sia: i, “Hamoma: ne sia: i na da wali eso dilima olelei amo huluane noga: le nabima. Dilia mano da Gode Ea olelesu amo mae fisili, noga: le fa: no bobogema: ne, amo sia: ilima bu olelema.
47 Siyo maneno matupu tu kwenu, bali ni uzima wenu. Kwa hayo mtaishi maisha marefu katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”
Amo olelesu da hamedei liligi hame. Ilia da dilia esalusudafa. Amo noga: le nabasea, dilia da ode bagohame Yodane Hano na: iyado bega: soge dilia gesowale fimu soge, amo ganodini esalumu.
48 Siku hiyo hiyo Bwana akamwambia Mose,
Amo esoha Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
49 “Kwea katika mapangano ya Mlima Abarimu hadi kilima cha Nebo kilichoko Moabu, ngʼambo ya Yeriko, na uitazame Kanaani, nchi ninayowapa Waisraeli kama milki yao wenyewe.
“Di A: balime Goumiga gilisisu (Moua: be soge ganodini, Yeligou moilai bai bagade gadenene) amoga masa. Nibou Goumiba: le heda: le, Ga: ina: ne soge amo Na da Isala: ili dunuma iaha, amo ba: ma.
50 Utafia kwenye mlima huo unaokwea na kukusanyika pamoja na watu wako, kama ndugu yako Aroni alivyofia juu ya Mlima Hori naye akakusanyika kwa watu wake.
Dia ola Elane da Ho Goumia bogoi amo defele di da Nibou Goumia bogomu.
51 Hii ni kwa sababu ninyi wawili mlivunja uaminifu nami mbele ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba-Kadeshi katika Jangwa la Sini, na kwa sababu hamkuuinua utakatifu wangu miongoni mwa Waisraeli.
Bai ali da Isala: ili dunu huluane ba: ma: ne, Na Dio hame gaguia gadoi. Di da Meliba hano (Ga: idesie soge gadenene, wadela: i soge Sine ganodini) amoga esalea, dunu huluane ba: ma: ne Na Dio hame gaguia gadoi.
52 Kwa hiyo, utaiona tu nchi kwa mbali; wewe hutaingia nchi ninayowapa watu wa Israeli.”
Di da sedagawane amo soge ba: mu, be soge amo Na da Isala: ili dunuma iaha, amo ganodini hame masunu,” Hina Gode da amane sia: i.

< Torati 32 >