< Torati 31 >

1 Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote:
Mousese da sia: eno Isala: ili dunu ilima amane sia: i,
2 “Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. Bwana ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’
“Na da lalelegele, wali ode 120amoga doaga: i. Na da dilima bu ouligisu hou hamomu da hamedei. Bai Hina Gode da na Yodane Hano hame degemu amo nama sia: i dagoi.
3 Bwana Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama Bwana alivyosema.
Dilia da amo soge gesowale fima: ne, dilia Hina Gode da dili bisili, dunu fi wali amo soge ganodini esala amo gugunufinisimu. Yosiua da Hina Gode Ea sia: i defele, dilima ouligisu dunu esalumu.
4 Naye Bwana atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao aliwaangamiza pamoja na nchi yao.
Hina Gode da A: moulaide hina bagade aduna amo Saihone amola Oge amo hasali amola ilia soge gugunufinisi. Amo defele, e da amo dunu gugunufinisimu.
5 Bwana atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee yale yote niliyowaamuru.
Hina Gode da fidimuba: le, dilia da amo dunuma hasalimu, amola ilima na olelei hou hamomu.
6 Kuweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa Bwana Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi; kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.”
Mae beba: le, amola mae beda: iwane, amo dunu fane legema. Dilia Gode, Hina Gode Hisu da dili fidila masunu. E da dili hame fisimu, hame yolesimu.
7 Kisha Mose akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile Bwana aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao.
Amalalu, Mousese da Yosiua ema misa: ne sia: ne, Isala: ili dunu huluane nabima: ne ema amane sia: i, “Di gasa bagadewane, mae beda: iwane masa. Di da bisili ahoasu dunu. Di bisili ahoasea, Isala: ili dunu amo soge Hina Gode da ilia aowalali ilima imunu sia: i, amo ganodini oule masa.
8 Bwana mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”
Hina Gode Hi fawane dili bisimusa: masunu. E da dili hamedafa yolesimu. Amaiba: le dia dogo denesi mae fisima amola mae beda: ma.”
9 Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua Sanduku la Agano la Bwana na wazee wote wa Israeli.
Amalalu, Mousese da Gode Ea sema dedene, gobele salasu dunu (Lifai dunu - amo da Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ouligisu dunu) amola Isala: ili ouligisu dunu, ilima i.
10 Kisha Mose akawaamuru, akasema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya Vibanda,
E da ilima amane sia: i, “Ode fesuale huluane gidigisia, Bu Sagosu Ode da doaga: sea, dilia Sogega Fasela Diasuga Lolo Nasu hamosea, amo sema dedei idima.
11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua, utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao.
Isala: ili dunu da dilia Hina Godema Ea ilegei sogebiga Ema nodone sia: ne gadomusa: masea, ilima idili ima.
12 Kusanya watu wote, wanaume, wanawake, watoto na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze kusikia na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii.
Dunu, uda, mano amola ga fi dunu dilia moilai amo ganodini esala, ilia da dilia Hina Godema nodosu dawa: ma: ne amola Ea olelesu noga: le fa: no bobogema: ne, amo huluane gilisima: ne sia: ma.
13 Watoto wao, ambao hawaijui sheria hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu kwa muda mtakaoishi katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”
Amasea, diligaga fi amo da dilia Hina Gode Ea Sema hame nabi, amo da nabimu. Amola nababeba: le, ilia da soge Yodane Hano na: iyado bega: diala amoga dilia da gesowale fimu, ilia amo ganodini esalea, Hina Godema nabasu hou dawa: mu.”
14 Bwana akamwambia Mose, “Sasa siku ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua, mkajihudhurishe katika Hema la Kukutania, mahali nitakapompa maagizo ya kazi.” Kwa hiyo Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye Hema la Kukutania.
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia bogomu da gadenei. Yosiua amo nama misa: ne sia: ma. Da: bena: gele diasuga e oule misa. Bai Na da ema hamoma: ne sia: su gala.” Mousese amola Yosiua da Hina Gode Ea Abula Diasu (Da: bena: gele) amoga asi.
15 Kisha Bwana akatokea katika Hema katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama juu ya ingilio la Hema.
Amola Hina Gode da mu mobi agoai mogomogoi amo ganodini Da: bena: gele ea logo holei dafulili lelu.
16 Kisha Bwana akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini na miungu migeni ya nchi wanayoingia. Wataniacha na kuvunja Agano nililofanya nao.
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia bogomu da gadenei. Amo fa: no, Isala: ili dunu da Na yolesili, Na gousa: su ilima hamoi amo ilia da yolesimu. Ilia da Na yolesili, ogogosu wadela: i ‘gode’ liligi amo dunu ilia da soge ilia da gesowale fimu amo ganodini ilia ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadomu.
17 Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha; nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa. Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao, nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko pamoja nasi?’
Amo hou doaga: sea, Na da ilima ougimu. Na da ili yolesimu amola ilia da gugunufinisi dagoi ba: mu. Ilia da se nabasu bagade ba: mu. Amasea, amo se nabasu ea bai da Na da ilima hame esalebeba: le ilima maha, ilia da dawa: mu.
18 Nami hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia miungu mingine.
Amola Na da ili hamedafa fidimu. Bai ilia da wadela: i hamomu amola ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadomu.
19 “Sasa ujiandikie wimbo huu, uwafundishe Waisraeli na uwaamuru wauimbe, ili upate kuwa ushahidi wangu dhidi yao.
Wali amo gesami hea: su dedema. Amo gesami Isala: ili dunuma olelema. Amola amo gesami da ilia da wadela: i hou hamosea, ba: su agoane dialumu.
20 Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo, nao watakapokula wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na kuvunja Agano langu.
Na da ilia aowalali ilima sia: i defele, amo dunu amo noga: idafa nasegagi soge amo ganodini oule masunu. Amo ganodini ilia ha: i manu bagadeba: le sadimu amola ilia da hahawane esalumu. Be ilia da sinidigili, eno ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadomu. Ilia da Na higamu amola Na gousa: su yolesimu.
21 Maafa na shida zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya, hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo.”
Amola gugunufinisisu bagohame da ilima doaga: mu, be amo gesami ilia da hame gogolemu. Amola amo gesami da mae fisili, ba: su dunu agoai dialumu. Na da wali soge amo Na da ilima imunu ilegele sia: i, amo ganodini hame oule asi. Be Na da ilia asigi dawa: su dawa:
22 Hivyo Mose akaandika wimbo huu siku ile na akawafundisha Waisraeli.
Amo eso Mousese da amo gesami dedene, Isala: ili dunuma olelei.
23 Bwana akampa Yoshua mwana wa Nuni agizo hili: “Uwe hodari na shujaa, kwa kuwa utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja nawe.”
Amalalu, Hina Gode da Yosiua (Nane egefe) ema amane sia: i, “Mae beda: ma amola gasa fili hamoma! Di da Isala: ili fi dunu soge amo Na da ilima imunusa: ilegele sia: i, amoga bisili oule masunu! Amola Na da di sigi masunu!”
24 Baada ya Mose kumaliza kuandika kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka mwanzo hadi mwisho,
Mousese da Gode Ea Sema huluane buga ganodini dedei. E da sema afae hame fisi.
25 akawapa Walawi wale waliolibeba Sanduku la Agano la Bwana agizo hili, akawaambia:
Dedei dagoloba, e da gobele salasu dunu (Lifai dunu) amo da Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ouligisu, ilima amane sia: i,
26 “Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.
“Amo Gode Ea Sema buga lale, dilia Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili dafulili ligisima. Bai amo da Isala: ili dunuma fofada: su ba: su liligi agoai galebe.
27 Kwa kuwa ninajua jinsi mlivyo waasi na mlivyo na shingo ngumu. Kama mmekuwa mkiasi dhidi ya Bwana nikiwa bado niko hai na nikiwa pamoja nanyi, mtaasi mara ngapi baada ya kufa kwangu!
Ilia da gasa fi amola odoga: su fi, amo na dawa: Na da esalea, ilia da Hina Godema hame nabasu odoga: su hou hamosu. Amola na da bogosea, ilia da baligili odoga: su gasa fi hamomu.
28 Kusanyeni mbele yangu wazee wote wa makabila yenu na maafisa wenu wote, ili nipate kusema maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi ili kushuhudia dhidi yao.
Dilia fi hina dunu amola ouligisu dunu huluane na midadi gilisima: ne sia: ma. Na da Hebene amola osobo bagade ilima ba: su dunu agoane hamoma: ne sia: mu.
29 Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya Bwana, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.”
Na bogosea, fa: no Isala: ili dunu da wadela: le bagade hamomu amola na olelesu higamu, amo na dawa: Amola ilia da Hina Godema hame nabasu hou hamomuba: le, E da ilima ougimu. Amaiba: le, ilia da se bagade nabimu.
30 Mose akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:
Amasea, Mousese da amo gesami huluane sia: i. Amola dunu huluane da naba esalu.

< Torati 31 >