< Torati 3 >

1 Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei.
Potom obrativši se idosmo k Vasanu. I izide pred nas Og car Vasanski i sav narod njegov na boj u Edrajin.
2 Bwana akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”
I Gospod mi reèe: ne boj ga se, jer ga dadoh u tvoje ruke sa svijem narodom njegovijem i sa zemljom njegovom, da uèiniš s njim onako kako si uèinio sa Sionom carom Amorejskim, koji sjeðaše u Esevonu.
3 Hivyo Bwana Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja.
Tako nam dade Gospod Bog naš u ruke i Oga cara Vasanskoga sa svijem narodom njegovijem, i razbismo ga i ne ostavismo mu ni jednoga živa.
4 Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
I uzesmo tada sve gradove njegove; ne bi grada kojega ne uzesmo, šezdeset gradova, sav kraj Argovski, carstvo Oga u Vasanu.
5 Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.
Svi ti gradovi bjehu utvrðeni zidom visokim, vratima i prijevornicama, osim drugih mjesta bez zidova vrlo mnogo.
6 Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
I raskopasmo ih kao što uèinismo Sionu caru Esevonskom, pobivši po svijem mjestima i ljude i žene i djecu.
7 Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.
A svu stoku i plijen po gradovima zaplijenismo za se.
8 Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
Tako uzesmo onda zemlju iz ruku dvojice careva Amorejskih, koja je s ovu stranu Jordana od potoka Arnona do gore Ermona,
9 (Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)
Sidonci zovu Ermon Sirion, a Amoreji ga zovu Senir, )
10 Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani.
Sva mjesta u ravni i sav Galad i sav Vasan do Salhe i Edrajina, gradove carstva Oga u Vasanu.
11 (Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa na upana wa dhiraa nne. Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)
Jer samo Og car Vasanski bješe ostao od divova. Gle, odar njegov, odar gvozden, nije li u Ravi sinova Amonovijeh? devet je lakata dug, a širok èetiri lakta, lakta èovjeèija.
12 Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.
Tako naslijedismo tu zemlju onda; od Aroira, koji je na potoku Arnonu, i polovinu gore Galada s gradovima njezinijem dadoh sinovima Ruvimovijem i Gadovijem.
13 Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.
I ostatak Galada i sav Vasan, carstvo Ogovo, dadoh polovini plemena Manasijina; sav kraj Argovski po svemu Vasanu zvaše se zemlja divovska.
14 Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)
Jair sin Manasijin uze sav kraj Argovski do meðe Gesurske i Mahatske; i prozva Vasansku svojim imenom: sela Jairova do današnjega dana.
15 Nikampa Makiri nchi ya Gileadi.
A Mahiru dadoh Galad.
16 Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni.
A Ruvimovu plemenu i Gadovu plemenu dadoh od Galada do potoka Arnona, kako zahvata potok s meðama, pa do potoka Javoka, gdje je meða sinova Amonovijeh,
17 Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.
I polje i Jordan s meðama od Hinerota do mora uz polje, do mora slanoga, ispod Fazge prema istoku.
18 Wakati huo nilikuamuru: “Bwana Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli.
I zapovjedih vam onda i rekoh: Gospod Bog vaš dao vam je ovu zemlju u našljedstvo; naoružani hajdete pred braæom svojom, sinovima Izrailjevijem, ko je god za vojsku.
19 Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa,
A žene vaše i djeca vaša i stoka vaša znam da imate mnogo stoke) neka ostanu u gradovima vašim, koje vam dadoh,
20 mpaka hapo Bwana atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”
Dokle ne smiri Gospod i braæu vašu kao vas, da i oni naslijede zemlju, koju æe im Gospod Bog vaš dati s onu stranu Jordana; onda se vratite svaki na svoje našljedstvo, koje vam dadoh.
21 Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo Bwana Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. Bwana atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo.
A Isusu onda zapovjedih govoreæi: oèi tvoje vide sve što je uèinio Gospod Bog vaš s ona dva cara; onako æe Gospod uèiniti sa svijem carstvima u koja doðeš.
22 Msiwaogope, Bwana Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”
Nemojte ih se bojati, jer æe se Gospod Bog vaš biti za vas.
23 Wakati huo nilimsihi Bwana:
I molih se Gospodu onda govoreæi:
24 “Ee Bwana Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe?
Gospode Bože! ti si poèeo pokazivati sluzi svojemu velièinu svoju i krjepku ruku svoju, jer koji je Bog na nebu ili na zemlji koji bi tvorio djela kakva su tvoja i u koga bi sila bila kakva je tvoja?
25 Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”
Daj mi da prijeðem i vidim zemlju dobru koja je preko Jordana i goru dobru, Livan.
26 Lakini kwa sababu yenu Bwana alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. Bwana aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena.
Ali Gospod bješe gnjevan na me s vas, i ne usliši me, nego mi reèe: dosta; ne govori mi više za to.
27 Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
Popni se na vrh ove gore, i podigavši oèi svoje na zapad i na sjever i na jug i na istok, vidi oèima svojima, jer neæeš prijeæi preko Jordana.
28 Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.”
Nego podaj zapovijesti Isusu, i utvrdi ga i ukrijepi ga; jer æe on prijeæi pred narodom tijem, i on æe im razdijeliti u našljedstvo zemlju koju vidiš.
29 Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.
I ostasmo u ovoj dolini prema Vet-Fegoru.

< Torati 3 >