< Torati 3 >

1 Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei.
سپس به سوی سرزمین باشان روی آوردیم. عوج، پادشاه باشان لشکر خود را بسیج نموده، در اَدَرعی به ما حمله کرد. ولی خداوند به من فرمود که از او نترسم. خداوند به من گفت: «تمام سرزمین عوج و مردمش در اختیار شما هستند. با ایشان همان کنید که با سیحون، پادشاه اموری‌ها در حشبون کردید.»
2 Bwana akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”
3 Hivyo Bwana Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja.
بنابراین خداوند، خدای ما عوج پادشاه و همهٔ مردمش را به ما تسلیم نمود و ما همهٔ آنها را کشتیم.
4 Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
تمامی شصت شهرش یعنی سراسر ناحیهٔ ارجوب باشان را به تصرف خود درآوردیم.
5 Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.
این شهرها با دیوارهای بلند و دروازه‌های پشتبنددار محافظت می‌شد. علاوه بر این شهرها، تعداد زیادی آبادی بی‌حصار نیز بودند که به تصرف ما درآمدند.
6 Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
ما سرزمین باشان را مثل قلمرو سیحون پادشاه واقع در حشبون، کاملاً نابود کردیم و تمام اهالی آن را چه مرد، چه زن و چه کودک، از بین بردیم؛
7 Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.
ولی گله‌ها و غنایم جنگی را برای خود نگه‌داشتیم.
8 Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
پس ما بر تمام سرزمین دو پادشاه اموری واقع در شرق رود اردن، یعنی بر تمامی اراضی از دره ارنون تا کوه حرمون، مسلط شدیم.
9 (Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)
(صیدونی‌ها کوه حرمون را سریون و اموری‌ها آن را سنیر می‌خوانند.)
10 Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani.
ما تمامی شهرهای واقع در آن جلگه و تمامی سرزمین جلعاد و باشان را تا شهرهای سلخه و ادرعی تصرف کردیم.
11 (Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa na upana wa dhiraa nne. Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)
ناگفته نماند که عوج، پادشاه باشان آخرین بازماندهٔ رفائی‌های غول‌پیکر بود. تختخواب آهنی او که در شهر رَبَت، یکی از شهرهای عمونی‌ها نگهداری می‌شود حدود چهار متر طول و دو متر عرض دارد.
12 Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.
در آن موقع، من سرزمین تسخیر شده را به قبیله‌های رئوبین و جاد دادم. به قبیله‌های رئوبین و جاد ناحیهٔ شمال عروعیر را که در کنار رود ارنون است به اضافهٔ نصف کوهستان جلعاد را با شهرهایش دادم،
13 Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.
و به نصف قبیلهٔ منسی باقیماندهٔ سرزمین جلعاد و تمام سرزمین باشان را که قلمرو قبلی عوج پادشاه بود واگذار کردم. (منطقهٔ ارجوب در باشان را سرزمین رفائی‌ها نیز می‌نامند.)
14 Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)
طایفهٔ یائیر از قبیلهٔ منسی تمامی منطقهٔ ارجوب (باشان) را تا مرزهای جشوری‌ها و معکی‌ها گرفتند و آن سرزمین را به اسم خودشان نامگذاری کرده، آنجا را همچنانکه امروز هم مشهور است حَووت‌یائیر (یعنی «دهستانهای یائیر») نامیدند.
15 Nikampa Makiri nchi ya Gileadi.
بعد جلعاد را به طایفهٔ ماخیر دادم.
16 Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni.
اما به قبیله‌های رئوبین و جاد منطقه‌ای را بخشیدم که از رود یبوق در جلعاد (که سرحد عمونی‌ها بود) شروع می‌شد و تا وسط جلگهٔ رود ارنون در جنوب، امتداد می‌یافت.
17 Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.
مرز غربی ایشان رود اردن بود که از دریاچهٔ جلیل تا دریای مرده و کوه پیسگاه ادامه می‌یافت.
18 Wakati huo nilikuamuru: “Bwana Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli.
آنگاه من به قبیله‌های رئوبین و جاد و نصف قبیلهٔ منسی یادآوری کردم که اگرچه خداوند آن سرزمین را به ایشان داده است با این حال حق سکونت در آنجا را نخواهند داشت تا زمانی که مردان مسلحشان در پیشاپیش بقیه قبیله‌ها، آنها را به آن سوی رود اردن یعنی به سرزمینی که خدا به ایشان وعده داده، برسانند.
19 Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa,
به ایشان گفتم: «ولی زنان و فرزندانتان می‌توانند اینجا در این شهرهایی که خداوند به شما داده است سکونت کرده، از گله‌هایتان (که می‌دانم تعدادشان زیاد است) مواظبت کنند.
20 mpaka hapo Bwana atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”
شما به برادران خود کمک کنید تا خداوند به آنها نیز پیروزی بدهد. وقتی آنها سرزمینی را که خداوند، خدایتان در آن طرف رود اردن به ایشان داده است تصرف کردند، آنگاه شما می‌توانید به سرزمین خود بازگردید.»
21 Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo Bwana Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. Bwana atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo.
بعد به یوشع فرمان داده، گفتم: «تو با چشمانت دیدی که یهوه خدایتان با آن دو پادشاه چگونه عمل نمود. او با تمامی ممالک آن طرف رود اردن نیز همین کار را خواهد کرد.
22 Msiwaogope, Bwana Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”
از مردم آنجا نترسید، چون خداوند، خدایتان برای شما خواهد جنگید.»
23 Wakati huo nilimsihi Bwana:
آنگاه از خداوند چنین درخواست نمودم: «ای خداوند، التماس می‌کنم اجازه فرمایی از این رود گذشته، وارد سرزمین موعود بشوم، به سرزمین حاصلخیز آن طرف رود اردن با رشته کوههای آن و به سرزمین لبنان. آرزومندم نتیجه بزرگی و قدرتی را که به ما نشان داده‌ای ببینم. کدام خدا در تمام آسمان و زمین قادر است آنچه را که تو برای ما کرده‌ای بکند؟»
24 “Ee Bwana Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe?
25 Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”
26 Lakini kwa sababu yenu Bwana alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. Bwana aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena.
ولی خداوند به سبب گناهان شما بر من غضبناک بود و به من اجازهٔ عبور نداد. او فرمود: «دیگر از این موضوع سخنی بر زبان نیاور.
27 Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
به بالای کوه پیسگاه برو. از آنجا می‌توانی به هر سو نظر اندازی و سرزمین موعود را از دور ببینی؛ ولی از رود اردن عبور نخواهی کرد.
28 Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.”
یوشع را به جانشینی خود بگمار و او را تقویت و تشویق کن، زیرا او قوم را برای فتح سرزمینی که تو از قلهٔ کوه خواهی دید، به آن طرف رودخانه هدایت خواهد کرد.»
29 Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.
بنابراین ما در درهٔ نزدیک بیت‌فغور ماندیم.

< Torati 3 >