< Torati 3 >

1 Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei.
“Amalalu, ninia da gusudili asili, Ba: isia: ne sogega doaga: i. Hina bagade Oge amola ea fi dunu huluane da ea soge fisili, gadili mogodigili, Edelei moilai bai bagade gadenene ninima doagala: musa: misi.
2 Bwana akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”
Be Hina Gode da nama amane sia: i, ‘Ema mae beda: ma. Na da Oge, ea dunu amola ea soge huluane dilima imunu. Dilia da A: moulaide hina bagade Saihone (e da Hesiabone soge ouligisu esalu) ema hou hamoi amo defele, amo Ogema hamoma.
3 Hivyo Bwana Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja.
Hina Gode da hina bagade Oge amola ea dunu fi, ninima i dagoi. Amola, ninia da huluane medole legei dagoi.
4 Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
Ninia da moilai huluane lai dagoi - afae da hame fisi. Ninia da moilai60agoane lai dagoi. Ninia da Agobe soge (amoga Ba: isia: ne hina bagade Oge da ouligisu esalu) amo huluane lai dagoi.
5 Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.
Amo moilai huluane da gagili sali - dobea bagade amola logo ga: su gasa bagade amola ifa bagade da amo logo ga: su logo hamoi. Moilai fonobahadi bagohame amola da dobea hame dialu.
6 Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
Ninia da Hesiabone hina bagade Saihone ema hamoi defele moilai huluane mugululi, dunu, uda amola mano, huluane medole lelegei dagoi.
7 Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.
Ninia da bulamagau huluane lai amola liligi huluane moilai amo ganodini dialu lai dagoi.
8 Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
Amo esoga, ninia da A: moulaide hina bagade dunu aduna amoga soge da Yodane Hano gusudili Anone Hano asili Hemone Goumi amoga doaga: le, amo soge huluane elama lai.
9 (Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)
(Saidouniane dunu da Hemone Goumi amoga Silione dio asula amola A: moulaide dunu da Sine sia: sa.)
10 Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani.
Ninia da Ba: isia: ne hina bagade Oge amo ea soge huluane lai dagoi. Moilai huluane fele da: iya dialu, Gilia: de soge, Ba: isia: ne soge amola soge huluane eso maba la: ididili asili, Sa: lega moilai amola Edelei moilai bai bagade amoga doaga: le, huluane lai dagoi.” Mousese da amane sia: i.
11 (Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa na upana wa dhiraa nne. Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)
(Hina bagade Oge da Lefa: ime fi ea dagosu dunu - eno hame ba: i. Ea bogosu gagili da gelega hamoi. Ea olei da 42 mida amola ba: de olei da gadenene 2 mida. Amo gagili da wali A: mone soge moilai bai bagade La: ba amo ganodini diala.)
12 Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.
Mousese da eno amane sia: i, “Ninia da amo soge lai dagoloba, na da soge amo da Aloua moilai, Anone Hano gadenene gadili dialu, Gilia: de agolo soge la: idi amola moilai huluane, amo Liubene fi amola Ga: de fi, ilima i.
13 Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.
Na da eno la: idi Gilia: de soge amola Ba: isia: ne soge, amo Mana: se fi la: ididili (Eso Mabe Ma: na: se) ilima i. Amo da Agobe soge bagade musa: hina bagade Oge da ouligi. (Ba: isia: ne soge da defele Lefa: ime soge ilia da sia: su.)”
14 Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)
Mana: se fi dunu afae amo Ya: ie, e da Agobe soge bagade amo lai. Agobe soge da Ba: isia: ne soge amo ganodini asili Gesue amola Maga, amo soge ea la: idi olei amoga doaga: i. E da amo moilai huluane amoma hi dio asuli amola wali ilia Ya: ie moilai sia: sa.)
15 Nikampa Makiri nchi ya Gileadi.
Mousese da eno amane sia: i, “Gilia: de soge amo na da Mana: se fi amo ea sosogo fi afae amo Ma: ige fi ilima i.
16 Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni.
Amola na da soge ea olei da Gilia: de asili Anone Hano amoga doaga: i, amo soge na da Liubene fi amola Ga: de fi, ilima i. Hano dogoa da ilia ga (south) olei amola ga (north) olei da Ya: boge Hano (amo da A: monaide fi ilia la: idi olei amola)
17 Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.
Eso dabe la: idi ilia soge da asili Yodane Hano amoga doaga: i. Ea olei da ga Ga: lili Hano Wayabo asili Bogoi Hano Wayabo gano amola eso mabe olei da Bisiga Goumi.
18 Wakati huo nilikuamuru: “Bwana Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli.
Amo esoha na da ilima olelei, ‘Ninia Hina Gode da amo soge Yodane Hano eso maba la: idi dili gesowale fima: ne i dagoi. Amaiba: le, dilia gegesu dunuma ilia gegesu liligi momagema: mu. Ilia da eno Isala: ili fi ili soge gesowale fima: ne amo fidima: ne bisili masusa: asunasima: ma.
19 Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa,
Dilia uda amola mano amola bulamagau, (dilia da bulamagau bagohame gagusa, na dawa: ), ilia fawane da moilai na da dilima ilegei amo ganodini esalumu.
20 mpaka hapo Bwana atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”
Dilia da guiguda: olofoiwane esala. Amaiba: le, dilia Isala: ili diolalali noga: le fidima. Ilia da soge amo Hina Gode da ilima iaha, amo gesowale fi dagole, olofoiwane esalebeba: le fawane yolesima. Amasea, dilia da amo soge na da dilima ilegei amoga buhagima.’
21 Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo Bwana Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. Bwana atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo.
Amalalu, na da Yosiuama amane sia: i, ‘Di da Hina Gode Ea hou hamoi amo hina bagade dunu aduna Saihone amola Oge elama, amo di da ba: i dagoi. Amola E da nowa dunu ea soge di da doagala: musa: ahoasea, amo defele ilima hamomu.
22 Msiwaogope, Bwana Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”
Ilima mae beda: ma. Bai dia Hina Gode Hi da dia gegesu hamomu.”
23 Wakati huo nilimsihi Bwana:
Mousese da eno amane sia: i, “Amo esoha na da Godema ha: giwane amane sia: ne gadoi,
24 “Ee Bwana Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe?
‘Hina Bagade Gode! Na dawa: ! Di da gasa bagade hawa: hamomu galebe. Di da amo hawa: hamosu ea degabo fawane nama olelei. Eno ‘gode’ o a: silibu muagado o osobo bagadega esalebe da agoaiwane hou hamomu hamedei.
25 Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”
Hina Gode! Na da Yodane Hano degema: ne, logo doasima. Na da osobo noga: idafa na: iyadodili diala, goumi soge ida: iwane amola Lebanone Goumi, amo ba: mu hanai galebe.’
26 Lakini kwa sababu yenu Bwana alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. Bwana aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena.
Be dilia hou dawa: beba: le, Hina Gode da nama ougi galu amola E da na sia: hame nabi. Be E da nama amane sia: i, ‘Dagoi! Amo bu mae sia: ma!
27 Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
Di Bisiga Goumiba: le heda: le, gadodafa leloma. Di la: idi ga (south), la: idi ga (north), eso mabe gusudili amola eso dabe guma: dini, ba: ma. Gebewane noga: le ba: ma. Bai di da Yodane Hano hamedafa degemu.
28 Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.”
Di Yosiuama noga: le olelema. Ema gasa ima amola ea dogo denesima. Hi fawane da Isala: ili dunu bisili, dia waha ba: mu sogega gesowale fimusa: oule masunu.’
29 Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.
Amalalu, ninia da fago soge (Bedebio moilai amo ea la: ididili gala) amo ganodini esalu.”

< Torati 3 >