< Torati 28 >

1 Kama ukimtii Bwana Mungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii, Bwana Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia.
Tihnin kah kai loh nang kang uen a olpaek boeih he vai hamla na ngaithuen tih BOEIPA na Pathen ol te na hnatun la na hnatun atah nang te BOEIPA na Pathen loh diklai namtom rhoek boeih soah a sang la ng'khueh.
2 Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata, kama ukimtii Bwana Mungu wako:
He yoethennah cungkuem he nang soah ha thoeng vetih nang te n'kae bitni. Na Pathen BOEIPA ol te na hnatun mak atah.
3 Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani.
Khopuei khuiah na yoethen vetih, kohong ah na yoethen ni.
4 Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na mazao ya nchi yako na wanyama wako wachanga wa kufugwa, yaani ndama wa makundi yako ya ngʼombe, na wana-kondoo wa makundi yako.
Na bungko khuikah na thaihtae khaw, na khohmuen cangthaih khaw, na rhamsa ca khaw, na saelhung saelca khaw, suentae boiva a yoethen ni.
5 Kapu lako na vyombo vyako vya kukandia vitabarikiwa.
Na vaihang neh na vaidambael khaw a yoethen ni.
6 Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.
Na kun na ael vaengah na yoethen vetih koep na thoeng vaengah khaw na yoethen ni.
7 Bwana atasababisha adui wainukao dhidi yako kushindwa mbele yako. Watakujia kwa njia moja lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
Nang aka tlai thil na thunkha rhoek te BOEIPA loh a voeih vetih na mikhmuh ah yawk sut ni. Longpuei pakhat neh nang taengla ha khoong uh cakhaw na mikhmuh ah longpuei parhih la rhaelrham uh ni.
8 Bwana ataagiza baraka juu ya ghala zako na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono wako. Bwana Mungu wako atakubariki katika nchi anayokupa.
Na khai dongkah neh na kut thuengnah boeih dongkah yoethennah te BOEIPA loh nang hamla a uen vetih BOEIPA na Pathen loh nang ham a khueh khohmuen ah yoethen m'paek ni.
9 Bwana atakufanya kuwa taifa lake takatifu, kama alivyokuahidi kwa kiapo, kama ukishika maagizo ya Bwana Mungu wako na kwenda katika njia zake.
BOEIPA na Pathen kah olpaek te na ngaithuen tih a longpuei ah na pongpa atah nang taengkah a toemngam vanbangla BOEIPA loh amah kah pilnam cim la nang n'thoh ni.
10 Kisha mataifa yote ya dunia wataona kuwa unaitwa kwa jina la Bwana, nao watakuogopa.
BOEIPA ming neh nang ng'khue te diklai pilnam rhoek loh boeih a hmuh uh vaengah nang te n'rhih bitni.
11 Bwana atakupa kustawi kwa wingi, katika tunda la uzao wa tumbo lako, katika wanyama wachanga wa mifugo yako na katika mazao ya ardhi yako, katika nchi aliyowaapia baba zako kuwapa.
Na bungko thaihtae dongah BOEIPA loh hnothen nen khaw, na rhamsa ca nen khaw, nang taegah paek hamla BOEIPA loh na pa rhoek taengah a toemngam tangtae khohmuen kah na lohmuen thaihtae nen khaw nang m'baecoih sak bitni.
12 Bwana atafungua mbingu, ghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha mataifa mengi lakini hutakopa kwa yeyote.
BOEIPA loh vaan kah a thakvoh then te nang ham hang ong vetih amah tue vaengah na khohmuen ah khotlan han tueih ni. Te vaengah na kut thueng boeih te yothen m'paek ni. Namtom a yet cangpu na hlah vetih cangpu na rhong la na om mahpawh.
13 Bwana atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya Bwana Mungu wako ninayokupa siku hii ya leo na kuyafuata kwa bidii, daima utakuwa juu, kamwe hutakuwa chini.
BOEIPA na Pathen kah olpaek, tihnin ah kai loh nang kang uen he na hnatun tih vai hamla na ngaithuen atah BOEIPA loh nang te a lu la ng'khueh vetih a mai la na om mahpawh. A soii calik bueng la na om vetih a laedil ah na om mahpawh.
14 Usihalifu amri zangu zozote ninazokupa leo, kwa kwenda kuume au kushoto, kwa kufuata miungu mingine na kuitumikia.
Tihnin ah kai loh nang kang uen olka he pakhat khaw banvoei bantang la mangthong tak boeh. A taengah thothueng hamla pathen tloe hnukah na cet ve.
15 Hata hivyo, kama hutamtii Bwana Mungu wako na kuzishika kwa bidii amri zake zote na maagizo ninayokupa leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukupata:
BOEIPA na Pathen ol te na hnatun pawt cakhaw a olpaek neh a khosing boeih he vai ham neh ngaithuen ham tihnin ah kai nang kang uen coeng dongah tahae kah rhunkhuennah rhoek he nang soah boeih thoeng vetih nang te n'kae van bitni.
16 Utalaaniwa mjini na utalaaniwa mashambani.
Khopuei khuiah thaephoei thil la na om vetih khohmuen ah khaw thaephoei thil la na om ni.
17 Kapu lako na chombo chako cha kukandia kitalaaniwa.
Na vaihang neh na vaidambael te thae a phoei thil coeng.
18 Uzao wa tumbo lako utalaaniwa, mazao ya ardhi yako, ndama wa makundi yako ya ngʼombe na wana-kondoo wa makundi yako.
Nang kah bungko thaihtae neh lohmuen cangthaih khaw, saelhung saelca neh suentae boiva khaw thae a phoei thil ni.
19 Utalaaniwa uingiapo na utokapo.
Na caeh vaengah thaephoei thil la na om vetih na pawk vaengah khaw thaephoei thil la na om ni.
20 Bwana ataleta laana juu yako, fadhaa na kukaripiwa katika kila kitu unachokigusa kwa mkono wako, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa ghafula kwa ajili ya maovu uliyoyafanya kwa kumwacha yeye.
Na kut thuengnah boeih dongah BOEIPA loh nang soah tapvoepnah, soekloeknah neh olthae kaling te han tueih ni. Te te kai nan hnoo uh vaengah na khoboe thaenah hmai ah koeloe na mitmoeng hil neh na milh hil ah na saii.
21 Bwana atakupiga kwa magonjwa mpaka akuangamize kutoka nchi unayoingia kuimiliki.
BOEIPA loh nang te duektahaw neh m'ben vetih pang hamla na kun thil na khohmuen lamloh nang ng'khah ni.
22 Bwana atakupiga kwa magonjwa ya kudhoofisha, kwa homa na kuwashwa, hari na kwa ukame, kutu na kuwa na uchungu ambavyo vitakupiga mpaka uangamie.
BOEIPA loh nang te kositloh, satloh, a phing, takling, cunghang, dung, mawn neh ng'ngawn vetih na milh van hilah nang te n'hloem ni.
23 Anga juu yako itakuwa shaba, na ardhi chini yako itakuwa chuma.
Na lu sokah vaan te rhohum la, nang hmuikah diklai ke thicung la poeh ni.
24 Bwana atafanya mvua ya nchi yako kuwa mavumbi na mchanga; vitakujia kutoka angani mpaka uangamie.
Na khohmuen kah khotlan te BOEIPA loh tangdik la a khueh vetih na mit na moeng duela vaan lamkah laipi loh nang ah m'vuei ni.
25 Bwana atakufanya ushindwe mbele ya adui zako. Utawajia kwa njia moja lakini utawakimbia mbele yao kwa njia saba, nawe utakuwa kitu cha kuchukiza kwa falme zote za dunia.
Nang te BOEIPA loh n'tulh vetih na thunkha rhoek kah mikhmuh ah na paloe ni. Anih te longpuei pakhat neh na paan cakhaw anih mikhmuh lamkah loh longpuei parhih neh na rhaelrham vetih diklai ram tom taengah ngaihuetnah la na om ni.
26 Mizoga yenu itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo mtu yeyote wa kuwafukuza.
Na rhok khaw vaan kah vaa boeih neh diklai rhamsa kah a caak la om vetih hawt uh mahpawh.
27 Bwana atakupiga kwa majipu ya Misri na kwa vidonda vitokavyo usaha na kuwashwa, ambako huwezi kuponywa.
BOEIPA loh nang te Egypt kah buhlut, tungueh, rhilcolh, phai, vinhna neh ng'ngawn vetih na hoeih thai mahpawh.
28 Bwana atakupiga kwa wazimu, upofu na kuchanganyikiwa kwa akili.
BOEIPA loh nang te pavai neh, mikdael neh, thinko lungmitnah neh ng'ngawn ni.
29 Wakati wa adhuhuri utapapasapapasa huku na huko kama mtu kipofu katika giza. Hutafanikiwa katika lolote ufanyalo; siku baada ya siku utaonewa na kunyangʼanywa, wala hakuna yeyote atakayekuokoa.
Khohmuep khuiah mikdael loh a phatuem bangla khothun lung ah khaw aka phatuem la na om vetih na longpuei te thaihtak mahpawh. Na hing tue khui boeih ah hlang kah a hnaemtaek neh a rheth ham koi bueng la na om vetih aka khang om mahpawh.
30 Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake.
Yuu na bae cakhaw hlang tloe loh a ih a ih puei vetih im na sa cakhaw a khuiah na om hae mahpawh. Misur na phung cakhaw na uem hae mahpawh.
31 Ngʼombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu yeyote wa kuwaokoa.
Na vaito khaw na mikhmuh ah a ngawn suidae na ca mahpawh. Na laak te na mikhmuh ah hang rhawth vetih namah taengla ha bal mahpawh. Na boiva te na thunkha taengla a paek vetih nang aka rhun te om mahpawh.
32 Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono.
Na capa rhoek neh na canu rhoek te pilnam tloe taengla a paek te na mik loh a hmuh ni. Te vaengah amih te hnin takuem ngaidam cakhaw na kut loh Pathen taengla pha mahpawh.
33 Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na chochote, bali kuonewa kikatili siku zako zote.
Pilnam loh na khohmuen cangthaih neh na thaphu boeih han caak te na ming. Hnin takuem hnaemtaek neh neet koi bueng la na om ni.
34 Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya wazimu.
Na mikhmuh kah a hmuethma te na hmuh vaengah pavai la na coeng ni.
35 Bwana atayapiga magoti yako na miguu yako kwa majipu yenye maumivu makali yasiyoponyeka, yakienea kutoka nyayo za miguu yako hadi utosini.
Khuklu neh phai dongkah buhlut thae neh BOEIPA loh nang ng'ngawn vetih na kho khopha lamloh na luki duela na hoeih thai mahpawh.
36 Bwana atakupeleka wewe na mfalme uliyemweka juu yako uende kwenye taifa ambalo hukulijua wewe wala baba zako. Huko utaabudu miungu mingine, miungu ya miti na mawe.
Namah neh namah soah na ludoeng na manghai te namah neh na pa rhoek a ming mueh namtom taengla BOEIPA loh n'thak koinih lungto thingngo pathen tloe ni tho na thueng hae eh.
37 Utakuwa kitu cha kuchukiza, tena kitu cha kudharauliwa na kudhihakiwa kwa mataifa yote huko Bwana atakakokupeleka.
Tedae BOEIPA loh nang te m'vai vetih pilnam boeih taengah imsuep la, thuidoeknah la, thuinuetnah la na om ni.
38 Utapanda mbegu nyingi katika shamba lakini utavuna haba, kwa sababu nzige watazila.
Lohma ah cangtii muep na khuen cakhaw kaisih loh a hnom vetih hah na coi ni.
39 Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu watazila.
Misur na phung tih na thotat cakhaw, misurtui na o mahpawh. Phol loh a caak vetih na yoep mahpawh.
40 Utakuwa na mizeituni katika nchi yako yote, lakini hutatumia hayo mafuta yake, kwa sababu zeituni zitapukutika.
Na khorhi boeih ah nang hamla olive om cakhaw na olive te hul vetih situi khaw na hluk hae mahpawh.
41 Utakuwa na wana na binti lakini hawatakuwa nawe, kwa sababu watachukuliwa mateka.
Capa canu na cun cakhaw tamna la cet uh vetih nang taengah om uh mahpawh.
42 Makundi ya nzige yatavamia miti yako yote na mazao ya nchi yako.
Na thingkung boeih neh khohmuen thaihtae te tungrhit loh a thok sak ni.
43 Mgeni anayeishi miongoni mwako atainuka juu zaidi na zaidi kuliko wewe, lakini wewe utashuka chini zaidi na zaidi.
Na taengkah yinlai loh nang soah a so, so la pongpa vetih nang te a dang dang la na suntla ni.
44 Yeye atakukopesha, lakini wewe hutamkopesha. Yeye atakuwa kichwa, lakini wewe utakuwa mkia.
Nang taengah cangpu han hlah lat vetih nang loh anih cangpu na hlah thai mahpawh. Anih te a lu la om vetih nang te a mai la na om ni.
45 Laana hizi zote zitakuja juu yako. Zitakufuatia na kukupata mpaka uangamizwe, kwa sababu hukumtii Bwana Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake aliyokupa.
A olpaek neh a khosing ngaithuen ham te nang kang uen lalah BOEIPA na Pathen ol te na ngai pawt atah he rhoek kah rhunkhuennah boeih he nang soah thoeng ni. Na mitmoeng duela nang n'hloem vetih n'tuuk ni.
46 Zitakuwa ishara na ajabu kwako na kwa wazao wako milele.
Kumhal ah namah ham neh na tii na ngan ham miknoek neh kopoekrhai la om uh ni.
47 Kwa sababu hukumtumikia Bwana Mungu wako kwa furaha na kwa moyo wakati wa kufanikiwa kwako,
Cangpai a khawk vaengah kohoenah thinko thennah neh BOEIPA na Pathen taengah tho na thueng pawh.
48 kwa hiyo katika njaa na kiu, katika uchi na umaskini wa kutisha, utawatumikia adui ambao Bwana atawatuma dhidi yako. Yeye ataweka nira ya chuma shingoni mwako hadi amekwisha kukuangamiza.
Te dongah BOEIPA loh nang taengla na thunkha han tueih te khokha khui neh tuihalh khui ah, pumtling la, a cungkuem dongah kaktahnah neh na tho na tat ni. Nang te amah la na mitmoeng hil na rhawn dongah thi hnamkun han tloeng ni.
49 Bwana ataleta taifa dhidi yako kutoka mbali, kutoka miisho ya dunia, kama tai ashukiavyo mawindo chini, taifa ambalo hutaijua lugha yake,
A ol na yakming pawh namtu, diklai khobawt khohla lamkah atha bangla aka ding namtu,
50 taifa lenye uso mkali lisilojali wazee wala kuwahurumia vijana.
maelhmai aka tlung, patong maelhmai aka dan pawt tih camoe aka rhen pawh namtu, te BOEIPA loh nang taengla hang khuen ni.
51 Watakula wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako mpaka umeangamia. Hawatakuachia nafaka, divai mpya au mafuta, wala ndama wowote wa kundi lako au wana-kondoo wa kundi lako mpaka umekuwa magofu.
Na mitmoeng duela na rhamsa ca neh na khohmuen thaihtae te han caak ni. Cangpai misur thai situi khaw nang hamla paih mahpawh. Nang kah saelhung saelca neh suentae boiva te a milh sak ni.
52 Nao wataizingira miji yote katika nchi yako mpaka kuta ndefu za ngome ambazo unazitegemea zimeanguka. Watazingira miji yote katika nchi ambayo Bwana Mungu wako anakupa.
Nang kah hmuen sang vongtung neh na khohmuen tom kah na pangtung thil na vong cak loh tim hlan khuiah na vongka khui tom ah nang te n'daengdaeh vetih, BOEIPA na Pathen loh nang m'paek na khohmuen pum kah na vongka khui tom ah nang te n'daengdaeh ni.
53 Utakula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako ambao Bwana Mungu wako amekupa, kwa sababu ya mateso yale adui zako watakayokuletea wakati wa kukuzingira.
Te vaengah na bungko thaihtae lamkah na capa neh na canu saa te na caak ni. Te te na thunkha loh nang soah a caeknah la vongup ah n'kilh dongah ni na Pathen BOEIPA loh nang taengah m'paek.
54 Hata yule mtu muungwana sana na makini miongoni mwako hatakuwa na huruma kwa ndugu yake mwenyewe au kwa mke ampendaye au watoto wake waliosalia,
Na khuikah tongpa mongkawt hlangcong loh a manuca, a rhang kah a yuu neh a ca hlangrhuel la aka om te mat a mik ee ni.
55 naye hatampa hata mmoja wao nyama ya watoto wake ambao anawala. Kwa kuwa hakuna kitu kingine kilichosalia kwake katika mazingirwa makali ambayo adui yako watakuletea kwa miji yako yote.
Na vongka pum kah vongup ah na thunkha loh nang te a caeknah la n'kilh vaengah ba pakhat khaw a coih pah mahpawh. Te dongah a ca saa te hnap a caak vetih hlang pae mahpawh.
56 Mwanamke ambaye ni muungwana sana na makini miongoni mwako, yaani ambaye ni makini sana na muungwana kiasi kwamba asingethubutu kugusa ardhi kwa wayo wa mguu wake, yeye atakuwa mchoyo kwa mume ampendaye na mwanawe mwenyewe au binti yake,
Na khuikah mongkawt nu neh a kho khopha te diklai dongah khueh ham aka noem pawh hlangcong khaw, pang a dok neh mueltuetnah lamloh a rhang dongkah a va taengah, a capa taengah, a canu taengah a mik lolh ni.
57 kondoo wa nyuma kutoka kwenye tumbo lake na watoto anaowazaa. Kwa kuwa anakusudia kuwala kwa siri wakati wa kuzingirwa na katika taabu zile ambazo adui yako atazileta juu yako na miji yako.
Na thunkha loh nang te na vongka khuiah a caeknah la n'kilh vaengah a kho laklo lamloh aka thoeng a casak neh a cun nawn amah ca pataeng vongup khuikah yinhnuk ah thincavat la boeih a caak ni.
58 Kama hutafuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii, ambayo yameandikwa katika kitabu hiki na kama hutalicha hili jina la fahari na la kutisha, yaani la Bwana Mungu wako,
A ming thangpom ham neh rhih ham aka om BOEIPA na Pathen rhih ham tahae kah cabu dongah a daek olkhueng ol boeih he vai hamla na ngaithuen pawt atah,
59 Bwana ataleta mapigo ya kutisha juu yako na kwa wazao wako, maafa makali na ya kudumu, magonjwa mazito na ya kudumu.
BOEIPA loh na hmasoe khaw, na tiingan kah hmasoe khaw, hmasoe puei neh na muei a puel sak ni. Te vaengah tloh thae na kaem vetih na ngoi ni.
60 Atakuletea juu yako magonjwa yote ya Misri yale uliyoyaogopa, nayo yataambatana nawe.
Nang taengla ha tlung vaengah na rhih Egypt tloh boeih te nang soah ham phoe sak ni.
61 Pia Bwana atakuletea kila aina ya ugonjwa na maafa ambayo hayakuandikwa humu katika kitabu hiki cha sheria, mpaka utakapokuwa umeangamizwa.
Na mit na moeng duela olkhueng cabu dongkah a daek mueh tlohtat cungkuem neh hmasoe cungkuem te nang soah BOEIPA loh ham phoe sak ni.
62 Ninyi ambao mlikuwa wengi kama nyota za angani mtaachwa wachache tu, kwa sababu hamkumtii Bwana Mungu wenu.
BOEIPA na Pathen ol te na ngai pawt dongah vaan aisi bangla khawk na om uh cakhaw hlang sii la na cul ni.
63 Kama ilivyompendeza Bwana kuwafanya ninyi mstawi na kuongezeka kwa idadi, ndivyo itakavyompendeza kuwaharibu na kuwaangamiza ninyi. Mtangʼolewa kutoka nchi mnayoiingia kuimiliki.
BOEIPA loh nangmih khophoengpha sak ham neh ping sak ham a ngaingaih vanbangla nangmih te milh sak ham neh mitmoeng sak ham khaw BOEIPA a ngaingaih dongah pang hamla na kun thil khohmuen lamloh m'phuk ni.
64 Kisha Bwana atawatawanya miongoni mwa mataifa yote, kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwingine. Huko mtaabudu miungu mingine, miungu ya miti na ya mawe, ambayo ninyi wala baba zenu hamkuijua.
Diklai khobawt lamloh diklai khobawt duela pilnam tom taengah BOEIPA loh nang te n'taekyak bal vetih na pa rhoek neh namah long khaw na ming noek pawh lungto thingngo pathen tloe taengah tho na thueng ni.
65 Miongoni mwa mataifa hayo hamtapata raha wala mahali pa kupumzisha wayo wa mguu wenu. Huko Bwana atawapa mahangaiko ya mawazo, macho yaliyochoka kwa kungojea na moyo uliokata tamaa.
Namtom rhoek taengah hoep tlaih pawt vetih na khopha ham pataeng ngolbuel om mahpawh. Te vaengah BOEIPA loh nang te lungbuei lingloeng neh mik khahoeinah, hinglu yunghoepnah m'paek ni.
66 Utaishi katika mahangaiko siku zote, ukiwa umejaa hofu usiku na mchana, wala hutakuwa kamwe na uhakika wa maisha yako.
Na hmailong ham khaw na hingnah loh ngaihuet ngaikaek la om vetih khoyin khothaih birhih hut la na hingnah khaw na tangnah tlaih mahpawh.
67 Wakati wa asubuhi utasema hivi, “Laiti ingekuwa jioni!” Jioni utasema, “Laiti ingekuwa asubuhi,” kwa sababu ya hofu ile itakayojaza moyo wako na vitu vile macho yako yatakavyoviona.
Na mik neh a hmuethma na hmuh vaengah na thinko kah birhihnah neh na birhih ni. Mincang pueng ah kholaeh ka pha venim na ti vetih hlaemhmah vaengah mincang ka pha venim na ti ni.
68 Bwana atawarudisha tena Misri kwa meli, safari niliyosema kamwe hamngeenda tena. Huko mtajiuza ninyi wenyewe kwa adui zenu kama watumwa wa kiume na wa kike, lakini hakuna yeyote atakayewanunua.
Nang taengah ka thui longpuei kah sangpho te hmuh hamla koep khoep boeh. BOEIPA loh nang Egypt la koep m'bal sak ve. Na thunkha rhoek taengah namah te salnu salpa la pahoi na yoi uh cakhaw n'lai uh mahpawh.

< Torati 28 >